"Mwaka huu utakuwa mwaka wa 65 tangu tumepata uhuru bado hatujajenga Demokrasia, miaka saba mkoloni alikubali kuiachia Tanganyika na kupata uhuru bila kupiga watu risasi, miaka 65 hatuna mfumo wa...
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kuwa Oktoba 29, 2025, watu walipigwa risasi wakiwa majumbani mwao, huku Mkuu wa Nchi akisema nguvu iliyotumika ndiyo...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika Rais Samia ni Mwamba Kwelikweli,Ni Chaguo La Mungu ,Ni Nuru Na Mwanga Wa Taifa. Ni Kiongozi Aliyefanyika Baraka kwa Maisha Ya Watanzania,Ni Neema Na Baraka Kwa...
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kuwa Tume ya Uchaguzi ilieleza kuwa kati ya wapiga kura walioandikishwa katika Daftari la Wapiga Kura wapatao milioni 37...
Msiba wa Mzee Edwin Mtei haukuwa tu tukio la kuaga mwili. Ulikuwa mahakama ya dhamiri ya taifa. Ilikuwa ni mahali ambapo historia, maumivu, hofu, na matumaini vilikutana uso kwa uso. Katika jukwaa...
Kelele zilizidi sana mjini tulikuwa hatunywi maji wala kumeza mate, mara sisi ndio chawa wa mama, sisi wafupi wa mama, bodaboda wa mama, wabeba vyuma wa mama, barabara ya mama, hospital ya mama...
1/
Baada ya uchaguzi wa Oktoba 29 uliogubikwa na damu, hofu na tuhuma nzito za kukosa haki, Tanzania imejikuta ikipoteza imani ya mataifa na mashirika mengi ya kimataifa. Matokeo yake? Misaada na...
Majuzi nilichoka kabisa niliposikia mb mmoja anaongelea pilau bungen kisa ufunguzi wa meli
Akitoa pt zake anasisitiza atuwezi wapa maji wananchi kwa uzinduzi wa meli ya gharama kama ile...
Ndugu zangu Watanzania,
Embu Someni Hapa ili mpate kujua Maana ya kujitegemea kiuchumi kama Nchi Kama Afanyavyo Rais Wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Ambaye amekuwa...
Hata simkumbuki jina...ila nikiwa hapa kanisani leo katika kanisa takatifu la kimitume katoliki parokia ya uparokiani Askofu anazungumzia jambo , anasema kua unaweza kua mtu mzima ila akili huna...
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha Elisa Mungure, Mzee Mtei alituasa haki inatangulia ndipo amani inafuata
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha Elisa Mungure amesema kuwa enzi za uhai wake...
Mwanzoni mwa mwaka 2010, Benki Kuu nyingi duniani ziliacha kuuza dhahabu na badala yake zikaanza kununua na kuongeza akiba yao. Leo, Marekani inashikilia akiba ya dhahabu yenye thamani...
Imetolewa:
Dodoma, Tanzania
29 Januari 2026
Kumb. Na: Maoni/JMT/01
Ndugu Mheshimiwa,
YAH: MAONI YA WANANCHI KUHUSU PENDEKEZO LA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Napenda kuchukua fursa...
Salaam Wakuu,
Hapa chini ni barua ya aliyekuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha ACT WAZALENDO, ndugu Luhaga Mpina kwenda kwa Onorius Njole Katibu wa tume ya...
Sote tunajua bima ya AFYA kupitia NHIF ilivyoharibiwa na machawa hawa kwa kuweka sera hovyohovyo mwishowe imekuwa kama hazitekelezeki
Mbali na kuwepo.kwa VIFURUSHI vya bima kibaoo tena vyenye...
Mbunge wa Kinondoni (CCM), Tarimba Abbas amesema Serikali haioni haja ya kuweka sharti la kisheria la watoto wakubwa kuwatunza wazazi wao wasiojiweza.
Akizungumza Bungeni Leo Jumatano Januari...
Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka Watanzania watunze akiba ya chakula walichonacho na waepuke matumizi yasiyofaa kutokana na hali ya kuchelewa kwa msimu wa mvua.
Waziri Mkuu...
Kwa miaka mingi sana, nimekuwa mfuatiliaji wa CV za Magavana wa Benki Kuu za nchi mbalimbali duniani.
Katika ufuatiliaji wangu, miaka yote kwenye mataifa mbalimbali, Magavana wa Benki Kuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.