Huyu Bashe Kwa Lugha nyepesi kabisa unaweza muita ni CHAWA asiyemtanzia ambaye anatumia Janja kujiweka karibu zaidi ya Mamlaka ya Juu, ili aendelee kuchukua Nafasi za Watanzania.
Suala lake la...
Wanazi hawana mpango wa kutoa haki kupitia Mahakama , ingekua hivo Kesi ya LISSU ingekua tayari Mahakama Kuu .
Ingekua hivo ,huyo Muhuni angekua keshajutoa kwenye Kesi.
HECHE HECHE HECHE...
Mheshimiwa Mrisho Mashaka Gambo,
Mbunge wa Arusha Mjini,
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa heshima na taadhima, ninayo furaha kubwa kukuandikia waraka huu kama kijana na mkazi wa...
Mara kadhaa tumekuwa tukisikia maneno kuwa Rais sio mtu bali ni taasisi ndiomaana wanaomtukana wanashughulikiwa ipasavyo
Ukifuatilia yanayojiri mitandaoni ambayo ndio uhalisia kamili wa mtaani...
Haka kajamaa tumegundua sio kanafunzi ka Chuo chochote Tanzania, Sio Kwa Vyuo vya TCU, Wala NACTEVET !.
Kwa Mujibu wa Miongozo ,Kanuni, Sheria Katiba zinazoongoza TAHLISO , ni umoja ambao...
Sina lengo la kumjibu Polepole wala sijaona hoja ya kumjibu.
Pia siungi mkono kinachoendelea CCM na wakati yeye anakula kodi zetu enzi za Magu alikuwa anatuambia"Unaijua Vieite wewe "
He is...
Ni mambo yanayoanzaga kidogo kidogo lakini ghafla yanakuwa utamaduni
2030 sio mbali inaweza kutokea viongozi wakubwa wenye ushawisji kwenye chama wakasema tuna imani na mtu flani (waliemuandaa)...
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando amefika kusali pamoja na waumini wa kanisa la Glory of Christ (Ufufuo na Uzima) wanaosali katika ukumbi wa Tanzanite jijini Dar es Salaam.
Awali kabla...
Wakuu!
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo tena anapanda kizimbani, Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, kwa ajili ya shauri lake la maombi ya jinai...
Je Kwanini Aliongea Haya Leo Anasema Hivi Ilihali Tunajua Kabisa Huu Ni UTARATIBU NA UTAMADUNI Wetu Kama CCM Ambao Tuna-adhimia Kwa Pamoja.
Hapa Polepole Wa Mwaka 2018 Wakikutana Na Polepole Wa...
Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Bara Amani Golugwa amefika ukumbi wa Tanzanite Kimara Korogwe kushiriki ibada ya jumapili na waumini wa Kanisa la Ufufuo na Uzima...
Hakuna cha 4R
Hakuna cha miradi
Hakuna kingine chochote nchi nzima na hata diaspora ujumbe na Watanzania wanahitaji mabadiliko ya sheria za nchi na kuanza na sheria za chaguzi.
Bila hivyo...
CCM wameanza kufoji kura huko Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani baada ya kukamarwa kura feki za udiwani wa viti Maalum yaani CCM ni majanga baada sasa wao kwa wao.
Mtihani mzito wa Kulivusha Taifa baada ya tukio la kipekee kutokea nchini ya kifo cha Rais aliopo madarakani inatufanya tuwe na imani isiyo na shaka kwamba Rais Samia anao uwezo pasipo shaka...
Ndugu zangu,
Rais mstaafu mh Jakaya Kikwete Ndiye Aliyenishawishi Kujiunga na CCM Mwaka 2005 Nikiwa mkoani Rukwa wilaya ya Sumbawanga vijijini, mji mdogo wa Laela Jimbo la Kwela lililokuwa...
Wakuu,
Awali April 10, 2025 walitangaza mchakato huo ungeanza Mei Mosi mpaka Mei 15 ambako ingechukua siku 15 kwa wagombea kuchukua na kurudisha fomu lakini sasa itakuwa ni siku 15 pekee ambako...
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kusitisha mara moja mikutano, semina, ziara na makongamano yote yanayowahusisha wajumbe wa vikao vya uchujaji na uteuzi wa wagombea wa ubunge, uwakilishi na...
Aliposema kuwa kesho tusilaumiane juu ya nitakachoongea mimi binafsi nilitalijia ataweka wazi juu ya hili suala.
Je ni kweli aliugua? Na kama aliugua mbona watanzania walifichwa kwa zaidi ya wiki...
Haya ni maneno ya bibi kizee wa Miaka 72 wewe mwenye miaka 22 unawezaje kupinga ukweli huu?
Ukimsikiliza vizuri huyu bibi utabaini mambo mengi yaliyojifichwa kwa muda mrefu ambayo hayasemwi...
Hiki ndicho kilichopo kwa sasa TAKUKURU haina meno yake, zamani maofisa wa serikali na sekta binafsi walikuwa wakisikia TAKUKURU inawafuatilia walikuwa wanaingia ubaridi lakini kwa sasa mambo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.