Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un amesisitiza kuwa ataendelea kuiunga mkono Urusi katika vita dhidi ya Ukraine. Ameitoa kauli hiyo katika mkutano wake na Waziri wa Mambo ya nje ya Urusi...
0 Reactions
0 Replies
265 Views
Urusi imesema imekiteka kijiji kingine magharibi mwa mkoa wa Donesk nchini Ukraine Jumapili 13.07.2025 wakati vikosi vyake vikiendelea kupata mafanikio na kusonga mbele kuelekea katika mkoa jirani...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Mkuu wa mkoa wa DSM Leo ameongoza Msafara wa Viongozi chungu nzima waliohudhuria uzinduzi wa Kitabu kilichoandikwa na Suzan Magufuli Suzan ni mtoto wa mzalendo namba 2 nchini Shujaa Magufuli...
5 Reactions
24 Replies
1K Views
Kitendo cha Zitto Kabwe kusema kuwa kungojea miaka mingine mitano kama vyama visiposhiriki uchaguzi wa mwaka huu, ni muda mrefu Sana, inaonesha Zitto hajui anachokipigania Kumbe Zitto kwake yeye...
11 Reactions
28 Replies
1K Views
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu Tanzania (TAHLISO), Bw. Geofrey Kiliba, amesema kuwa wadhifa wake ndani ya jumuiya hiyo haumzuii kutoa pongezi kwa viongozi wa serikali wanaotekeleza...
0 Reactions
4 Replies
363 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan,amepokea kwa masikitiko makubwa sana taarifa za kifo cha Rais...
1 Reactions
17 Replies
966 Views
Wewe fuatilia tu yanayoendelea ukiwa umetuliza akili Huyu Polepole ndio alisema Lowassa akiteuliwa na CCM atazunguka nchi nzima kumpinga Watu wanaliana timing sana Mlale unono 🙏
0 Reactions
0 Replies
164 Views
https://youtu.be/8reLapCOf0s?si=d0DkYnApY4VvHj_U Hebu msikilize vizuri Afande Jumanne Muliro, RPC Kanda Maalumu ya DSM kwenye video hiyo akielezea namna alivyokuwa very sharp yeye na polisi wake...
0 Reactions
1 Replies
306 Views
Unapogusa kanisa, unamkusa Kristo mwenyewe kwa sababu ila hilo ukristo duniani hautambuliki, bila hilo, ukristo dunaini hauhubiriwi, watu hawaabudu Mungu kwa njia ya ukristo, fanya vyote ila...
2 Reactions
9 Replies
460 Views
Sasa ni rasmi kuwa Ndugai, Mpango na Majaliwa wote walipigwa boot. Swali langu kwa nafadi zao ilikuwaje hawakuliona hili mpaka wamexifiwa na bwana mfogo tu Polepole. Su walilewa madaraka wakadhani...
0 Reactions
0 Replies
380 Views
GT Ni wazi polepole ni moja ya wale walioshiriki kuminya demokrasia nchini. Lakini hilo halimuondolei.uhalali na haki ya kutubu na kuyaacha ya zamani na kuanza ukurasa mpya. Kwa hiyo mwacheni...
2 Reactions
8 Replies
512 Views
#IkuluWikiHii Tazama muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika wiki hii tarehe 7 - 13 Julai, 2025.
0 Reactions
0 Replies
331 Views
Huo Wimbo uliimbwa na Sedekia ambaye alifariki akiwa nchi Takatifu ya Israel katika kazi ya kumtumikia Mungu wa mbinguni Wimbo uko ukurasani kwake Insta Mlale unono 🙏🇹🇿🇮🇱
1 Reactions
2 Replies
349 Views
Friends and our Enemies, Muda siku zote huwa ni hakimu sahihi sana wa matendo yetu hapa ulimwenguni. POLE POLE,Enzi za mwendazake kipindi ambacho demokrasia ya Taifa hili ilikuwa gizani,uhuru wa...
8 Reactions
52 Replies
1K Views
"Siku hizi wanaruka na helkopta, inaonekana ile Helkopta wamepewa na serikali. Sisi tunaoruka na helkopta CHAUMMA leo ndiyo tulikuwa tunaruka na Helkopta Chadema mwaka jana, mwaka juzi mpaka mwaka...
0 Reactions
0 Replies
218 Views
OMBI KWA RAIS MAGUFULI: NITEUE UBALOZI WA CUBA BILA MSHAHARA NA SABATHO NYAMSENDA Mpendwa Rais Magufuli, Pole kwa majukumu ya ujenzi wa taifa. Tafadhali pokea pongezi zangu za dhati kwa uamuzi...
18 Reactions
123 Replies
19K Views
Mwenyekiti wa Chadema mstaafu Mh Mbowe aliongoza ziara ya Watumishi wa KKKT Machame waliokuja jijini DSM kimafunzo Ujumbe huo ulizuru Sharika Mashuhuri za Boko, Mbezi beach, Kijitonyama na Kimara...
0 Reactions
3 Replies
370 Views
Kwa Imani yangu, kwa hofu ya Mungu niliyonayo, kwa misingi ambayo nikuzwa na kujifunza na kwa itikadi ambayo nimeiamini, imenibidi kufanya uamuzi huu. Historia itatoa tafsiri sahihi ya uamuzi...
0 Reactions
1 Replies
276 Views
Nimeshangaa sana ndugu Polepole kuhusisha kazi ya Balozi na uanachama wake wa CCM Polepole anajiuzulu Utumishi wa Umma lakini anasema ataendelea kuwa mwanachama mtiifu wa CCM Polepole...
9 Reactions
27 Replies
1K Views
Back
Top Bottom