Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Siku mbili zilizopita vyombo vya habari vimeripoti kwamba NEMC imetangaza kwamba kuanzia sasa mirindimo yoyote na kelele zozote zinazohusiana na sherehe, matangazo, sauti kubwa kutoka majumba ya...
2 Reactions
30 Replies
6K Views
Wakuu Kesi inayovuta hisia za wengi nchini imeendelea kupata mvuto mkubwa mtandaoni, huku idadi ya wafuatiliaji kupitia jukwaa la YouTube ikiongezeka kwa kasi isiyotarajiwa. Hizi ni baadhi ya...
6 Reactions
16 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/watch?v=vO-UWuTq9AU Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amesema kuwa chama hicho kinaungana na msimamo wa Askofu Josephat Gwajima, juu ya kupinga masuala ya utekaji...
1 Reactions
2 Replies
915 Views
Wakuu! Hivi hawa wabunge wa kilala wa kiamka wanawaza tu wananchi wawe wanakatwa asilimia au tozo kuongezeka wao mbona awasemi wakatwe hizo posho zao au mishaara? Mbunge Francis Mtinga amesema...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Leo tarehe 3/6/2025 ndiyo siku ile iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu! Siku ambayo huko Jijini Mwanza Chaumma mpya itazindua kampeni kabambe ya C4C huku chopa ikiwa pembeni ikisubiri kukata upepo...
3 Reactions
48 Replies
3K Views
Nimetazama ushahidi wa Boniface Mwangi alioutoa kwenye vyombo vya habari vya Kenya akielezea unyama aliyofanyiwa na Polisi wa Tanzania. Natabiri kwamba kesi hii haitaishia kama wanavyowafanyia...
20 Reactions
80 Replies
5K Views
WABUNGE Wamependekeza Serikali Kuandaa Sera Moja ya Kodi ili Kutoa Mwongozo wa Masuala Yote ya Kodi Nchini. - Akisoma maoni Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kuhusu utekelezaji wa majukumu ya...
0 Reactions
1 Replies
298 Views
Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, Jawadu Mohamed amewataka Watanzania na WanaCCM kumkingia kifua Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan dhidi ya mashambulizi yoyote...
2 Reactions
45 Replies
2K Views
Yupo mjinga mmoja sitamtaja jina alisikika akitoa hiyo kauli kwa mbwembwe wakati anahama. Aliongea mengi mengine siyakumbuki na kama kawaida akapambwa na wale waandishi mradi. Leo kipo wapi...
15 Reactions
42 Replies
2K Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani vikali hatua ya Msajili wa Jumuiya za Kiraia kulifuta kanisa la Ufufuo na Uzima, likiuita uamuzi huo kuwa wa kidhalimu na unaokiuka uhuru wa...
2 Reactions
4 Replies
683 Views
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amesema kuwa ukuaji wa Pato la Taifa (GDP) kwa mwaka 2024 umefikia asilimia 5.5, ukilinganishwa na asilimia 5.1 kwa mwaka 2023 na asilimia 5.4 kwa...
0 Reactions
1 Replies
344 Views
Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hadi kufikia Aprili 2025, Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania imekusanya jumla ya Tsh. bilioni 17.42, sawa na asilimia 70 ya lengo la mwaka na...
2 Reactions
9 Replies
758 Views
Serikali imeingia makubaliano na nchi mbalimbali ili kurahisisha utaratibu wa viza ambapo raia wa Nchi 71 hawahitaji viza wanapoingia nchini. Kwa sasa watalii kutoka mataifa mengi zaidi duniani...
0 Reactions
2 Replies
541 Views
Nitakupa Update zote Kutoka Viunga vya mahakama Hapa Kisutu Kaa Karibu na Uzi huu... -------------------------------- Kesi imeanza kusikilizwa Mbele ya Mh. Hakimu Mhini Mawakili wa utetezi...
12 Reactions
30 Replies
3K Views
WAZIRI KOMBO ANADI FURSA ZA UWEKEZAJI ZA TANZANIA NCHINI KOSOVO Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewakaribisha wafanyabiashara na...
0 Reactions
0 Replies
264 Views
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Mkoa wa Shinyanga, Emmanuel Ntobi amehamia chama cha ACT Wazalendo na kupokelewa na Katibu Mkuu wa chama hicho Ado Shaibu...
6 Reactions
56 Replies
3K Views
Ni jambo la kutisha na la kuumiza kuona Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kutumia mamlaka ya ofisi ya juu kabisa ya utawala, akiamua kufungia nyumba za ibada kana kwamba ni maeneo ya...
11 Reactions
33 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Bunda Bonface Mwita Getere leo Bungeni Jijini Dodoma ametaka Bima ya Afya kwa Wabunge ifike muda wa matumizi yake hadi mwezi wa 11. Soma, Pia: Mbunge Francis Mtinga ataka...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Songolo Mnyonge, amewataka viongozi wa CHADEMA kuacha chokochoko za kisiasa ambazo zinaweza kuhatarisha amani ya nchi, hasa kipindi hiki taifa linapoelekea kwenye...
1 Reactions
25 Replies
1K Views
Mjumbe wa Bodi ya wadhamini ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema, Mary Florian Joachim ametangaza kujiuzulu nafasi yake ya Ujumbe wa Chadema, nafasi ambayo ameitumikia kwa takribani miaka...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom