Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naamini Jamii Forums ni kisima cha Maarifa ni kwamba huwa kuna Mkataba kati ya Airtel na Mteja hizi Agreement mara nyingi huwa ni ndefu na zimeandikwa kwa maandishi madogo lakini pia zinatumia...
0 Reactions
5 Replies
394 Views
Kampuni ya airtel sio kampuni ya kisiasa tunajua kilichotokea ni shinikizo na hii haifanyi kampuni imuunge mkono bali amejiongezea kesi madaraka yanaisha haya mtaona airtel ikimfungulia kesi hii...
0 Reactions
1 Replies
105 Views
Akizungumza na wananchi wa Ikungi mkoani Singida, katika mkutano unaofanyika Kata ya Puma leo Januari 22, 2026, Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa...
2 Reactions
14 Replies
277 Views
Balozi wa Marekani Burkina Faso, Joann Lockard, ameomba kuonana na Captn. Traore, ila Captn akamjibu ana shughuli nyingi na akamtuma Waziri wake wa Mambo ya nje,mwezi huu. Utakumbuka nimeripoti...
3 Reactions
2 Replies
173 Views
Iran, nchi ambayo kabla ya mapinduzi ya Kiislam, ilikuwa ndiyo nchi pekee yenye uchumi mzuri uliokuwa unakua kwa kasi Mashariki ya kati, leo wananchi wake, chini ya utawala shetani wa Ayatollah...
10 Reactions
99 Replies
2K Views
Wanabodi Hii ni makala yangu ya kufungulia mwaka kwenye gazeti la Leo la Mwananchi...
4 Reactions
41 Replies
685 Views
Kwa muundo wa CCM na serikali yake ulivyo bila katiba mpya huwezi kuiondoa kwa njia ya sanduku la kura. Je, tuendelee ku-push kuandikwa kwa katiba mpya kwa njia za amani hadi tuipate? Je...
11 Reactions
69 Replies
793 Views
Mkurugenzi wa Msama Promotion Alex Msama amewaasa wanatanzania kuwapuuza watu wanaochafua viongozi na watoto wa viongozi kwani wamenunuliwa kwa kupewa pesa nyingi ili tu kufanya hivyo kwa leo la...
3 Reactions
17 Replies
639 Views
Wakuu! Alex Msama ameshangaa Viongozi wa Dini kufanya Siasa Makanisani akidai kuwa si rahisi kutumikia mabwana wawili na ukimtukana Rais Samia, unamtukana Mungu maana ndiye kampa Mamlaka.
3 Reactions
84 Replies
4K Views
Kwa haya matukio yake na maneno yake mabaya, hafai kabisa kuwa sehemu kama hii, naona hata mwaka 2024 ni kama walimpa tu! =================== Samia hakuwemo kwenye orodha ya Forbes Rais wa...
1 Reactions
8 Replies
358 Views
https://www.youtube.com/live/EJPutwDEwWI?si=34CGu0w1t3vdHky0 Leo taasisi ya Mwalimu Nyerere Foundation ilikusanya wazee na kujadili mauaji ya zaidi Watanganyika 10,000 yaliyofanywa na serikali ya...
0 Reactions
4 Replies
198 Views
I'm asking myself if this face is a human being or something fabricated in the workshop.
2 Reactions
6 Replies
146 Views
https://youtu.be/GyaJZGMF0a4
0 Reactions
0 Replies
75 Views
"Chama hiki ni chama cha watanzania wote, hiki ndo chama pekee kisicho na ubaguzi, hiki ndo chama pekee kinachojali vyama vyote, hiki ndo chama pekee kinachojali utu wa watanzania, chama cha...
2 Reactions
14 Replies
174 Views
Kiongozi anatakiwa kuwa Chaguo la Mungu, Wengine wanapata uongozi kwa Dhuruma, Rushwa, wewe uliyeingia kwa njia hizo sio chaguo la Mungu, na Mungu anakukataa kama alivyomkataa sauli. Padre Denis...
8 Reactions
11 Replies
220 Views
Kwa sababu mpaka sasa Tundu Lissu sio mfungwa bali wanaomshikilia inaonekana wameamua kumfanya mahabusu wa kudumu ndani ya magereza itakuwa vizuri wampeleke akamzike Edwin Mtei mwanzilishi wa...
1 Reactions
3 Replies
127 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna watanzania wenzetu kwa kuungana na maadui zetu kwa chuki zao binafsi walidhamiria na kupanga kuliangamiza na kuliteketeza kabisa Taifa letu. Walidhamiria...
3 Reactions
39 Replies
879 Views
Wakuu, Ziko taarifa kuwa ziara ya Kihongosi inayoendelea inaacha maumivu makubwa kwa wananchi na wafanyabishara ambapo kwa upande wa Wakurugenzi wanalazimishwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya...
8 Reactions
16 Replies
372 Views
Hii nchi inanuka uonevu kila mahali, sasa kosa la huyu ninini.....Samia suluhu utalipa kwa haya unayowafanyia watanzani....Jeshi la polisi la TZ ni jeshi la hovyo kuwahi kutokea duniani... George...
45 Reactions
168 Replies
4K Views
Tuna mambo mengi na muda mchache au mfupi wa kuyasikiliza. Mzee Butiku kamaliza kusema. Kapingwa na kupuuzwa. Lakini tujiulize: Saa mbovu ikisema muda sahihi tutaitii na kuamka au tutapuuza? Mzee...
10 Reactions
13 Replies
378 Views
Back
Top Bottom