Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kupitia Kitenge TV, Nnkya, mmoja wa wamiliki wa ofisi hizo, amesema Mkuu wa Mkoa anakurupuka kutoa matamko kuhusu ofisi hizo, wakati yeye mwenyewe alikuwa Mkuu wa Mkoa kipindi ambacho ofisi hizo...
22 Reactions
69 Replies
2K Views
Mwamba anaomba poo anatamani hata uteuzi wa ukuu wa Wilaya akapunguze njaa. pumzi imekata
3 Reactions
7 Replies
297 Views
Haiwezekani Dar yote kuwe na bus stand bubu kila kona, usafirishaji wa biashara haramu za Binadamu, Madawa ya kukevya , , foleni katikati ya mji, mapato ya Serikali , huku tukiacha Stendi ya...
4 Reactions
26 Replies
355 Views
Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Zanzibar, Ismail Jussa Ladhu, amesema baadhi ya watu wamejimilikisha ajenda ya mabadiliko, akisisitiza kuwa Chama hicho hakiwezi kuwa mfuasi wa ajenda za kisiasa...
6 Reactions
74 Replies
911 Views
Wananchi na mawakala wa meli wamezungumzia fursa mbalimbali zinazotokana na uwekezaji mkubwa wa miundombinu uliofanywa na Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) katika...
0 Reactions
0 Replies
39 Views
Kenani Kihongosi, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, amesema hakuna taarifa rasmi kwamba Makamu wa Rais, Dk. Emmanuel Nchimbi, ameitwa mbele ya Kamati ya Maadili ya CCM Ndani ya chama cha...
0 Reactions
5 Replies
147 Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi, akizungumza kwenye kipindi cha PB cha Clouds FM leo, Agosti 19, 2026, amesema kuwa: “Misingi ya CCM inapigana na rushwa, ukijulikana...
0 Reactions
7 Replies
58 Views
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Dorothy semu, akizungumza katika mahojiano mwanahabari Edwin Odemba, kupitia Jambo Tv Agosti 17, 2026, amesema Dola ilimuogoba aliyekuwa Mgombea Urais wa...
0 Reactions
0 Replies
27 Views
Huyu kijana anaitwa Joseph Katooki, mkazi wa Kyela Mbeya. Amekamatwa na kupewa kesi ya ugaidi. Amenyimwa dhamana na anashikiliwa katika gereza la Kyela. Nimesikiliza hii clip yake sijaona kosa...
10 Reactions
20 Replies
410 Views
Pamoja na kwamba mamlaka zetu zilitoa taarifa ya kiashiria Cha El Nino mapema mwezi julai lakini taarifa zinazotoka kwenye vyombo vya habari Duniani zinaonesha hatari kubwa zaidi. Kikawaida EL...
5 Reactions
66 Replies
2K Views
Leo Ndani Ya Kipindi Cha JANAnaLEO Tupo Na Katibu Mkuu wa Umoja wa Wazazi CCM Tanzania Bara Ally Salum Hapi ameetoa mtazamo wake kumuhusu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA John Heche kwa kusema ni...
0 Reactions
8 Replies
195 Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndg. Kenani Laban Kihongosi akizungumza kwenye kipindi cha PB cha Clouds Fm amesema CCM ni chama cha Demokrasia na kinacholeta maendeleo kwa jamii
1 Reactions
9 Replies
90 Views
Ally Hapi akijiwa kupitia Wasafi FM amesema "Siamini kama tutafanikiwa kuwa na Katiba Mpya kabla ya 2030"
2 Reactions
17 Replies
409 Views
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, amesema chama hicho hakitasita kuchukua hatua dhidi ya watumishi wazembe wanaosababisha migogoro kwa wananchi...
3 Reactions
13 Replies
298 Views
Na njia zake ni kama kina katambi,mkumbo hawa tayar wapo kwenye mfumo wa nchi ila upinzani wanazuga au walizuga tu
3 Reactions
9 Replies
114 Views
Ndugu zangu Watanzania, Siku ya Kesho Asubuhi na Mapema sana Mnapaswa Kuamka na kufungulia Redio zenu ama Tv Zenu na kuweka Clouds FM Sehemu ambayo Msemaji Mkuu wa CCM Taifa atakuwa akisikika...
0 Reactions
31 Replies
265 Views
Asilimia kubwa huku tunakoleta mizigo rushwa imetawala kwasababu unaweza kuona mtu anafika leo akaanza kushusha kwa sababu tu ametanguliza chochote kitu, lakini yule aliyemkuta ambaye anafuata...
16 Reactions
45 Replies
963 Views
Kuna mjadala unaendelea kuhusu MoU iliyosainiwa jana kati ya Tanzania na Uganda, huku baadhi ya vijana wa Lumumba wakisema moja kwa moja kwamba “Tanzania na Uganda wamekubaliana kujenga refinery...
5 Reactions
9 Replies
235 Views
Nimewaza tu hilo na hasa kwa historia na tabia ya serikali hii ya sasa tuliyo nayo.
5 Reactions
14 Replies
261 Views
Katika zama hizi ambazo maendeleo ya nchi yamekuwa makubwa upo umuhimu wa kuwa na Serikali au Dola lenye maguvu na makucha zaidi ...la sivyo kila aliyefanikishwa kuwa tajiri atatutawala sana...
0 Reactions
3 Replies
54 Views
Back
Top Bottom