Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Featured
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan, amesema ili kuliponya Taifa amechukua hatua kadhaa ikiwemo kuanzisha Wizara ya Vijana iliyopo chini ya Ofisi ya Rais, kuwaachia...
9 Reactions
86 Replies
4K Views
Ameandika Askofu Bagonza na moja ya nukuu nzuri sana kwa watawala uwafikie hiyo ============== Upofu na ukiziwi ukimpata mtawala, mahabusu na magereza hugeuka vyuo vikuu vya mabadiliko katika nchi...
2 Reactions
6 Replies
250 Views
Mwigulu endelea kulumbana na akina Mange huku nchi jirani zikijenga mahusiano na mataifa makubwa duniani na kuimarisha uchumi wa nchi zao. ========== U.S Deputy Secretary of State, AFRICOM...
9 Reactions
48 Replies
924 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa kila jambo na wakati wake na majira kwa kusudi maalumu chini ya Mbingu. Kwa hakika huu ni wakati na muda muafaka na majira sahihi kabisa kwa Benki Kuu Ya Tanzania...
-3 Reactions
41 Replies
428 Views
Wakuu, Kweli watu tumevurugwa, yaani jamaa kaamua kupiga simu kabisa hawa machawa 😂 Haya sasa kampeni ianze kufanya kazi kwa wote wenye laini ya airtel 😂 Baada ya CHADEMA kutoa taarifa kuwa...
21 Reactions
47 Replies
1K Views
Yaani Zanzibar wanatunywesha maji ya Chumvi kama Wanyama(Ng'ombe) Kutoka Dar (Tanzania bara) hadi Kisiwani si mbali. Wanasiasa wa Zanzibar wanachoweza ni kuzalisha Janjaweed wa kuua watu...
9 Reactions
46 Replies
959 Views
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Mh. Mrisho Gambo, amewasili kwenye msiba wa marehemu Mzee Edwin Mtei, mmoja wa waasisi wa CHADEMA, huko Arusha. Hii ni...
4 Reactions
7 Replies
310 Views
MZEE MTEI AMEZIKWA MWILI; FIKRA ZAKE ZIMEBAKI Jana 24/1/2026, taifa limeuzika mwili wa Mzee Edwin Mtei (94). Ana historia inayogusa sekta nyingi hapa nchini. Watu wa namna hiyo huwa ni kama moto...
3 Reactions
0 Replies
202 Views
https://youtu.be/85bP-YM4ynQ?si=NANNLo0GT5vnfQt_ HAKI huchelewa tu lakini kamwe haijawi kushindwa na dhuluma Tujiandae kumpokea uraiani shujaa na mpigania HAKI asiyeyumba wala kutikisika, mwana...
15 Reactions
33 Replies
700 Views
Naibu wa Waziri wa Afya, Mhe. Dkt. Florence Samizi (wa pili kushoto) akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi (wa pili kulia) pamoja na Mkurugenzi wa Huduma za Kinga na...
1 Reactions
1 Replies
101 Views
TAARIFA KWA UMMA KUKOMA KWA AMRI YA ZUIO LA MAHAKAMA KUU LA TAREHE 10 JUNI 2025 KWA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA) KUFANYA SHUGHULI ZA SIASA NCHINI 1. Mnamo tarehe 20 Januari 2026...
11 Reactions
14 Replies
437 Views
Baada ya hotuba yake kwenye mazishi ya Mzee Mtei (RIP), vijana wengi wanaonekana kukoshwa na hotuba hiyo, wengine wakimpongeza kwa hashtags kwenye social media. Wengine wanaona kama ni mwelekeo...
3 Reactions
36 Replies
404 Views
  • Redirect
DKT. MWIGULU ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameshiriki Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya...
1 Reactions
Replies
Views
Naibu wa Waziri wa Afya, Mhe. Dkt. Florence Samizi (kulia) akitoa mada katika Mkutano wa Afya kati ya nchi za Afrika na Nodiki jijini Stockholm, Sweden.
1 Reactions
1 Replies
123 Views
Naibu wa Waziri wa Afya, Mhe. Dkt. Florence Samizi (kulia) akijadiliana jambo na Mkunga Mkuu wa Shirikisho la Wakunga la Kimataifa (ICM), Prof. Jacqueline Dunkley-Bent, wakati wa Mkutano wa Afya...
1 Reactions
2 Replies
86 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi ameitahadharisha jamii ya Watanzania juu ya vipande vya video vinavyotengenezwa na kusambazwa katika mitandao ya kijamii ambavyo huleta taharuki...
1 Reactions
3 Replies
224 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan anaendelea kuwasisitiza Watanzania waendelee kuliombea Taifa ili amani, upendo, ustahimilivu na mshikamano viendelee...
1 Reactions
20 Replies
532 Views
Tukiwa kama vijana jamani tujitathimini kwamba familia yako changa ya watoto wawili au watatu wadogo unamuachia nani. Lakini pia wazazi wako unawaacha na nani? Lakini pia fanya tathimini ya kina...
1 Reactions
31 Replies
844 Views
Nimemsikiliza kiongozi mmoja wa Kiislam ambaye amejichubua ngozi akiwatisha maaskofu wa TEC kuwa wanasubiri maelekezo kutoka kwa viongozi wao ili wawashughulie hao maaskofu kwa kile anachodai...
12 Reactions
121 Replies
3K Views
Tukiwa kidato cha kwanza kwenye somo la uraia, yaani civics mada ya kwanza kufundishwa ilikuwa ni familia. Sijui mitaala ya wadogo zangu Gen Z inasemaje, ila sisi tulifundishwa kuwa familia ndio...
8 Reactions
94 Replies
3K Views
Back
Top Bottom