Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Assalaamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakaatuh, Sheikh Mwaipopo. Kwanza napenda kukusalimu kwa heshima na upendo wa Kiislamu. Nakuandikia barua hii si kwa chuki wala nia ya kukushusha hadhi, bali...
12 Reactions
36 Replies
723 Views
Hii ni Taarifa yake aliyoiposti kwenye ukurasa wake wa X: "Leo tarehe 26 Julai 2026 mimi PETER MADELEKA natangaza rasmi KUACHANA NA SIASA ZA ACT WAZALENDO.Nafanya hivyo ili nipate MUDA WA KUTOSHA...
7 Reactions
21 Replies
388 Views
Wanabodi Hii ni Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la Leo Ili Kupata Majaji Watenda Haki, Tuachane na Majaji wa Hisani, Majaji Akiwemo Jaji Mkuu, Waombe Kazi, Wasailiwe, Wenye Uwezo Ndio...
4 Reactions
7 Replies
308 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, kila siku za Jumatatu, huwaletea makala za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambayo huchapishwa na gazeti la Nipashe la Jumapili, ambazo ziko kwa mtindo wa maswali, majibu ya...
10 Reactions
97 Replies
9K Views
Wakili madeleka amefunguka sababu ya yeye kutoka Chadema, ikiwa ni baada ya kuhama na kuwa mwanachama wa ACT Wazalendo
1 Reactions
8 Replies
576 Views
Ujumbe wangu kwangu Dotto Magari, haya majaribu unayopitia ya kuhusishwa Kwamba umeathirika na Virusi vya UKIMWI ni mpango wa MUNGU ambao amekuandalia katika Maisha yako Kwamba ipo siku haya...
0 Reactions
2 Replies
130 Views
Ni viongozi waovu ambao Polepole aliweka wazi kuwa kutoa uhai wa mtu waweze kukamilisha ufisadi wao ni jambo la kawaida kama kunywa chai. Wanaona kutumia dola kunyanyasa raia wa dola huru ya...
0 Reactions
0 Replies
47 Views
Wanabodi, Hii ni Makala yangu, kwenye gazeti la Nipashe la Leo, nikimpongeza Jaji Mkuu George Masaju ni mtu mwenye hofu ya Mungu, hivyo ataisaidia Mahakama kutoa hukumu za haki, ambalo...
2 Reactions
16 Replies
255 Views
Kumbe kinachoitwa Mwanasiasa usije ukaja kumuamini hata siku Moja. Mwanasiasa alikwambia Sasa hivi ni Saa 7 Mchana inabidi utoke nje iangalie kama kweli ni Mchana unaweza Kuta alimaanisha saa 7...
1 Reactions
20 Replies
281 Views
Mwenye CV kamili ya H.E. Balozi Saidi Othman Yakubu atushushie hapa tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
79 Views
Unajua tangu aingie madarakani JK amekuwa akiepushwa na kila aina ya uovu kuonesha kwamba yeye sio sehemu yaya tatizo. Yote hii tunarudi kulekule kwenye kautamaduni ketu ka-ovyo: unafiki na...
2 Reactions
3 Replies
183 Views
Inasemekana , Kuna Orodha imeshaandaliwa ya Wafalme mbalimbali wa Bara la Giza walokwisha kupokea Michuzi ya TZ shillings ambao watafanya Ziara hapo Malawi , yote kwa Yote, Kumpa Uhalali wa...
11 Reactions
21 Replies
487 Views
Nchimbi amekataa kubaki bench badala yake kaingia uwanjani na mchezaji ambaye sio mzuri Mama rojo sasa kamaki anatembea tu uwanjani lakini hawezi tena kucheza. Anategemea marefa tu ambao ni jeshi...
0 Reactions
5 Replies
105 Views
Wanabodi Naomba kuanza kwa angalizo kwa mode kuhusu kuchanganya lugha. Japo sasa jf ni mainstream media ukichanganya lugha kwenye heading mode ana edit, neno "Mama Don't Preach, practice what you...
18 Reactions
38 Replies
2K Views
C&p Juzi, Tarehe 24/07/2026, Makamu wa rais, Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwa kwenye mkutano mkuu wa 15 wa mtandao wa watetezi za haki za binadamu, ametoa hotuba iliyopokelewa kwa hisia tofauti...
2 Reactions
9 Replies
253 Views
Kwasababu sote ni mashahidi na tunasikia na kuona jinsi ambavyo wanayumba na kudandia kila kitu ambacho ni kipaumbele cha waTanzania, na all over the sudden wanakibwaga na kudandia kingine on the...
2 Reactions
26 Replies
206 Views
Wanabodi, Leo 30/12/2022 tunapoanza safari ya kuuaga mwaka 2022 hapo kesho na keshokutwa kuukaribisha mwaka mpya wa 2023 hivyo naomba nianze makala yangu hii ya "Kwa Maslahi ya Taifa" kwa...
24 Reactions
141 Replies
8K Views
Kuna Ugumu ndio Maana anajiamini atakaa hadi 2030. Ingawa Inawezekana akaondolewa madarakani. Iwapo amefanya vitendo vinavyovunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Pale...
26 Reactions
139 Replies
3K Views
Ndugu Nchimbi kaja kuomba nguvu ya umma isaidie kupatikana kwa Katiba Mpya, hili inamaana viongozi na serikali waeshakwama, Je ni nani anakataza isipatikane katiba Mpya? Mtu huyu ana nguvu kiasi...
4 Reactions
22 Replies
274 Views
ANGALIZO: I am not advocating for this, NO, NO, NO. ILA NATOA TAHADHALI. Sasa hivi kwa vile mna bunduki , mabomu na madege, na upande mwingine hauna bunduki wala chochote, hamuwezi kuona hatari...
4 Reactions
9 Replies
124 Views
Back
Top Bottom