Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha sita kutoka Tabora hadi Kigoma Julai 20, 2026...
Ndugu zangu Watanzania,
Ni Bora Umfadhili Mbuzi Utakunywa hata Supu Kuliko Mwanadamu Asiye na Shukurani. Shukurani ya Punda ni Mateke Hivyo ndivyo unavyoweza kusema .
Hivyo Ndivyo unavyoweza...
Jenerali El- Sisi mtawala wa Misri aliingia Madarakani mwaka 2013 baada ya kumpindua Mohamed Morsi, rais wa kwanza Misri kuchaguliwa kidemokrasia, mwaka uliofuta aliua maelfu ya Waandamanaji...
Nilipata nafasi ya kumfahamu zitto Kabwe kwa kiasi kidogo wakati akiwa ni mwanachama wa CHADEMA.
Yeye na Julius Mtatiro wakati huo akiwa CUF, walikuwa wananivutia hasa walipokuwa wanachambua mada...
Ni kweli kwamba Mvua inaleta demage karibu kila mahali inaponyesha, lakini kwa kweli kwa Tanzania ujenzi duni wa Barabara unaoongeza mno shida, hebu angalia Barabara hii, angalia kiwango cha lami...
Erythrocyte kuweni macho na upuuzi huu. Ksikubali kutoka kwenye malengo. Achaneni ja ujinga huu. Concentrate kwenye issues, pressing issues za chama kama ulinzi wa Heche na viongozi wengine. Nenda...
Tuanze na:
JESHI LA POLISI TANZANIA.
Wajibu mkuu wa jeshi la polisi kwa jamii ni kulinda maisha ya watu na mali zao. Kazi hii inafanyika kwa mujibu wa sheria ili kuhakikisha amani, utulivu, na...
Amani iwe nanyi wanabodi
Ukiambiwa kuhusu uwepo wa kundi hili unaweza kusema hizi ni stori za Kusadikika. Ila Ukweli ulio wazi ni kwamba hizi sio stori za kusadikika, sio series za kihindi...
Nimejaribu kuwaza maana maisha wanayoishi raia siyo poa kabisa. Ukiwa mjini utaona mambo yako sawa kiasi nenda vijijini mzee, aseeee
Ni mwendo wa kubeba bendera za Britain na chanting za "Long...
WAZIRI KOMBO AFANYA MAZUNGUMZO NA UJUMBE MAALUM WA DRC
Waziri Kombo afanya Mazungumzo na Mjumbe Maalumu wa DRC Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Mahmoud Thabit...
..Jaji Chande amesema Oct 29 kuna watoto waliuwawa.
..kwa muktadha huo naomba tutafakari kauli za Mwenyekiti, na Katibu Mkuu, wa Ccm.
.Je, nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi?
..Je, vyombo...
Habari za mtu wa ndani kabisa wa vyombo vya usalama amenambia kwamba wakeshapewa maelekezo kufunga account za chadema wakitimiza 200M+
Na imepenyezwa propaganda kuwa zifungwe zote za benk na...
Je nani ni mzalendo wa kweli kati ya yule anayetangaza nchi yake na anayemtangaza mkuu wa nchi yake?
MY TAKE
Ukila na kipofu usimguse Mkono. Haya ndi mambo Samia anataka ndo anaita Uzalendo...
TANU haikuchangiwa kama inavyochangiwa Chadema hii ya Leo. Chadema ya leo imepata vizingiti vya kila aina. Kuwekwa ndani, kubambikiwa kesi za uhaini na kupowa mali zao.
Tanu ilichangiwa na...
Mtandao wa Taasisi za Kiraia nchini (AZAKI) umeitaka Serikali kuacha mbinu za "ujanja ujanja" katika kushughulikia mkwamo wa kisiasa na badala yake utekeleze mapendekezo matano yaliyotolewa na...
Mkadhani mkiniingiza ndani ndimi ntatoa siri ya kambi? Hehehe! Mahii, mnalota sana. Kama mnaniona zumbukuku, basi mumejikosea. Mmeloba.
Sasa huyo mtu wenu munayemtafuta, huenda akawaletee jambo...
Huyu Jamaa Sasa ndio kajionyesha yeye ni Mtu wa Aina gan.
Tulidhani labda ni Matumizi tu mabaya ya Nafasi ya Baba yake... Huyu Mtu ana uchu wa Madaraka, Mtu aliyetayari kufanya lolote ili mradi...
Sote ni mashahidi,
kwamba katibu mkuu wa chadema, hata kwa kumtazama tu kwa macho, achilia mbali kumskiliza, ni wazi kabisa anaweza kua ni kichochea cha ufisadi unaoendelea chadema na matumizi...
Bila uoga, kutetereka wala kumuogopa mtu yeyote, mwanahabari na mwanasheria nguli, Mzee Pascal Mayalla ameeleza kinagaubaga bila kuacha shaka jinsi Ben Saanane na Azory Gwanda walivyotekwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.