Unapogusa kanisa, unamkusa Kristo mwenyewe kwa sababu ila hilo ukristo duniani hautambuliki, bila hilo, ukristo dunaini hauhubiriwi, watu hawaabudu Mungu kwa njia ya ukristo, fanya vyote ila...
Sasa ni rasmi kuwa Ndugai, Mpango na Majaliwa wote walipigwa boot. Swali langu kwa nafadi zao ilikuwaje hawakuliona hili mpaka wamexifiwa na bwana mfogo tu Polepole. Su walilewa madaraka wakadhani...
GT
Ni wazi polepole ni moja ya wale walioshiriki kuminya demokrasia nchini.
Lakini hilo halimuondolei.uhalali na haki ya kutubu na kuyaacha ya zamani na kuanza ukurasa mpya.
Kwa hiyo mwacheni...
#IkuluWikiHii Tazama muhtasari wa matukio yote muhimu aliyoyafanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika wiki hii tarehe 7 - 13 Julai, 2025.
Huo Wimbo uliimbwa na Sedekia ambaye alifariki akiwa nchi Takatifu ya Israel katika kazi ya kumtumikia Mungu wa mbinguni
Wimbo uko ukurasani kwake Insta
Mlale unono 🙏🇹🇿🇮🇱
Friends and our Enemies,
Muda siku zote huwa ni hakimu sahihi sana wa matendo yetu hapa ulimwenguni.
POLE POLE,Enzi za mwendazake kipindi ambacho demokrasia ya Taifa hili ilikuwa gizani,uhuru wa...
"Siku hizi wanaruka na helkopta, inaonekana ile Helkopta wamepewa na serikali. Sisi tunaoruka na helkopta CHAUMMA leo ndiyo tulikuwa tunaruka na Helkopta Chadema mwaka jana, mwaka juzi mpaka mwaka...
OMBI KWA RAIS MAGUFULI: NITEUE UBALOZI WA CUBA BILA MSHAHARA
NA SABATHO NYAMSENDA
Mpendwa Rais Magufuli,
Pole kwa majukumu ya ujenzi wa taifa. Tafadhali pokea pongezi zangu za dhati kwa uamuzi...
Mwenyekiti wa Chadema mstaafu Mh Mbowe aliongoza ziara ya Watumishi wa KKKT Machame waliokuja jijini DSM kimafunzo
Ujumbe huo ulizuru Sharika Mashuhuri za Boko, Mbezi beach, Kijitonyama na Kimara...
Kwa Imani yangu, kwa hofu ya Mungu niliyonayo, kwa misingi ambayo nikuzwa na kujifunza na kwa itikadi ambayo nimeiamini, imenibidi kufanya uamuzi huu.
Historia itatoa tafsiri sahihi ya uamuzi...
Nimeshangaa sana ndugu Polepole kuhusisha kazi ya Balozi na uanachama wake wa CCM
Polepole anajiuzulu Utumishi wa Umma lakini anasema ataendelea kuwa mwanachama mtiifu wa CCM
Polepole...
_WANANCHI WAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA MIRADI YA MAENDELEO
_
Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Victoria Charles Mwanziva amehitimisha kwa kishindo ziara ya kikazi Kata kwa Kata katika kata zote za Jimbo la...
CHADEMA mnasiasa butu sana, hawafanyi transformative politics, huwa mnajidanganya wakati mnajua kabisa nchi yetu ni kubwa kuliko chama cha siasa.
Mbaya zaidi chadema wameshasahau kuwa sifa moja...
Hii record imewahi kutokea lini katika historia ya nchi yetu? Hili si jambo la kawaida hata kidogo. Kama mtampa Moyo kwamba mama usiangalie nyuma songa mbele mnampoteza ndugu yenu.
Huko mbele...
Naibu Katibu Mkuu wa kanisa la Glory of Christ (Ufufuo na Uzima), Askofu Maximilian Machumu maarufu Askofu Mwanamapinduzi, amesema Kilutheri la Afrika Mashariki (KKAM) la Ubungo Kibo walilokuwa...
Wakuu,
Mambo yameendelea kuwa sukari huko CCM. Yaani baada ya harakati za kuua upinzani kushika kasi sasa CCM wameanza kushughulikiana wenyewe kwa wenyewe
Huyo Hamisi Mtutu anayezungumzia hapo...
Nalaani hatua yoyote ya Serikali, Taasisi au mtu binafsi anayezuia waumini kuabudu kwa hiari yao ndani ya Makanisa au mahali pengine pa Ibada.
Waumini kuzuiwa kusali katika Makanisa yao ni za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.