Wakuu,
Natazama hivi vipande vinavyorushwa na baadhi ya vyombo vya habari, waathirika wakisimulia walivyopata madhila. Hakuna sehemu unakoweza kupata mahojiano haya yote.
Kwanini hatupati...
By Benjamin Strick: Open Source Investigator - OSINT/GEOINT.
CIR - PREV BBC & Bellingcat.
Our full report documents the horrific events that happened in Tanzania during the internet blackout in...
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amesema kazi za serikali zifanyike makao makuu ya nchi, Dodoma, ili kuwasogezea Watanzania huduma.
“Mheshimiwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu mwelekeze Katibu...
Hii ni makala fupi dhidi ya uongo wa DW.
Moja ya vyombo vya habari vinavyotakiwa kuhojiwa na tume ni pamoja na vyombo vya habari vya magjaribi katika kushiriki kwao kuchochea vurugu.
DW, BBC...
Taarifa kwa Umma: Mahakama Kuu Yatoa Ruhusa Kufungua Kesi Dhidi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kwa Kuchelewesha Usajili wa Chama cha Independent People Party (IPP)
Dar es Salaam,
Leo tarehe 22...
GT
Angalia hii list..haki tungekuwa na oil reserve kubwa Samia ageshanyakuliwa mapema sana na US kwa mauaji yale makubwa.
Pote penye oil reserve kubwa US kapiga hacheki na kima
Kahujumu maridhiano mengi kwa faida binafsi akishirikiana na aliyekuwa Mkurugenzi wa chama Jon Mrema na wenzake waliokimbilia CHAUMMA.
Kwenye uchaguzi wa 2015, ulikuwa ni mpango wa Mbowe kumweka...
Wananchi wa Tanzania kutoka Mikoa yote ya Tanganyika wamelipuka kwa shangwe baada ya Tangazo halali la Mkurugenzi wa kinachoitwa Tume Huru ya Uchaguzi, Mtukufu Kailima kutangaza kwamba Chadema...
Serikali imetangaza rasmi kuanza utekelezaji wa mpango wa Bima ya Afya kwa Wote katika awamu ya kwanza. Katika awamu hiyo, kitita cha huduma muhimu za afya kitatolewa na skimu za Bima ya Afya kwa...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 23, 2026 akiweka jiwe la msingi mradi wa Ujenzi Vituo vya Kusukuma Maji, Mabomba Makuu ya Usafirishaji Maji na Matanki ya Kuhifadhia Maji jijini Mwanza...
CHADEMA Arusha. Kuna nyakati historia huwaita watu wake si kwa maneno, bali kwa dhamira. Jumamosi tarehe 24/01/2026, Tengeru Arusha haitakuwa tu mahali pa mazishi ya Mzee Edwin Mtei, itakuwa...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 23, 2026 akiweka jiwe la msingi mradi wa Ujenzi Vituo vya Kusukuma Maji, Mabomba Makuu ya Usafirishaji Maji na Matanki ya Kuhifadhia Maji jijini Mwanza...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 23, 2026 akiweka jiwe la msingi mradi wa Ujenzi Vituo vya Kusukuma Maji, Mabomba Makuu ya Usafirishaji Maji na Matanki ya Kuhifadhia Maji jijini Mwanza...
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imetoa kibali cha kufungua kesi ya msingi kwa walalamikaji Vyonheaven Exaud Urima na Andrew Fadhili Bomani katika shauri la kiraia Na...
Imeelezwa kuwa CHADEMA ilikuwa ikikusanya michango ya wanachama kwaajili ya maadhimisho ya 33 tangu kuanzishwa kwake, kwa kutumia huduma ya Airtel Money. Huku michango ikiwa inaendelea, Airtel...
Bima ya Afya kwa wote itabaki kuwa alama kuu ya mhe.Rais Samia katika Taifa letu.
ameipambania hadi tumepata sheria .
Chonde chonde waziri mpya wa Afya kamalizie jambo hili ukiweka akilini...
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, amesema kuwa kuna watu wanaohoji sababu za yeye kutembelea mikoa mbalimbali nchini, akasisitiza kuwa jukumu hilo lipo wazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.