Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Simanzi imetawala wananchi walioathiriwa na vurugu zilizotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, waliposimulia walichoshuhudia katika matukio hayo. Wakieleza walichoshuhudia baadhi ya...
13 Reactions
50 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Martha Mlata, amesema kuwa tangu kumalizika kwa uchaguzi wa Oktoba 29 kumekuwepo na hali ya kumnyanyasa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan...
7 Reactions
51 Replies
956 Views
Serikali na polisi Wanakemea maandamano yasiyo na ukomo lakini mauwaji na utekaji usio na kikoma aah, tukutane ikulu
2 Reactions
7 Replies
241 Views
Mwenyekiti mstaafu wa chama cha demokrasia na maendeleo Chadema, Freeman Mbowe akizungumza mbele ya waombolezaji kwenye msiba wa muasisi wa chama hicho Mzee Edwin Mtei.
3 Reactions
18 Replies
391 Views
  • Redirect
Utekaji na mauwaji unaendelea kwasababu unafanywa na serikali na serikali haramu ikishirikiana na polisi.
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Ukiona mtu mzima analia ujue kuna jambo. Mwambieni asilie hovyo Si ulijifanya unajua sana? Solve na hii sasa.
0 Reactions
Replies
Views
1. Wanachama wenzangu. Hii game tushashinda mezani. 2. Lililobaki, tupange Safu ya vyeo kuanzia PM, Mawaziri na vyeo vingine (Wakurugenzi, Makatibu Wakuu, RC, RAS, Wakurugenzi Halmashauri, DC...
8 Reactions
55 Replies
2K Views
Ujumbe huo unatarajiwa kusomwa wakati wa ibada ya kumbukumbu ya Mtei tarehe 23 Januari 2026, kabla ya mazishi yake tarehe 24 Januari nyumbani kwake Tengeru, Arusha. ==== UJUMBE WA RAMBIRAMBI WA...
9 Reactions
20 Replies
554 Views
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema Serikali ilifuta hati ya umiliki wa eneo la ekari 1,000 iliyokuwa ikidaiwa kununuliwa na Kiluwa Group kwa sababu iliuzwa...
3 Reactions
14 Replies
3K Views
Gen z kuja na kampeni ya kuacha kutumia huduma za airtel Tanzania kama walivyofanya kwa wasanii wao ndio wanawapa hela ya kula. Vita ni vita
7 Reactions
13 Replies
317 Views
Nimeona mitandaoni juu ya kauli hii ya Mbowe kuwa CHADEMA ya sasa chini Lissu haijengi hoja kama ilivyokuwa akina Mtei na Bob Makani. Hii sio kweli kabisa. Sasa Hivi Lissu na Heche ndio wanahoja...
10 Reactions
17 Replies
386 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limetangaza kumkamata na kumshikilia Bi. Getruda Japhet Lengesela, Mkazi wa Nsalala- Mbalizi na ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA...
0 Reactions
3 Replies
211 Views
Mkurugenzi wa Msama Promotion Ndugu Alex Msama amesema kulingana na utafiti uliofanyika nchi nzima, Mgombea Urais wa CCM Samia Suluhu Hassan ndiye anayependwa zaidi kuliko Wagombea wa vyama...
1 Reactions
13 Replies
395 Views
Shalom Makamanda Nawajuza Feb 29 tunatoka tufanye maandalizi mapema kuanzia sasa. Jeshi liko nyuma yetu na litatulinda safari hii tunaenda kuing’oa CCM
8 Reactions
35 Replies
591 Views
Zuio lile batili lilianza tangu June 10 2025 lengo likiwa kumsaidia mgombea wa com kupita bila kupingwa, miezi 6 yake imeisha Dec 10 Mwaka huohuo Hili jambo ndio analopaswa kuelimishwa RPC Mjinga...
3 Reactions
6 Replies
227 Views
  • Closed
Hapa ndipo siasa za kishamba za CCM zilipofikia. Uchunguzi wetu umebaini kwamba njama hizo za kishetani zimepangwa kwa kutumia zuio batili la akina Said Issa na mamluki wenzake wakishirikiana na...
15 Reactions
59 Replies
1K Views
Waziri Mkuu, Dk.Lameck Nchemba ameagiza kubadilishwa matumizi ya fedha za vinywaji, kalenda, sherehe na zawadi kisha zielekezwe kwenye miradi iliyokwama ili kuongeza mapato ya wananchi. My...
3 Reactions
3 Replies
134 Views
Simanzi imetawala wananchi walioathiriwa na vurugu zilizotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 waliposimulia walichoshuhudia katika matukio hayo, wakieleza walichoshuhudia...
1 Reactions
6 Replies
212 Views
....wala siasa safi. Tunahitaji uongozi bora pekee. Fikra za kwamba ili tuendelee tunahitaji watu, ardhi, siasa safi.... hazina mashiko hivi sasa. Kama kitu chochote katika dunia hii, huchakaa na...
1 Reactions
1 Replies
102 Views
Fanyeni utafiti namna vijana wanavyomchukuia. Nendeni vyuoni na kwenye mashule mfanye tafiti. Wazee pia hawamkubali. Mlidhani kutukana kuwakejeli wakatoliki mtapata sapoti ya wakristo wengine...
13 Reactions
32 Replies
496 Views
Back
Top Bottom