Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Salaam! Ni kweli ni kiongozi batili aliyekalia kiti batili baada ya uchaguzi batili KUYEYUKA na watanzania kwa maelfu kuuawa. Lakini kama binadamu, nina haki ya kujua alipo ndugu huyu. Mwenye...
6 Reactions
24 Replies
747 Views
My Take Kwa Sasa Tanzania imeteka soko la Bidhaa la Afrika Mashariki na Sadc kiasi kwamba tunauza zaidi kuliko tunavyonunua kutoka kwao. Kongole nyingi Kwa sera Bora kabisa za uchumi na Biashara...
1 Reactions
29 Replies
336 Views
Mawaziri wa mambo ya nje wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kulitangaza jeshi la Walinzi wa Mapinduzi la Iran (IRGC) kuwa ni kundi la kigaidi. Akizungumza mjini Brussels wakati wa mkutano wa mawaziri...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nawapeni tu taarifa ya kuwa kama kuna mtu ama watu ama kikundi cha watu iwe ni ndani ya Nchi ama kutoka nje ya Nchi kinachoweza kuwa na mawazo ama Dhamira ya kumhujumu...
3 Reactions
41 Replies
429 Views
Huu ni wito kwa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC. Nyie ni chombo nyeti sana na mna aminika dunia nzima. Huyu kibibi anawabeep sana. Anawashambulia, anawateka, na kuwafanyia mashambulizi...
18 Reactions
37 Replies
719 Views
Kuna wale vijana waliotoka chadema kwa ridhaa yao na kuhamia chauma baada ya ajenda yao kujulikana. Hawa vijana wanatafta attention kupitia kuitukana chadema na maneno yasiyo na tija mtandaoni...
5 Reactions
7 Replies
211 Views
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi amekemea tabia ya kila mtu kuwa msemaji nchini hali inayopelekea utolewaji wa Matamko ambayo yamekua yakihatarisha hali ya Amani hapa nchini...
3 Reactions
11 Replies
202 Views
My Take Wakati nawapongeza TRA ila tusisahau sera nzuri za Uchumi zinazosimamiwa na Serikali ya Samia ndio zimeifikisha Nchi Kwenye hatua ya kujiyegemea kiuchumi
3 Reactions
64 Replies
540 Views
TAARIFA KWA UMMA Kumekuwepo na taarifa za upotoshwaji zinazosambazwa na watu wasiokitakia mema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), zikiwahusisha viongozi wa chama na kashfa zinazohusisha...
3 Reactions
8 Replies
230 Views
Kama ni kweli Heche chukua hatua. Pili kila mchango upitie kwenye namba za chama na si vinginevyo na uwe msimamizi wa hizo namba. Kwani unazibeba mabegani? Unakuwa nazo kwenye simu yako and all...
4 Reactions
4 Replies
94 Views
Tangu kuingia kwa vyama vingi vya siasa na kufanyika uchaguzi mwaka 1995, hatujawahi kuwa na makamu wa rais anayeeleweka. Mkapa ndio alianza na alituletea kitu cha ajabu kabisa. Dr Omary Ally...
20 Reactions
55 Replies
830 Views
Kutokana na upotoshaji wa baadhi ya watu kuhusiana na ziara ya Waziri Kombo, huko Vatican; Vatican na Kanisa Katoliki Tanzania kwa kupitia taasisi yake za Kanisa, ya Wasomi wataalam, imetoa...
17 Reactions
12 Replies
438 Views
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linamshikilia Fredrick Mbwambo, mwanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa tuhuma za wizi wa fedha za michango zilizokuwa zikikusanywa kwa ajili...
0 Reactions
37 Replies
616 Views
Vuta picha maiti za polisi wameuawa barabarani au kambini mwao ziki trend Kwa mitandao zikifuatiwa na matamko kama hayo ya black mask huko mtandaoni! Hali itakuaje Kwa viongozi wetu ambao wamekua...
6 Reactions
57 Replies
2K Views
Wadhulumu haki na wauaji wanaumia sana na kufadhaika wakisikia yeyote ama akiongelea au kulaani udhulumati na ushetani wao walioufanya ile Oktoba 29. Kila anayechukizwa na dhuluma zao, huwa ni...
3 Reactions
6 Replies
170 Views
Mbunge wa Jimbo la Kisarawe mkoani Pwani, Dkt. Selemani Jafo ametilia mkazo suala la wajibu wa kila mtanzania kulinda amani ya nchi akieleza kuwa ajenda ya amani haina mbadala hivyo inapaswa...
1 Reactions
7 Replies
220 Views
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema hayo wakati akijibu swali la Nancy Nyalusi, Mbunge wa Viti Maalum katika kipindi cha Maswali ya Papo kwa Papo kwa Waziri Mkuu.
0 Reactions
0 Replies
96 Views
  • Redirect
Nimeelekeza kuondolewa kwa masharti yanayokwamisha utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwenye halmashauri zetu - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba 📍Dodoma-Tanzania 🗓️Januari 29, 2029 ———————————————...
0 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom