Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wazalendo wa kweli wa taifa hili hawawezikukaa kimya kuona misingi inavunjwa. Ni lazima kazi ifanyike taifa lirudi kwenye misingi. Siasa isivuke mipaka ya uzalendo na walinda iyo mipaka wapo na...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Maana kwa tulichojifunza mwaka 2021 kelele za mtandaoni zinaweza kugeuka na kuwa ukweli, na hatuamini tena kauli rasmi za wasemaji wa chama au serikali wanapozikanusha Baada ya kikao cha CCM...
13 Reactions
58 Replies
3K Views
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alijulikana na kuheshimika kwa tabia yake ya kuji utu. Mwalimu aliheshimu utu wa binadamu wengine kwa kiwango cha Hali ya juu Sana. Hapa anatoa hoja muhimu Sana...
2 Reactions
7 Replies
323 Views
Sababu za kwanini Gwajima alishaona amekufa kisisasa 1. Gwajima aliupata ubunge kwa kauli ya raisi Magufuli, "Nileteeni Gwajima, Nileteeni Gwajima, Nileteeni Gwajima. " Gwajima aaliletwa ila kwa...
2 Reactions
15 Replies
575 Views
Chama kikubwa Cha upinzani Tanzania kimefanya mkutano mkubwa wa aina yake uko Kilimanjaro. Ikimbukwe mkoa huo viongozi wengi wa chadema katika mkoa huo walihamia CHAUMA.
23 Reactions
45 Replies
2K Views
Salaam Wakuu, Kundi linalomuunga mkono Polepole sasa limeshika hatamu. Limeshika usukani na lina nguvu. Kwa ufupi ni kwamba Polepole katangulizwa tu na nyuma yake wapo watu kutoka vyombo...
51 Reactions
187 Replies
11K Views
Ni sawa tu na kukataa Amani na kukaribisha Ujivuni, maringo na Vurugu Niishie hapo 🐼
0 Reactions
3 Replies
236 Views
Wanabodi, Baada ya kumsikia rais wetu, Mhe Dr. John Pombe Magufuli, akiangalia Clouds TV, wengi walimpongeza, na baadhi yetu tulifarijika sana, na tukampongeza, Rais Magufuli ni Simple, Genuine...
11 Reactions
184 Replies
26K Views
Wanabodi, Mafundisho yote ya dini yanafundisha kuwa "Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu", kwa lengo la kuwathibitishia waumini wote wa dini zote kuwa tawala...
3 Reactions
60 Replies
7K Views
Kwa shtuma za uvunjifu wa katiba ya chama wazi wazi ya CCM mwenyekiti alipaswa kujiuzuru. Kuna uvunjifu mkubwa wa katiba ya CCM hasa kipindi hiki ikiwemo mchakato wa wagombeaji kupatikana kinyume...
7 Reactions
25 Replies
1K Views
Gwajima hafai kuanza kikosi cha kwanza ,anabidi kutokea benchi . Kwahiyo Mimi namuita Super sub. "Eti tuwape minimal reform then tuingie katika uchaguzi tuwapige"
5 Reactions
12 Replies
661 Views
Baadhi ya watia nia ya ubunge wameonekana kwenye viunga vya Makao Makuu ya CCM Dodoma wakikutana na watu mbalimbali kwa lengo la kuwaomba wasaidiwe ili wapitishwe na vikao vya Kamati kuu kuwa...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Hakika kumekucha safari hii sio mchezo Sub zote zimeisha Ila tunaingiza wapiga penati ambao wako wanafanya warm up. Sasa tusiangushane.
14 Reactions
69 Replies
6K Views
CCM wangeweza vipi kuruhusu jambo kama hilo litokee? Hiyo itakuwa ni kuwachezea masharubu wanajeshi ambao wamesema wana wasiwasi kidogo kuhusu watu fulani kushika madaraka ya juu katika nchi ...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Sio kweli hata kidogo kuwa katika uchaguzi wa 2020, Magufuli alipita katika mchakato halali, huru na haki ndani ya CCM. Mwaka 2020 katika CCM, kila kitu kilitegwa, kikabakwa na kunajisiwa. Fomu...
8 Reactions
40 Replies
2K Views
Jamani, Kunakupotezwa, si unajua tena ugali wa mtu, hata kama unga kaiiba, mboga kaiba, ila ukimwaga chakula chake, hasira huja zenyewe Tusiweke video za wanaomkataa hadharani kipenzi cha...
13 Reactions
31 Replies
1K Views
Wasalaam!! 1: Kundi la kwanza ni kundi la pure wazalendo wa nchini lenye ushawishi ni kundi linaloongozwa na Tundu Lissu,John Heche, Lema na umma wa wapenda mabadiliko ya kweli, Hawa ni wale...
35 Reactions
67 Replies
4K Views
Sio tu katika katiba ya nchi ambapo Mwl Nyerere aliujenga urais katika hadhi ya ufalme bali pia hata katika maongezi yake na utamaduni ni hivyo pia. Nyerere aliwajengea raia mtizamo kwamba watu...
2 Reactions
25 Replies
915 Views
Millard Ayo alisema interview ile ameigawa katika sehemu 4 ambazo zitatujia kwa awamu. Sijaona awamu nyingine yoyote tangu ile awamu ya kwanza itoke. Kulikoni...
0 Reactions
2 Replies
320 Views
Tuko hapa na mzee Mgaya tunaulizana maana ilikuwa kwa ghafla mno yeye kutochukua fomu akiwa tayari ameiendea jimboni Hatujapata jawabu 🐼
2 Reactions
17 Replies
493 Views
Back
Top Bottom