CCM imejidhihirisha ni Chama cha kidikteta!

CCM imejidhihirisha ni Chama cha kidikteta!

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
13,234
Reaction score
20,594
Ni wazi Chama cha Mapinduzi, CCM kipo katika sintofahamu kubwa kutokana na viongozi wao wakishirikiana na machawa wao kuvunja Katiba yao!

Kelele zimekuwa nyingi hadi Chama kimeshidwa kuhimili na sasa viongozi wake madikteta wanataka kuwapa wanachama nusu mkate 🤣! Eti wanaitisha Mkutano Mkuu wa kujadili mustakabali wa uongozi wa Chama kwa njia ya mtandao! Viongozi wanaogopa kujadili hoja ana kwa ana! Viongozi wanawatisha wanachama ambao wanahoji uvunjifu wa Katiba!

Ifike wakati sasa wanachama waseme kwa sauti "UNYONGE BASI! Wanachama chukueni Chama chenu vinginevyo mtaburuzwa milele na hilo genge la walanguzi! Gomeni kabisa kufanya Mkutano Mkuu kwa njia ya mtandao kwani mnatakiwa kujadili hatma ya Chama chenu!

Wana CCM ogopeni matapeli wa kisiasa ndani ya Chama chenu!
 
Ila ndio kimefika mwisho
Screenshot_20250721-171617~2.png
 
Kabla ya huo Mkutano inapaswa pole pole aje na press Moja matata Sana , 🤣

Halafu aje na nyingine baada ya Mkutano
 
Ni wazi Chama cha Mapinduzi, CCM kipo katika sintofahamu kubwa kutokana na viongozi wao wakishirikiana na machawa wao kuvunja Katiba yao!

Kelele zimekuwa nyingi hadi Chama kimeshidwa kuhimili na sasa viongozi wake madikteta wanataka kuwapa wanachama nusu mkate 🤣! Eti wanaitisha Mkutano Mkuu wa kujadili mustakabali wa uongozi wa Chama kwa njia ya mtandao! Viongozi wanaogopa kujadili hoja ana kwa ana! Viongozi wanawatisha wanachama ambao wanahoji uvunjifu wa Katiba!

Ifike wakati sasa wanachama waseme kwa sauti "UNYONGE BASI! Wanachama chukueni Chama chenu vinginevyo mtaburuzwa milele na hilo genge la walanguzi! Gomeni kabisa kufanya Mkutano Mkuu kwa njia ya mtandao kwani mnatakiwa kujadili hatma ya Chama chenu!

Wana CCM ogopeni matapeli wa kisiasa ndani ya Chama chenu!
Kilio 😆😆👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DMPphpvICoZ/?igsh=ZW1mMXFvOGRic2Nu
 
Back
Top Bottom