Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Sikuona ukaribu Sana wa Mwinyi na Nyerere Sikuona ukaribu Sana wa Mkapa na Mwinyi kiasi hiki Sikuona ukaribu wa Kikwete na Mkapa kiasi hiki Sikuona ukaribu wa Magufuli na Kikwete kiasi hiki...
71 Reactions
126 Replies
9K Views
Kutokana na hali ya joto na mivutano ndani ya CCM juu ya uteuzi wa watia nia watatu katika kugombea nafasi za Ubunge na udiwani imebidi mkutano mkuu maalum uitishwe kwa njia ya mtandao. Madhumuni...
11 Reactions
38 Replies
4K Views
Huu ni ukweli mchungu ambao hata kama kuna watu hawaupendi, itabidi wauvumilie mpaka 2030! Tusimung'unye maneno, Samia urais anautataka, na amewekeza kuhakikisha anaupata! Kwenye siasa hakuna...
0 Reactions
0 Replies
284 Views
Waziri wa Elimu ndugu Mkenda katika hotuba yake ya uzinduzi wa Mtaala mpya wa elimu ametoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa Yeye na timu ya wataalam walipata ugumu kuonana na Rais ili wampatie...
27 Reactions
142 Replies
9K Views
Wakati wa Jimbo la Kisesa hawajachukua fomu ya ubunge hadi Leo Wanachama wa CCM wameshinikiza Mpina ndo agombee pekee Mwenyekiti wa CCM Taifa alimwita Luhaga Mpina kuwa ni mbunge wa Taifa na sio...
15 Reactions
36 Replies
3K Views
Wameitisha online conference meeting, lengo wabadilishe baadhi ya vipengele vya katiba yao kuelekea uchaguzi mkuu 2025 huku wakigomea mabadiliko ya sheria za uchaguzi mkuu ziweze ku suit vyama...
0 Reactions
7 Replies
578 Views
Watanzania tusipo ukana ukondoo na ubwege ipo siku hawa wageni watatushikisha ukuta. Nimeshangaa sana kwamba kumbe kuna wachina wanatoka China wanakuja kufanya biashara za Udadali Tanzania...
5 Reactions
54 Replies
2K Views
Karibuni Dodoma wajumbe wa mkutano mkuu maalumu wa CCM Taifa , 29-30 Mei 2025
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Siasa za Tanzania chini ya Chama cha Mapinduzi ni siasa za makundi kugombania Madaraka na Ulaji. Makundi yote yanafanana kwenye jambo kuu moja. Uchu wa madaraka ili kuila keki ya Taifa vizuri...
5 Reactions
7 Replies
769 Views
Makala amesema Marekebisho ya Katiba yaliyofanyika May 2025 yameruhusu mikutano kadhaa kufanywa kwa njia ya mtandao pale inapolazimu Ahsanteni sana 🙏
2 Reactions
31 Replies
1K Views
Salaam, Wazoefu husema kuwa miaka huwa inatofautiana urefu, japo Mimi sikubaliani nao maana siku ni zile zile, Labda hili naweza kukubaliana nalo, kwamba, siku au mwaka ambao umepitia shida au...
0 Reactions
2 Replies
251 Views
My Take Mkubwa anafuatwa hawezi kukufuata wewe. https://www.instagram.com/p/DMhn4erxsyL/?igsh=MTN0YjdmcjY5ZmZn
1 Reactions
12 Replies
421 Views
There is always a say that survival of the fittest. Actually jpm was not a presidential material and this made him be like a monster because he did not not know where to start and where to end.
13 Reactions
126 Replies
4K Views
  • Closed
JamiiCheck imefuatilia Taarifa hii na kubaini kuwa inapotosha uhalisia. Soma hapa Msikilize huyu Mzee ambaye Kwa record zake nyingi amejipambanua kwa ukweli na kuwa mtu wa kuaminika, Joseph...
1 Reactions
6 Replies
857 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche amewataka waandishi wa habari kutoendelea kumuuliza kuhusu aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe, akiwataka kumtafuta na kumuuliza maswali...
2 Reactions
1 Replies
982 Views
Ni wazi Chama cha Mapinduzi, CCM kipo katika sintofahamu kubwa kutokana na viongozi wao wakishirikiana na machawa wao kuvunja Katiba yao! Kelele zimekuwa nyingi hadi Chama kimeshidwa kuhimili na...
2 Reactions
12 Replies
609 Views
MWENYEKITI wa zamani wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia, amevunja ukimya baada ya kusema kuwa anashangazwa na kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA taifa Tundu Antipas Lissu...
2 Reactions
10 Replies
943 Views
Mwenyekiti wa wa zamani wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema yanayofanyika na akina Polepole, Gwajima na wengine ni baraka ndani taifa letu, hali inayoendelea kuelekea uchaguzi mkuu ni hatari...
1 Reactions
5 Replies
708 Views
Mwana siasa nguli na Mwanachama wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, ametoa wito kwa Watanzania kuenzi misingi ya majadiliano yenye hoja badala ya kuendeleza chuki na mifarakano inayotokana na...
1 Reactions
2 Replies
381 Views
Back
Top Bottom