Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

1. Kwakuwa Rais ni Mwenyekiti wa CCM, linapotokea jambo linalohusu ufafanuzi, Msemaji wa Chama awe mmoja tu, mengine yawe ni maoni tu ya Wanachama na upande wa Serikali vivyo hivyo msemaji ni...
2 Reactions
1 Replies
302 Views
Kitendo cha chama hiki kushirikisha Watu wote kwenye jambo lake ni silaha halisivya mapambano. Angalia hii Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha Godbless Lema na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha...
9 Reactions
32 Replies
2K Views
1. Edgar Mwakabela au SATIVA 2. Msabaha 3. Hilda Newton (Alikimbilia uhamishoni baada ya kunusurika siku ya kesi ya Lissu) 4. Titto Magoti 5. Maria Sarungi Ongeza wengine
1 Reactions
9 Replies
944 Views
Vyombo vya Usalama vinalinda Usalama wa mali na raia. Usalama ukitoweka walinzi wa Usalama ndio wanalaumiwa. Kama viongozi watatumia vyombo vya Usalama kuwakandamiza wananchi au kuwadhulumu...
0 Reactions
0 Replies
231 Views
Sioni tofauti ya utawala huu na wa mfalme herode
2 Reactions
1 Replies
225 Views
Sijui tuko hatua gani kwenye diagram hii FlipFact of the Day: To this day, the topic of human evolution remains hotly debated. Those who support the idea of natural selection typically find...
0 Reactions
0 Replies
305 Views
CHAUMA ilinadi mkutano wake kufanyika kwenye viwanja vya furahisha ila ajabu watu wa Mwanza walipuuza na hawakujitokeza CHAUMA walipewa uwanja wa furahisha pamoja na support ya ulinzi wa polisi...
19 Reactions
45 Replies
3K Views
Kwenye mkutano wa Chama Cha Mapinduzi uliofanyika tarehe 29 na 30 Mei, 2025 ulihudhuriwa na wasanii mbalimbali ambao waliulizwa ajenda zilizojadiliwa kwenye mkutano huo, lakini cha kushangaza...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Gwajima kasema amemshangaa Ponjoro wa Kinondoni ambaye ameng'aka kwa mtoto wa mtu mmoja akitolewa mfano kwenye utekaji. Anasema yeye alitolea mfano kwa watoto wa wote, sababu anawajali wote...
63 Reactions
104 Replies
8K Views
Nimeisikiliza hotuba ya Askofu Gwajima "akilihutubia" taifa! Ni hotuba nzuri iliyoweka mbele maslahi ya taifa! Si bure Watanzania wote wenye akili wanaifurahia! Lakini imezoeleka kuwa kila...
20 Reactions
105 Replies
6K Views
Kumtoa Gwajima kutazidisha spana za wazi
1 Reactions
12 Replies
809 Views
Nipende kutoa wito kwa vijana tunaochipukia kwenye siasa lakini pia nitoe angalizo kwa wanajamii kuhusu kutofautisha kati ya Serikali(ambayo unaweza kuinyanyasa utakavyo) na Dola(ambalo ni dubwana...
15 Reactions
105 Replies
4K Views
https://youtu.be/K7Ok_sZxnzI?si=JFqWdTjV8wPwC4pT Natoa ushauri kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Innocent Bashungwa naomba usikae kimya toa tamko la kuonyesha kwamba haya maelekezo ya kufuta...
0 Reactions
2 Replies
385 Views
What is Chopper? Ni kweli watu wa Mwanza watoke majumbani kwenda kuona chopper? Mmewaona ni wajinga kiasi Gani Hadi mrundikane kuwaringishia chopper? Watu wanataka sera na siyo taarabu na mipasho...
4 Reactions
9 Replies
778 Views
Leo nimemsikiliza Fr kitima anasema Mungu lazima ajibu na at the same time Gwajima naye anasema Mungu hawezi kunyamazishwa. It is as if kuna vita ya kidini ukiangalia kwa macho makaliwith 3D na...
-4 Reactions
40 Replies
2K Views
Hakuna haja ya Porojo, angalia mwenyewe halafu Toa Maoni yako CHADEMA NA WANANCHI WAO NA POLISI
40 Reactions
102 Replies
6K Views
Chama kama taasisi yoyote ile huitaji wajenzi, wenye bidii iliyo kubwa kabisa na mbinu mbali mbali hatimaye kukisimamisha chama kikaonekana miongoni mwa watanzania na mwishowe kupendwa...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Maana mwitikio wa watu ni mdogo sana, hii inaweza wanachama wa chama hicho waliohama chadema kuvunjika moyo
11 Reactions
47 Replies
3K Views
Dunia nzima hakuna watu wasiri kama chama tawala Tanzania cha CCM wanashika nafasi ya tatu baada ya china na korea kaskazini Huwezi jua their next move
0 Reactions
2 Replies
310 Views
Nashangaa kuna nyuzi nyingi sana kuhusu Gwajima wakati tulishakubaliana kuwa ufafanuzi alioutoa komredi Lucas Mwashambwa ndo msimamo wa JF kuhusu kauli za Gwajima?! Mods futeni nyuzi zinazojirudia...
1 Reactions
5 Replies
369 Views
Back
Top Bottom