Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Niliwahi kuleta uzi hapa,jinsi ilivyo ngumu kwa hawa matajili wa madawa ya kulevya na mafisadi papa kukamatika bila nguvu ya ziada kutumika. Hii ni kwa sababu hawa jamaa wanajua sana kutumia...
145 Reactions
267 Replies
36K Views
Bakari Kazungu anadaiwa kutekwa na ‘watu wasiojulikana’ na kufanyiwa vitendo viovu. NOTE: Video imeondolewa ili kuondoa sehemu sensitive na kulinda utu wake Soma machache aliyowahi sema: 1) CDE...
18 Reactions
194 Replies
5K Views
Kama ukiweza kuipata na kuisoma KATIBA YA KENYA utagundua kuwa ni moja ya KATIBA makini zinazojitosheleza kwenye kila nyanja za KITAIFA katika zama hizi. Tatizo la Afrika Mashariki, hususan Kenya...
9 Reactions
73 Replies
650 Views
Bila kujali nilikuwa upande wa chama tawala au chama cha upinzani, uamuzi wa kutopiga kura nilifanya kwa sababu, kimantiki, mazingira ya uchaguzi yalishatabiri mshindi. Katika chaguzi za 2020 na...
6 Reactions
12 Replies
116 Views
Wamechoka kuchangia chama chao, wamechoka kukemea ufisadi ndani ya chama chao, wamechoka kulipia ada za uanachama wao n.k nini kinaweza kua chanzo cha uchovu huu wanachama wa chadema? Mungu...
2 Reactions
33 Replies
225 Views
Kama ilivyokuwa Katavi University of Science and Technology (KUST) vile vile Ile campus ya Mchongo kule Ruangwa inaenda kuwa nyumba ya popo! Mzee wamemtema mapema asubuhi
8 Reactions
33 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Mwili wa mwanamume umekutwa katika eneo la Makuburi, Dar es Salaam, ukiwa hauna jeraha linaloonekana, huku jitihada za kuutambua zikishindikana hadi saa tano kamili asubuhi ya leo...
3 Reactions
25 Replies
373 Views
Watu wengi tulitarajia atoe hotuba kali sana kupinga haya masuala ya utekaji na mauji. Lakini hata alipo uliwa Mzee Ali Kibao, rais alitamka kifo ni kifo tu👇
0 Reactions
5 Replies
116 Views
Habari za majukumu wana-JF (JamiiForums), Heshima kwenu wakuu wote wa jukwaa hili adimu na huru la kutoa maoni. Natumai mko salama na mnaendelea kujenga taifa. Leo nimeona nije hapa jukwaani...
12 Reactions
64 Replies
674 Views
Ramesh Patel Mgombea Ubunge Ukonga Dar, akamatwa na Takukuru akitoa Rushwa Check Point Pugu Je kwa mfumo huu wa kutoa rushwa katika Hatua ya Kura za maoni na hata kampeni kubwa,wananchi wataweza...
1 Reactions
48 Replies
14K Views
Inasemekana Malori na ICD zote kuhamishiwa Bandari kavu ya Kwala kama Magufuli alivyopanga na kujenga bandari kavu na kupeleka Treni kule. #Magu- mtanikumbuka.
5 Reactions
13 Replies
205 Views
Mimi kama raia wa kuzaliwa wa nchini Tanzania ninayo haki ya kuyafahamu yanayoendelea kwenye nchi yangu , naomba mwenye majibu ya maswali yangu anisaidie . natanguliza shukrani .
8 Reactions
141 Replies
25K Views
Dar Es Salaam - Ni jiji lenye ofisi nyingi za uongozi wa kitaifa na East Africa commercial city Dodoma - Ni jiji linalowekewa bajet kubwa sana ili kuhamishia ofisi za serikali huko Arusha - Ni...
4 Reactions
16 Replies
298 Views
Ni kama vile ingewezekana mawakili wa Serikali nao wangeomba kuendesha kesi dhidi ya Tundu Lissu kwa kificho. Kwenye video hii Kuna kila shaka kwamba mawakili wa serikali hawapendi sura zao...
10 Reactions
40 Replies
661 Views
Ilani ya CCM ya 2025-2030 Ibara ya 2.6 inayohusu uimaridhaji Utawala Bora na Demokrasia kifungu (v) wametoa ahadi tatu Kwa Polisi, Magereza, uhamiaji na Zimamoto ambazo ni;- 1. Mishahara...
0 Reactions
2 Replies
63 Views
Kama mada inavyosema wadau na wazalendo wa Taifa ili,nimefanya maamuzi sahihi ya kua mpelelezi binafsi wa jamii. Nchi yetu imekua na matukio ambayo kusema ukweli yamelitia doa Taifa letu .Taifa...
6 Reactions
73 Replies
6K Views
Ni wazi mpaka sasa, mh.Hakainde Hichilema, Rais wa Zambia anaongoza kwa kura za kutosha kutangazwa mshindi wa uchaguzi huo, dhidi ya wagombea urais wa miungano ya vyama na vyama ya siasa vingine...
4 Reactions
36 Replies
407 Views
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Dorothy semu, ameweka wazi kuwa chama chake hakina ushirikiano, urafiki wala mahusiano ya na Dola wala Chama Cha Mapinduzi (CCM), bali ACT inalenga kutimiza...
1 Reactions
5 Replies
86 Views
A "no case to answer" submission happens when the defense argues the prosecution's evidence is too weak to prove a crime, allowing the judge to dismiss the charges and acquit the defendant without...
10 Reactions
32 Replies
349 Views
Madeleka: ‘Nimeambiwa CCM walisikitika mimi kukamatwa. Nashukuru wameonesha kazi na utu’ Wakili wa kujitegemea Peter Madeleka ameyasema haya leo Agosti 18, 2026, wakati akiongea na vyombo vya...
1 Reactions
1 Replies
87 Views
Back
Top Bottom