Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Huu ni muendelezo wa kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa chadema dhidi ya haki za mawakili kutpewa vikwazo na mamlaka za magereza kukutana na wateja wao ikiwemo haki ya faragha na kutosikilizwa kwa...
29 Reactions
128 Replies
5K Views
  • Redirect
"Ninasikitishwa na tabia ya watu kuchangia mtu ili aweke hiyo hela atumie badala ya kuwaambia vijana wafanye biashara wapate hela waweke kwenye mifuko yao lakini wao wanachukua wanazitumia sasa...
0 Reactions
Replies
Views
Kama ambavyo ilitokea kabla na katika uchaguzi mkuu wa oct.2025, wenye misimamo ya vyama vyao ikiwa ni pamoja na kususia uchaguzi mkuu walipuuzwa. Nadahni ni muhimu sana kama taifa kusonga mbele...
1 Reactions
28 Replies
302 Views
My Take Sasa Dar inaenda kuwa kama Mombasa na Dom kuwa kama Nairobi. Siku zote anakolala Baba ndiko taulo linatunzwa.Pia soma Jiji la Dodoma Laipiku Dar na Kuwa Kimbilio la Biashara ya Kupangisha...
3 Reactions
148 Replies
2K Views
Napenda siasa ila sioni mwendelezo wa kuwa mwanasiasa kutokana na mazingira ya siasa Tanzania kuwa ya uadui,ukiwa katika siasa za upinzani Tanzania nivigumu kutimiza ndoto! Kwani uonekena wewe ni...
7 Reactions
8 Replies
131 Views
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa...
166 Reactions
8K Replies
471K Views
Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). "amegoma kutumika kama kete ya maridhiano, MwanaHALISI limedokezwa. Taarifa zinasema, kumekuwapo na juhudi kubwa...
13 Reactions
18 Replies
559 Views
Nimekusikia ukisema kuwa Mandela na Nyerere huwezi kuwalingamisha na wanaharakati wa Tanganyika. Kumbuka Tanganyika ilikuwa inatawwliwa na waingereza, Cartel ya wazungu. Hivyo hivyo Africa Kusiní...
4 Reactions
2 Replies
79 Views
Facebook Mhe. Brenda: Mwenyekiti Tonetone imefika Milioni 174.5 mpaka jana usiku Mhe. Lissu : Waambie waongeze bidii, Baraza Kuu lifanyike CHANGIA BARAZA KUU LA UMMA M-Pesa Namba: 0744446969...
3 Reactions
3 Replies
130 Views
Mipango ilipangwa kwa umakini wa hali ya juu kwanza kabisa ndani ya chama tuliweza kuwadhibiti makada wakorofi ambao wangeweza kuvuruga tukachapisha fomu moja kelele zilivuma lkn hazikuwa na...
10 Reactions
12 Replies
456 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka vijana nchini kufuata sera ya ustahimilivu ya Rais Samia badala ya kutumia vurugu na uharibifu kudai haki zao...
1 Reactions
6 Replies
137 Views
" Kama unazungumza harakati za Mandela, unazungumza harakati za Mwalimu, unazilinganisha na nani hapa? Hizi harakati hizi za mtu unasema uongo alafu unalipwa, hizo harakati gani? Harakati za kina...
0 Reactions
1 Replies
90 Views
Mimi kuna mda akili hua ina niambia Lissu atuache kutupambania sisi watanzania tulio wengi ni wajinga sana. Tulia nikupe mfano mzuri tu hapa utakumbuka vizur na nahisi utakubaliana na Mimi. Mama...
1 Reactions
3 Replies
182 Views
Huyu Askari Magereza kwenye Senti za Tone Tone Tumfikirie Makamanda. Hili Tabasamu lake sio lakificho kaona cha kufia Nini. Kesho awepo japo najua hatokua kwenye ratiba ila mpeni hio chance...
33 Reactions
40 Replies
1K Views
Mimi sio kitengo na wala sio mwana siasa na wala sina chama chochote, ila mi ni mtu tu ambae nafatilia siasa kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Katika kufatilia zile harakati za...
13 Reactions
40 Replies
1K Views
Kwanini hadi sasa viongozi wa serikali wanatumia mtandao wa x (twitter)?,ikiwa umezuiwa hapa Tanganyika kwa kile kinachosemeka na mtandao uliojaa maudhui ya ngono. Sababu ni ujinga wao,shamba...
3 Reactions
6 Replies
121 Views
UKAWA na CCM walitutia hasara ya mabilioni baada ya kukwamisha mchakato wa kuandika Katiba mpya uliotumia mabilioni yetu ya fedha. UKAWA na Mzee Warioba walitaka Muungano na serikali tatu na CCM...
1 Reactions
4 Replies
126 Views
Mathalani, Mwenyekiti wa chadema taifa ni mtoro kazini na hakuna maelezo yoyote ndani ya chama hicho juu ya utoro huo na kwamba yupo wapi mpaka sasa, na wala hakuna sababu za msingi zilizoelezwa...
3 Reactions
69 Replies
927 Views
Mahakimu dhamiri zenu ziwasute kwa kuhukumu Uongo. "Mtu mwema, mtu mnyofu, mtu wa Mungu amehukumiwa na binadamu, mamlaka ya kibinadamu afe, atoe roho yake. Anashtakiwa kwa kusingiziwa, sio...
11 Reactions
17 Replies
523 Views
Julai 10 Kikundi cha Mawaziri wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth Ministerial Action Group - CMAG) kilitoa mrejesho wa ziara ya mwakilishi wake, Dk Lazarus Chakwera aliyekuja nchini Machi 2026...
19 Reactions
31 Replies
936 Views
Back
Top Bottom