Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 nchini Tanzania uliingia kwenye vitabu vya historia si kwa wingi wa Wapiga Kura bali kwa mazingira magumu yaliyozunguka uhuru habari na uhuru wa maoni. Ibara za 18 na...
0 Reactions
0 Replies
93 Views
Lack of sense. Yaani kukosa akili ya kuweza kug'amua mambo ya msingi kama mtu makini. Ni upumbavu na upuuzi. Wataalamu waliochini ya halmsahauri wote wanalipoti kwa baraza la madiwani. Msukuma...
4 Reactions
8 Replies
220 Views
Tangu yalipofanyika maandamano na baadaye vurugu wakati wa uchaguzi wa Oktoba 29, 2025 na baada ya hapo, kumekuwa na hofu kubwa kwa wananchi kutokana na kuongezwa kwa ulinzi wa polisi na Jeshi la...
0 Reactions
0 Replies
114 Views
Unatudharau sana hasa sisi Wakulima wa Igunga tunalima chakula na kulisha hiyo Ilamba yote na kulipa kodi? Yaani kiongozi au mtumishi wa umma akijaza fomu za maadili kuwa ana mali aina fulani...
1 Reactions
0 Replies
72 Views
Kumnyanyapaa mtu ni jambo baya sana. Lakini inadaiwa kuwa tangu Oktoba 29 Watanzania mmekuwa mkimnyanyapaa rais Samia sababu tu ni mwanamke. Je ni kweli? Chanzo cha mjadala, soma>> Mwenyekiti...
13 Reactions
61 Replies
1K Views
Salam wanajamvi, kwa namna mambo yalivyo ni wazi ushiriki na imani ya wananchi kwenye mambo ya siasa umepungua, nikiwa na maana ni ngumu kwa mwananchi wa kawaida kuamini nini viongozi wanacho...
1 Reactions
16 Replies
222 Views
Jina lake ni Salome Simon mzazi wa Joshua Zacharia na Daudi Shine Joshua ambao wanasota rumande kwa kosa la mashtaka ya uhaini. Leo Januari 26, 2026 alifika katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu...
5 Reactions
1 Replies
137 Views
Ni hayo tu kwa leo. Kupigana hadharani ni kosa la jinai. Amekidhalilisha chama chako. Hiyo ni aibu yako! Mwajibishe!
2 Reactions
7 Replies
211 Views
Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka Watanzania kujivunia mifumo ya nchi yao katika kusimamia rasilimali na kusema kuwa Tanzania bado ni "mwalimu" kwa mataifa mengi ya Afrika...
0 Reactions
8 Replies
228 Views
  • Redirect
WAZIRI MKUU: SERIKALI IMEIMARISHA TAKUKURU KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
0 Reactions
Replies
Views
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasilisha ujumbe mzito kutoka kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, akisisitiza kuwa mkuu huyo wa nchi hapendi na wala...
7 Reactions
32 Replies
560 Views
Kwa nini hapa Tanzania akitokea mtu akipambana na wezi wa mali za umma anatolewa uhai Naomba kila mtanzania ajiulize hili swali Kama bado hatujitambui tumpe nchi Trump
0 Reactions
2 Replies
82 Views
Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kuwa taifa bado lina maumivu makubwa, akibainisha kuwa wapo watu walioko magerezani ambao wanastahili kula...
14 Reactions
94 Replies
2K Views
Nina mwaka wa nne kwenye huu mkoa sasa. Tangu nifike hapa kwa mara ya kwanza nilikuwa mtembezi sana, ili kufahamu maeneo, uchumi, na tabia za wenyeji wa huu mkoa. Niligundua mambo yafuatayo: 1...
22 Reactions
121 Replies
2K Views
Nature tu wabongo waoga sana . Wengi tunajua hili. Wasingeweza kuandamana ile October 29, 30 na 31. Ila MANGE akawadanganya kuwa jeshi liko tayari kupoka utawala toka mkononi mwa CCM. Ni wananchi...
6 Reactions
59 Replies
2K Views
Gamalieli Sindisha, mkazi wa Dar es Salaaam, kwa upande wake haoni kabisa mpango wa Bima ya afya kwa wote ukitekelezeka, kwa sababu hizi ambazo anazitaja hapa.
1 Reactions
25 Replies
335 Views
https://www.youtube.com/shorts/6aDJnh2uHPo Sauti ya Mamlaka John Heche ikipasuka
2 Reactions
4 Replies
214 Views
Mama Samia ambaye alikuwa anakutana na kuombwa mikutano na maraisi wa nchi kubwa kubwa sasa kabaki kufanya mikutano tunguu zanzabari na machawa😇 . Yote yanatokana na tamaa za pesa na ubinafsi...
7 Reactions
6 Replies
331 Views
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka amesema wapo baadhi ya Viongozi katika Wilaya hiyo wanatumia vibaya madaraka yao na kujimilikisha ardhi kinyume na utaratibu. DC Shaka amesema hayo...
0 Reactions
1 Replies
98 Views
TAREHE 23 JANUARI, 2026. WASHINGTON—U.S. Seneta Jim Risch (R-Idaho), Mwenyekiti wa Kamati ya Seneti ya Mahusiano ya Kigeni. Uchaguzi wa Uganda - kama ulivyokuwa uchaguzi wa hivi majuzi nchini...
12 Reactions
72 Replies
1K Views
Back
Top Bottom