Noam Chomsky ana mtazamo wa kina na wa kukosoa kuhusu demokrasia, hasa jinsi inavyotekelezwa na kuathiri nchi zinazoendelea. Kwa Chomsky, demokrasia mara nyingi haina maana halisi ya kuwa sauti ya...
Wakuu hamjambo.
Afya ya Uchumi wa Tanzania inazidi kuimarika huku takwimu za IMF zikionesha ukubwa wa Uchumi Kwa mwaka 2026 kuwa $ 95 bilion ikiwa Bado namba 5 kufikisha $ 💯 hapo mwakani...
Nchini Tanzania familia nyingi bado zinahangaika kutafuta miili ya wapendwa wao waliopotea wakati wa machafuko ya wakati na baada ya uchaguzi uliofanyika miezi mitatu iliyopita.
Mashirika ya...
Bandugu naona Wakatoliki wa kuchaji wanaendelea kufanya yao. Leo wameshiriki kwenye zoezi la kupanda miti
============
Jumuiya ya Mtakatifu Yohana Parokia ya Yombo Dovya wameungana na kushiriki...
TEC: Kona na Vyumba Saba vya Boma la Haki na Amani: Haki za kiuchumi, Kisiasa, kijamii, kisaikolojia-na-kimwili, kiakili-na-kiroho, na Kijinsia.
Utangulizi
Tarehe 23-24 Agosti 2025 Baraza la...
Salaam!
Rais Samia na serikali yake walitwambia kuwa ujio wa DP World utaongeza mapato ya serikali kwa kiasi kikubwa na kufadhili budget yetu.
Sasa maswali yanakuja je! Ikiwa mapato yameongezeka...
Katika diplomasia ya kiuchumi, thamani ya fedha ni kama sumaku. Inaposhuka, inavuta wateja na watalii kuja ndani ya nchi, na inapopanda sana, inawafukuza na kuwapeleka kwa majirani. Kwa kutumia...
Katika kuadhimisha miaka 33 ya Chadema mkoani Mbeya, kulipangwa kufanyika uzinduzi wa tawi la chama katika Kata ya Inyala pamoja na bonanza la kumbukizi. Hata hivyo, wakati wa uzinduzi wa kijiwe...
"Waziri Mkuu umeanza vizuri na tumeona umeita watu wa maadili, watu wa maadili wasiwe wanakuja kwa wabunge, mbunge mimi nakutana na pesa ya serikali wapi?, lakini nyinyi mawaziri na watu wa chini...
MHE. GHATI CHOMETE AHOJI UJENZI WA BARABARA YA MUSOMA-MAKOJO-BUSEKELA KIWANGO CHA LAMI.
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Mhe. Ghati Zephania Chomete leo tarehe 28 Januari, 2026 akiwa katika...
Kuna mkanganyiko mkubwa unaoenezwa kwa makusudi katika mjadala wa kisiasa nchini Tanzania kuhusu dhana ya maridhiano. Neno hili linatumika kana kwamba ni suluhisho la kila tatizo la kitaifa, bila...
MAMBO 7 YALIYOTAWALA HOTUBA ZA MSIBA WA MZEE MTEI NA DIVERSION STRATEGY YA MWIGULU NCHEMBA
Mwl. John Pambalu
Msiba wa Mzee Edwin Mtei haukuwa tu tukio la majonzi, bali pia jukwaa la hotuba nzito...
Baba Askofu Mwamakula!
Wabunge waliitishwa kikao kupewa maelekezo ya kuwa wakati wa kuchangia Hotuba ya Rais, wasigusie kabisa mambo ya mauaji ya halaiki ya Watanzania wasio na hatia ya tarehe 29...
Nyere alishidwa sehemu moja tu kwenye uchumi. Wakati wa nyerere Tanzania ilikuwa masikini na hakufanikiwa kuja na suluhu ya maana.
Sera na maazimio yake hayakufanikiwa ndiyo maana hadi leo Kenya...
SERIKALI KUENDELEA KUFANYA MAGEUZI YA SERA – DKT. MWIGULU
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kufanya mageuzi ya sera zinazogusa moja kwa moja maslahi na ustawi wa maisha...
Salaam!
Tukio la Oct 29 liliuacha mtaa, kata,ubalozi bila ofisi yeyote. Hakuna kituo Cha polisi, hakuna ofisi ya Diwani feki, ofisi ya mwenyekiti wa mtaa zote zilichomwa na WENYE NCHI.
Sasa Kila...
Vatican News
Papa Leo XIV, kabla ya Katekesi yake Jumatano tarehe 28 Januari 2026, alikutana na Balozi Mahmoud Thabiti Kombo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.