Je ikitokea hii first eleven inaingia uwanjani, Samia atatoboa?

Je ikitokea hii first eleven inaingia uwanjani, Samia atatoboa?

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,693
Reaction score
9,895
Kikosi kiwe namna hii.

1. Dr Philip Mpango
2. Simbachawene
3. Mpina
4. Sugu
5. Job Ndugai
6. Dr Bashiru Alli
7. Halima Mdee
8. Josephat Gwajima
9. Kassim Majaliwa
10 Freeman Mbowe
11. Humphrey Polepole

Coach
Sinde Warioba

Supersubs
1. Boniyai
2. Kigwangwala
3. Gambo
4. Kabudi Paramagamba
5.

Ili ni jambo la kufikirika tu lakini ikiwa linaweza kutokea unakionaje kikosi dhidi ya kikosi cha Samia?
 
Hamna kitu hapo

Akitokea Makonda na mdogo wake Lengai hao wote wanakimbia 🐼
 
Hakuna wana- CCM waliofanikiwa nje ya mfumo,ushindwe kukemea maovu nyumbani kwako ,ukimbie nyumba yako halafu unaenda kukemea maovu ya nyumbani kwako barabarani sahau. Hao viongozi wa CCM uliowataja hapo wamenufaika na mfumo wa kibabe wa serikali ya CCM,hawajawahi kukemea hata utekaji maana wananufaika,wakianza sasa itakuwa unafki tu
 
Weka uchaguzi huru na wa haki. Mwache Lissu jela. Samia afanye campaign miezi mitano. Chadema wasifanye campaign.

Kisha tenga uchaguzi. By saa tatu asubuhi Lissu atakuwa rais wa hii nchi.
Mnasubiria nani awawekee uchaguzi huru na wa haki?

Mtachelewa sanaaaa
 
Kikosi kiwe namna hii.

1. Dr Philip Mpango
2. Simbachawene
3. Mpina
4. Sugu
5. Job Ndugai
6. Dr Bashiru Alli
7. Halima Mdee
8. Josephat Gwajima
9. Kassim Majaliwa
10 Freeman Mbowe
11. Humphrey Polepole

Coach
Sinde Warioba

Supersubs
1. Boniyai
2. Kigwangwala
3. Gambo
4. Kabudi Paramagamba
5.

Ili ni jambo la kufikirika tu lakini ikiwa linaweza kutokea unakionaje kikosi dhidi ya kikosi cha Samia?
Mnakuza sana mambo 😀😀😀😀😀
 
Kwanini umchangaje Sugu pamoja na waathirika wa CCM,kwani na yeye kaunga juhudi?!🤔
 
Kikosi kiwe namna hii.

1. Dr Philip Mpango
2. Simbachawene
3. Mpina
4. Sugu
5. Job Ndugai
6. Dr Bashiru Alli
7. Halima Mdee
8. Josephat Gwajima
9. Kassim Majaliwa
10 Freeman Mbowe
11. Humphrey Polepole

Coach
Sinde Warioba

Supersubs
1. Boniyai
2. Kigwangwala
3. Gambo
4. Kabudi Paramagamba
5.

Ili ni jambo la kufikirika tu lakini ikiwa linaweza kutokea unakionaje kikosi dhidi ya kikosi cha Samia?
Day dreaming fckoff
 
Siku zote tuliwaambia Lissu sio mwanasiasa ni mwanaharakati, game kama hizi zinachezwa na wanasiasa.
Lissu yupo jela sasa hivi anaamini umkontho wesizwe (bavicha) watampigania atolewe kama ilivyokuwa Mandela which is so utopian.
Ukweli uchelewa ila unaishi,hao kina polepole hawana chochote Zaid ya matumbo yao.
Time will tell
 
Siku zote tuliwaambia Lissu sio mwanasiasa ni mwanaharakati, game kama hizi zinachezwa na wanasiasa.
Lissu yupo jela sasa hivi anaamini umkontho wesizwe (bavicha) watampigania atolewe kama ilivyokuwa Mandela which is so utopian.
Sinza Nzima nahisi wewe tu ndo unashida
 
Back
Top Bottom