Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baadhi ya Wananchi wa Tanzania Wamependekeza kampeni ya Mungu inayofahamika kama No Reforms No Election, ianze mara moja kutumika kama salamu kwa Raia wote Nchini humo. Imeelezwa kwamba...
9 Reactions
43 Replies
1K Views
Tetesi zinaeleza:- Jinsi kunguni zilivyotumwa, zikisaidiana na wanafiki ndani ya CCM, ili ziweke msisitizo/mkazo wa kuhakikisha rais wetu, anakata tamaa ya kugombea urais na mwishowe abwage...
4 Reactions
20 Replies
830 Views
Na ndio maana mkutano mkuu maalumu wa CCM pale makao makuu Dodoma mapema mwaka huu2025, uliamua, ukaridhia na kuidhinisha mabadiliko ya katiba ya CCM bila tatizo lolote na vile vile mkutano mkuu...
0 Reactions
110 Replies
4K Views
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) mkoani Katavi kimewatoa wasiwasi wananchi wa Kata ya Kakese, Manispaa ya Mpanda, kuhusu usalama wa kura zao kwenye uchaguzi mkuu ujao, kikiahidi kuwa na...
2 Reactions
10 Replies
759 Views
Samia alitumia kila aina ya ufedhuli kuibomoa Chadema. Amewaweka lockdown viongozi wa Chadema hakuna kwenda nje, amewanyima ruzuku, ameanzisha migogoro uchawara na kubwa zaidi amempa Lissu Bogous...
34 Reactions
71 Replies
3K Views
Sidhani kama uamuzi wa Jaji wa kuifungia Chadema kufanya Siasa ulizingatia maslahi mapana ya taifa na yale ya chama dola pia katika ujumla wake Kwa mara ya kwanza Uchaguzi wa ndani wa CCM...
2 Reactions
0 Replies
225 Views
Wayahudi walitaka anwani ya Msalabani isomeer “ Yesu mnazareti aliyejifanya kuwa Mfalme wa Wayahudi “ Pontio Pilato aliandika “ Yesu Mnazareti Mfalme wa Wayahudi “ Baada ya mzozo mkubwa sana...
7 Reactions
15 Replies
870 Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Innocent Bashungwa amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wanachama...
2 Reactions
30 Replies
1K Views
Mchungaji Samweli Karao wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) usharika wa Ngaramtoni mkoani Arusha, ameendesha maombi maalum Julai 23, 2025 kwa ajili ya viongozi wa CHADEMA...
5 Reactions
2 Replies
627 Views
Rais Samia katika kuimarisha dipolomasia ya Uchumi amekuza thamani ya uwekezaji na kufikia $12.44bn sawa na TZS33Trilioni na ajira 188,000 kwa miradi 707 iliyoko katika hatua mbalimbali za...
0 Reactions
4 Replies
299 Views
Kwa mujibu wa Andiko la Boni Yai (EX-MAYOR Ameandika hivo kupitia andiko hili anaandika Boni Yai BALILE NI MWANDISHI AU DOLA..? MASWALI KUMI (12) KWA BALILE. 1.Balile anawezaje kugeuka kuwa...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Nipo hapa kupata Elimu ya Mpiga Kura Kuna athari gani kwa mfano Jimbo lenye Wapiga Kura 100,000 wanajitokeza 20,000 tu kupiga Kura na mshindi anapata Kura 12,000 tu? Ahsanteni in advance 🙏
1 Reactions
1 Replies
191 Views
Mbeto : INEC , ZEC Tume huru za Uchaguzi zenye uwazi na haki Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeutaka Upinzani kutozibeza Tume za Uchaguzi , INEC na ZEC na kudai si...
0 Reactions
3 Replies
555 Views
Uteuzi wa Samia kuwa mgombea wa Urais ulikiuka kila kitu, kuanzia katiba ya CCM na ya nchi, sheria za uchaguzi, mpaka mazoea ya CCM. UFafanuzi: 1. Magufuli na Samia walizunguka nchi nzima...
5 Reactions
11 Replies
792 Views
Ukweli ni kwamba huyu hana tofauti na yule kabisa kuhusu demokrasia;ameruhusu watu waongee na kujadili na hata kukosoa;ingawa hata ukosoaji yeye anautafsiri kama ni matusi na wale wanaokosoa...
1 Reactions
2 Replies
217 Views
Napenda kutoa Pongezi kubwa kwa viongozi wetu wa chama na serikali kwa kufanya kazi kwa hekima na busara huku mkitanguliza uzalendo kwa Taifa letu mbele. Narudia tena, ninaiona busara na hekima...
1 Reactions
78 Replies
2K Views
Je Dr. Slaa kugombea urais TZ mwakani? Kuna kila dalili kwamba CHADEMA wanamuandaa Dr. Slaa kugombea urais 2010. Mpambano huo utakuwa mzuri sana, huenda tukamkosa sana Dr. Slaa kwenye bunge la...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Akizungumza katika mahojiano na Jenerali Ulimwengu Julai 22, alitekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba amesema kwa sasa yuko mkoani Morogoro na anatarajia kuja Dar es Salaam. Pia ameendelea...
26 Reactions
88 Replies
6K Views
Wananchi wa Tanzania, katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025, ni wakati muafaka wa kuangazia masuala ya msingi yanayohusu haki, usawa, na maendeleo ya taifa letu. Moja ya...
1 Reactions
5 Replies
504 Views
Back
Top Bottom