Simanzi imetawala wananchi walioathiriwa na vurugu zilizotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, waliposimulia walichoshuhudia katika matukio hayo. Wakieleza walichoshuhudia baadhi ya...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Martha Mlata, amesema kuwa tangu kumalizika kwa uchaguzi wa Oktoba 29 kumekuwepo na hali ya kumnyanyasa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan...
Mwenyekiti mstaafu wa chama cha demokrasia na maendeleo Chadema, Freeman Mbowe akizungumza mbele ya waombolezaji kwenye msiba wa muasisi wa chama hicho Mzee Edwin Mtei.
Ujumbe huo unatarajiwa kusomwa wakati wa ibada ya kumbukumbu ya Mtei tarehe 23 Januari 2026, kabla ya mazishi yake tarehe 24 Januari nyumbani kwake Tengeru, Arusha.
====
UJUMBE WA RAMBIRAMBI WA...
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema Serikali ilifuta hati ya umiliki wa eneo la ekari 1,000 iliyokuwa ikidaiwa kununuliwa na Kiluwa Group kwa sababu iliuzwa...
Nimeona mitandaoni juu ya kauli hii ya Mbowe kuwa CHADEMA ya sasa chini Lissu haijengi hoja kama ilivyokuwa akina Mtei na Bob Makani.
Hii sio kweli kabisa. Sasa Hivi Lissu na Heche ndio wanahoja...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limetangaza kumkamata na kumshikilia Bi. Getruda Japhet Lengesela, Mkazi wa Nsalala- Mbalizi na ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA...
Mkurugenzi wa Msama Promotion Ndugu Alex Msama amesema kulingana na utafiti uliofanyika nchi nzima, Mgombea Urais wa CCM Samia Suluhu Hassan ndiye anayependwa zaidi kuliko Wagombea wa vyama...
Shalom Makamanda
Nawajuza Feb 29 tunatoka tufanye maandalizi mapema kuanzia sasa. Jeshi liko nyuma yetu na litatulinda safari hii tunaenda kuing’oa CCM
Zuio lile batili lilianza tangu June 10 2025 lengo likiwa kumsaidia mgombea wa com kupita bila kupingwa, miezi 6 yake imeisha Dec 10 Mwaka huohuo
Hili jambo ndio analopaswa kuelimishwa RPC Mjinga...
Hapa ndipo siasa za kishamba za CCM zilipofikia.
Uchunguzi wetu umebaini kwamba njama hizo za kishetani zimepangwa kwa kutumia zuio batili la akina Said Issa na mamluki wenzake wakishirikiana na...
Waziri Mkuu, Dk.Lameck Nchemba ameagiza kubadilishwa matumizi ya fedha za vinywaji, kalenda, sherehe na zawadi kisha zielekezwe kwenye miradi iliyokwama ili kuongeza mapato ya wananchi.
My...
Simanzi imetawala wananchi walioathiriwa na vurugu zilizotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 waliposimulia walichoshuhudia katika matukio hayo, wakieleza walichoshuhudia...
....wala siasa safi. Tunahitaji uongozi bora pekee.
Fikra za kwamba ili tuendelee tunahitaji watu, ardhi, siasa safi.... hazina mashiko hivi sasa. Kama kitu chochote katika dunia hii, huchakaa na...
Fanyeni utafiti namna vijana wanavyomchukuia. Nendeni vyuoni na kwenye mashule mfanye tafiti.
Wazee pia hawamkubali.
Mlidhani kutukana kuwakejeli wakatoliki mtapata sapoti ya wakristo wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.