Padre ananiambia niache uzinzi, anahubiri anasema mimi ni mdhambi sababu nawatolesha Mimba mademu ambao nawagegeda kisha wakipata mimba solution ni moja. Toa.
Haya mambo ni kupangiwa na mabeberu...
Katika hotuba yake ya uapisho mwaka 1981, Rais wa Marekani Ronald Reagan alinukuliwa akisema "In this present crisis, government is not the solution to our problem; government is the problem"...
1. Baba Rais mstaafu na trip za Western Countries kibao a month
2. Mama mbunge na mafao ya wenza
3. Mtoto waziri
4. Wajukuu ma CEO
All combined wizi na biashara haramu za wizi wanazofanya...
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Rais Samia.
Baadhi ya media zimempost, ukifatilia sasa comments za wananchi.
Utapata picha nzuri kwanini siku hizi amehamishia majukumu yake Ikulu ndogo ya Tunguu.
Kangi Lugola adai kundi la machawa tushio kwa mipango ya Rais Samia kuwaacha Watanzania na Tabasamu
Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola ametoa maneno mazito Bungeni akidai kuna kundi la machawa ambalo...
SERIKALI IANZISHE PROGRAM YA WATU KUCHANGIA KWAAJILI YA UZEE. IITWE "KIZAZI SALAMA FUND (KSF)". ILI KILA MZEE WA TANZANIA ALIPWE POSHO KWA MWEZI.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
1. Watu wote...
Huo ndio ujumbe wenu. Mbuga, bandari, maji, na kila kitu wameuziwa waarabu, sasa dhahabu nayo watagawiwa waarabu maana watapewa kwa bei ya kutupa kama walivyopewa vingine!
BBC, BLOOMBERG na BUSINESS INSIDER AFRICA wamemnukuu Waziri wenu wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango, KITILA MKUMBI akisema “Governments are no longer interested in providing aid to Africa so we are...
Walivunja kifungu namba 87 cha sheria cha kanuni ya adhabu kwa kupigana hadharani.
Wakamatwe na kwa sababu ushahidi upo wapelekwa mahakamani na wahukumiwe miezi sita jela.
Ni kama vuguvugu limepungua, wadhalimu wanaendelea kujilia vyal, na Kama mtu hajajeruhiwa au kupoteza ndugu ndio hata hawezi kumbuka kabisa.
Wananchi wako busy kwenye challenge za wasanii.
Ni...
Tafiteni historian mzuri, actually awe historian wa chama. Aweke rekodi madhubuti ya madhura mnayopitia.
Kwa.mfsno, mna.list ya watu waliouawa na ccm / serikali wakipigania uhuru wa TANGANYIKA?
2...
Tukishaikomboa hii NCHI, hawa TRA NAO tutawafumua , tutawashikisha Adabu.
Wanaiba, wanajilimbikiza Maliz alafu wanakuja kupika Data, Kila Mwezi wanaonekana Makusanyo yamepanda.
Kumbe ni uongooo...
Salaam!
Yaliyotokea October 29,ujasiri ule wa wananchi kutoka kudai haki siku ya uchaguzi,inasemekana ilichangiwa na roho ya uzalendo aliyoipanda hayati Magufuli.
Sasa tunaelekea March 17 siku...
Kiongozi mstaafu wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini (TAHLISO), ambaye pia ni mtoto wa marehemu Amina Chifupa, amewataka Watanzania kuweka pembeni ubinafsi na kuiamini Tume ya Uchunguzi...
Angalia picha ya Mke wa Boby wine akiwa amekaa kwenye sakafu huku akiwa chini ya ulinzi wa polisi. Hii ni kinyume na haki za kibanadamu na utu.
Kwa nini Wanamchi wa Afrika mashariki wanafanywa...
Pamekua na magari machache ya Kimara Gerezani na Mbezi Gerezani tofauti na tunavyo aminishwa kwa picha za mabasi mtandaoni.
Hali ya usafiri ni Mbayaaaaa, Mbezi Kimara hali ya Maji ni Mbayaaaaa...
Ukweli ni kwamba nchi yetu inahali ya kisiasa na kiuchumi mbaya sana.hali ambayo imesababishwa na uongozi mmbovu.tunaongozwa na viongozi waovu. Ili mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.