Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

"What looks to us like beautiful, deliberate design is actually just the end result of millions of years of nature ruthlessly filtering out what doesn't work, leaving behind only what does". If...
0 Reactions
1 Replies
90 Views
Mwenyekiti wa Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Bw. Geofrey Kiliba, amewataka wanaharakati na wakosoaji wa Serikali kuwa na usawa wanapotoa tathmini ya utendaji wa Serikali ya awamu ya sita kwa...
0 Reactions
16 Replies
230 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, ametetea uhalali wa serikali iliyopo madarakani na matokeo ya uchaguzi mkuu, akieleza kuwa vurugu zilizotokea wakati...
3 Reactions
37 Replies
547 Views
Tanzania, Misri Zakubaliana Kupanua Ushirikiano wa Kimkakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, Mhe. Abdel Fattah...
1 Reactions
10 Replies
296 Views
Hii inatufunza kuwa siasa yetu sasa imeingiliwa sana na wafanyabiashara na wanaohamasisha maandamano wanafanya hivyo ili kupoka madaraka kutoka kwa wazalendo wanaojali wananchi wa hali ya chini...
1 Reactions
2 Replies
88 Views
KBARUA YA WAZI KWA MUFTI MKUU WA TANZANIA: WITO WA UWAZI KUHUSU SAKATA LA KUONDOSHWA SHEIKH WALID Kwa: Mufti Mkuu wa Tanzania Yah: Ombi la kuweka wazi sababu za kuondoshwa Sheikh Walid ili haki...
5 Reactions
12 Replies
301 Views
Naona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke! Naomba hili liwe reference kwa 2025!
43 Reactions
258 Replies
23K Views
Inajulikana kuwa aliyeongoza mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964 ni mganda aliyejulikana kwa jina la John Gideon Okello, lakini CCM Zanzibar haitaki kumtambua wala kumpa heshima yake. CCM tunawajua...
18 Reactions
57 Replies
683 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ametoa wito mzito kwa viongozi wa dini nchini, wakiwemo Masheikh, Maaskofu, Wachungaji na Mapadri, kushirikiana na Serikali katika kulinda amani...
0 Reactions
22 Replies
230 Views
CHAUMMA hawana wanachama wa kuwachangia. Watachota fedha toka hazina kupitia ubabe wa CCM, then wajifanye wamechangiwa....time will tell! Jiulize, Chaumma ilipata wapi hela za kuzunguka na...
15 Reactions
24 Replies
444 Views
Mimi ni mkazi wa Wilaya ya Mbulu, Mkoa wa Manyara. Kwa kipindi hiki cha maombi ya mikopo ya elimu ya juu, tumeshuhudia baadhi ya watendaji wa vijiji wakitumia zoezi la usajili wa anwani za makazi...
1 Reactions
2 Replies
113 Views
Nukuu ya mazungumzo ya kwenye video "Wapinzani wanailaumu Serikali, wanalaumu mifumo, wanalaumu mahakama, wanalaumu Jeshi la Polisi, na kadhalika. Lakini wanasimama viongozi wa Serikali...
5 Reactions
8 Replies
245 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan anaendelea kuwa kiongozi Mwenye ushawishi na nguvu ya ushawishi...
2 Reactions
35 Replies
635 Views
".....Sio lazima CHADEMA wakisema chochote tukubali. Tutakubali mambo ya CHADEMA ambayo yana make sense...kwa sababu huwezi kutulazimisha kuachia mtu ambae kesi yake inaendelea..tena yeye Tundu...
12 Reactions
28 Replies
656 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amekutana na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Afrika, Karibiani na Pasifiki (OACPS), Mhe. Moussa...
0 Reactions
1 Replies
75 Views
SIJUI ni ujinga au upumbavu uliokithiri lakini inachekesha sana kusikia kila siku CHADEMA wanaongelea mambo ya maridhiano kama vile yanawahusu wao tu na bila wao hakuna maridhiano. SIJUI nani...
2 Reactions
32 Replies
465 Views
Watu wengi ndani na nje ya nchi yetu,wasomi mbalimbali,Bunge la ulaya, viongozi wa kisasa kule marekani,na sasa jumuia ya madola,wote wameshauri Tundu Lissu atoke gerezani.wote wanajua kesi iko...
1 Reactions
0 Replies
69 Views
Leo (Nov 8. 2021) umetokea ubishi mahakamani kwamba akina Kibatala wamekataa document ya kumkamata mshitakiwa (seizure). Hoja ni kwamba sheria kwenyw document hiyo haipo hapo nchini. Kosa hilo...
55 Reactions
147 Replies
18K Views
"Na zao la haki litakuwa ni utulivu na matumaini daima". Hii inamaanisha kuwa matendo mema na ya kweli huzaa amani, utulivu, na maisha yenye matumaini. Kulingana na maandiko ya Isaya 32:17 kutoka...
0 Reactions
3 Replies
89 Views
Tundu Lissu akiwa mahakamani, amesikika akisema; "Kama walikuwa wanataka kunikondesha, watafute utaratibu mwingine!" Mwenendo wa Kesi ya Uhaini >> Tundu Lissu: DPP anilipe fidia kwa taabu...
18 Reactions
65 Replies
1K Views
Back
Top Bottom