1. Kwakuwa Rais ni Mwenyekiti wa CCM, linapotokea jambo linalohusu ufafanuzi, Msemaji wa Chama awe mmoja tu, mengine yawe ni maoni tu ya Wanachama na upande wa Serikali vivyo hivyo msemaji ni...
Kitendo cha chama hiki kushirikisha Watu wote kwenye jambo lake ni silaha halisivya mapambano.
Angalia hii
Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha Godbless Lema na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha...
1. Edgar Mwakabela au SATIVA
2. Msabaha
3. Hilda Newton (Alikimbilia uhamishoni baada ya kunusurika siku ya kesi ya Lissu)
4. Titto Magoti
5. Maria Sarungi
Ongeza wengine
Vyombo vya Usalama vinalinda Usalama wa mali na raia.
Usalama ukitoweka walinzi wa Usalama ndio wanalaumiwa.
Kama viongozi watatumia vyombo vya Usalama kuwakandamiza wananchi au kuwadhulumu...
Sijui tuko hatua gani kwenye diagram hii
FlipFact of the Day:
To this day, the topic of human evolution remains hotly debated.
Those who support the idea of natural selection typically find...
CHAUMA ilinadi mkutano wake kufanyika kwenye viwanja vya furahisha ila ajabu watu wa Mwanza walipuuza na hawakujitokeza
CHAUMA walipewa uwanja wa furahisha pamoja na support ya ulinzi wa polisi...
Kwenye mkutano wa Chama Cha Mapinduzi uliofanyika tarehe 29 na 30 Mei, 2025 ulihudhuriwa na wasanii mbalimbali ambao waliulizwa ajenda zilizojadiliwa kwenye mkutano huo, lakini cha kushangaza...
Gwajima kasema amemshangaa Ponjoro wa Kinondoni ambaye ameng'aka kwa mtoto wa mtu mmoja akitolewa mfano kwenye utekaji.
Anasema yeye alitolea mfano kwa watoto wa wote, sababu anawajali wote...
Nimeisikiliza hotuba ya Askofu Gwajima "akilihutubia" taifa! Ni hotuba nzuri iliyoweka mbele maslahi ya taifa! Si bure Watanzania wote wenye akili wanaifurahia!
Lakini imezoeleka kuwa kila...
Nipende kutoa wito kwa vijana tunaochipukia kwenye siasa lakini pia nitoe angalizo kwa wanajamii kuhusu kutofautisha kati ya Serikali(ambayo unaweza kuinyanyasa utakavyo) na Dola(ambalo ni dubwana...
https://youtu.be/K7Ok_sZxnzI?si=JFqWdTjV8wPwC4pT
Natoa ushauri kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa naomba usikae kimya toa tamko la kuonyesha kwamba haya maelekezo ya kufuta...
What is Chopper? Ni kweli watu wa Mwanza watoke majumbani kwenda kuona chopper? Mmewaona ni wajinga kiasi Gani Hadi mrundikane kuwaringishia chopper? Watu wanataka sera na siyo taarabu na mipasho...
Leo nimemsikiliza Fr kitima anasema Mungu lazima ajibu na at the same time Gwajima naye anasema Mungu hawezi kunyamazishwa.
It is as if kuna vita ya kidini ukiangalia kwa macho makaliwith 3D na...
Chama kama taasisi yoyote ile huitaji wajenzi, wenye bidii iliyo kubwa kabisa na mbinu mbali mbali hatimaye kukisimamisha chama kikaonekana miongoni mwa watanzania na mwishowe kupendwa...
Dunia nzima hakuna watu wasiri kama chama tawala Tanzania cha CCM wanashika nafasi ya tatu baada ya china na korea kaskazini
Huwezi jua their next move
Nashangaa kuna nyuzi nyingi sana kuhusu Gwajima wakati tulishakubaliana kuwa ufafanuzi alioutoa komredi Lucas Mwashambwa ndo msimamo wa JF kuhusu kauli za Gwajima?! Mods futeni nyuzi zinazojirudia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.