Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi, Tangu kuanza kwa pilika pilika za uchaguzi wa Serikali za Mitaa, sijawahi kuzungumza lolote kuhusu uchaguzi huu kutokana na kuwa bize na shughuli za kitaifa, kwanza ni Wiki ya Msaada wa...
67 Reactions
320 Replies
35K Views
Pascally Mayalla na wenzake lazima tukubali walitufanya sisi tuonekanike ni fyankura Kabla ya kwenda mbali naomba huyu MWAMba Pascally Mayalla aweke CV yake ya kusomea uhandishi wa habari hapa...
7 Reactions
68 Replies
2K Views
Just for curiosity, kuna matendo yanafanywa na serikali wazi wazi kuwa yanayoakisi UHAINI WA SERIKALI dhidi ya wananhi wenye mamlaka, maana mamlaka ya serikali yanatoka kwa wananchi! Kama...
3 Reactions
8 Replies
580 Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – TAMISEMI, 𝐌𝐡𝐞. 𝐌𝐨𝐡𝐚𝐦𝐞𝐝 𝐌𝐜𝐡𝐞𝐧𝐠𝐞𝐫𝐰𝐚, akiwa katika ziara yake Wilayani Bagamoyo, amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 𝐌𝐡𝐞. 𝐒𝐚𝐦𝐢𝐚 𝐒𝐮𝐥𝐮𝐡𝐮 𝐇𝐚𝐬𝐬𝐚𝐧...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakina ndugu Lissu aachiliwe aende zake nyumbani baada ya hapo maridhiano ya kitaifa tujadiliane na kuwa na muafaka wa pamoja, muafaka ndio inawekaga kusemana kweli na kisha tuambiane rekebisha...
0 Reactions
2 Replies
439 Views
Title states openly........... Mimi ,wewe, yule na waleee sote TUMEFELI. Mwl. J.K. Nyerere alinukuliwa alisema taifa ni watu, ardhi na utawala Bora. Mimi na wewe kama segment muhimu ktk taifa...
2 Reactions
0 Replies
254 Views
Asema hana matumaini na kizazi cha sasa katika kujenga jamii mpya, ataka nguvu ziwekezwe kwa vizazi vijavyo. Dar es Salaam. Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu (Mstaafu) wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Inawezekana Tulikua tunahisia tu lakini Sasa Mambo yako Wazi, Mambo yako Wazi. Polepole Leo amekiri na Hivo MADAI YA LISSU DHIDI YA WIZI WA KURA kupitia Servers za Tume ni ya KWELI NA YANA...
17 Reactions
30 Replies
2K Views
Kwa Wale ambao hawafahamu Unafiki wa Zitto Kabwe basi ni vema Wakarejea kwenye Uchaguzi wa 2015. Mwaka ule kulikuwa na Kolabo iliyoitwa UKAWA, huku Tanganyika mgombea wa UKAWA alikuwa Edward...
20 Reactions
107 Replies
4K Views
Sabato Njema! Polepole wakati anatembelea V8 alitamba sana tena kwa bahati mbaya kabisa alishindwa kujizuia akajirekodi na kujigamba na kuwaringishia Watanzania hawaijui V8. Sasa amuache Samia...
7 Reactions
56 Replies
2K Views
Chuki ya Pole pole na genge lake inadhihirika zaidi leo hii kwa kuwa hakuna jinsi. Lakini niwakumbushe tu kulikuwa na mvutano kuhusu kuapishwa kwa Samia aliyekuwa Makamo wa Raisi kuwa Raisi baada...
7 Reactions
32 Replies
2K Views
Haitoshi tu kuelezea mambo ya kisiasa ama Kura zinavyoibiwa, tunataka pia kujua uhai wa watanzania wenzetu waliopotezwa na wanaoendelea kupotea ninani anawateka na wanawekwa ama wako wapi na kama...
15 Reactions
62 Replies
2K Views
ACT Wazalendo na CHAUMMA ni mradi wa kundi mtandao ambao wamewezesha na wakamka, ndivyo hivyo Chaumma ni project ilikuwa inahusu ubwabwa leo hii inamgombea Amesema Polepele
1 Reactions
2 Replies
384 Views
Uchaguzi ni kama maigizo ya pwagu na pwaguzi Tume tayari tunajua wizi wa data chaguzi CCM A VS CCM B Polepole kapiga msumari wa mwisho
3 Reactions
3 Replies
260 Views
CCM wamefanikisha harambee yao kwa ajili ya Kampeni. Wamepanga kukusanya bilioni 100, wamekusanya bilioni 86 na ushee, ni mafanikio makubwa. Mtindo huu wa kufanya harambee kwa Vyama vya Siasa kwa...
3 Reactions
7 Replies
510 Views
Watanzania wangekuwa wanajitambua hata kwenye mikutano yao wangewasusia kabisa hawa wahuni wanaotaka kuaminisha umma kuwa kuna vyama vya upinzani kumbe ni tawi la chama chenye manyaya makubwa...
3 Reactions
0 Replies
150 Views
== Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha ubia nchini Tanzania PPPC Bwana David Kafulila akihojiwa katika kituo maarufu cha runinga cha ITV kwenye kipindi cha DK 45 alikuwa na haya ya kusema...
16 Reactions
120 Replies
5K Views
Katika azma ya kuifanya Tanzania kinara wa kupunguza pengo la uwiano wa kijinsia kuelekea dira 2050, Rais Smia ameteua ya Majaji 35 wanawake 41%. Uwiano wa kijinsia ni moja ya shabaha ya msingi...
0 Reactions
16 Replies
632 Views
Pongezi kwa Pole Pole na Nape. Jamani sijaamini kama CCM wangekuwa na mchezo mchafu wa mfimo wa uchaguzi. Tumlinde Pole Pole kwa nguvu zote na tumsamehe inawezekana kipindi akiwa kule alikuwa...
2 Reactions
4 Replies
555 Views
Back
Top Bottom