Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ccm nikimaanisha na vyama vyake vya kuzugia vilivyomo kwenye project yake. Uchaguzi huu ukipita bila mabadiliko ya aina yoyote yale basi ni uhakika bila shaka lolote lile, ni mpaka 2050 njia ni...
0 Reactions
0 Replies
148 Views
Kwamba sasa Katibu Mkuu tayari ni makamu wa Rais hivyo ni kufanya replacement mapema!
3 Reactions
15 Replies
928 Views
Kamati Kuu imewateua makada wake Asha Rose Migiro - Katibu Mkuu Kenan Kihongosi - Mwenezi Taifa Uteuzi huo unafanyika mwezi mmoja kabla ya Uchaguzi Mkuu. Sasa naanza kuamini kwamba suala la...
2 Reactions
8 Replies
766 Views
Yeye amejikita kwenye kuimarisha CCM Nimependa mabadiliko ya pale juu baada ya Dr Nchimbi kuelekea kwenye Umakamu wa Rais Mlale unono 🙏
-1 Reactions
20 Replies
2K Views
Huwezi ukabwia mchzi wa kitimoto na ukasema ni haramu. Huwezi kukaa majini ukasema u mkavu. Gwajima na Polepole wamejitokeza kwa hoja kedekede wakituhadaa kuwa wanapigania maslahi ya Tanzania...
2 Reactions
39 Replies
1K Views
Kwa kweli nilishangaa sana pale Tume ya Uchaguzi ilipotangaza ya kwamba wapiga kura waliojiandikisha ni milioni 37 na ushee. Nikashangaa Sana. Ila Leo nimegundua ya kwamba INEC imechukua takwimu...
33 Reactions
116 Replies
6K Views
Wana bodi sasa ifike Mwisho!! Nchi inapaswa kubadilika katika mfumo wa bunge ili kuwe na watu mahiri na werevu na wenye elimu ya kung’amua mambo mazito ya kuendesha Nchi. Sikatai Wananchi...
0 Reactions
0 Replies
272 Views
Wananchi ni wazalendo Wachezaji ni wazalendo zaidi Viongozi ni wazalendo kiasi Sasa:- Mpira ni uwekezaji, tena wa muda mrefu - ili tupate ushindi. Leo goli la mguu limegoma; Goli la kichwa...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Lengo ni watu wafanye Cross checking ya majina hayo kama kweli watu hao walienda kujiandikisha. Nje ya hapo Uchaguzi wa 2025 ni batili kwa sababu matokeo sio takwa la wananchi CCM B (ACT...
1 Reactions
8 Replies
325 Views
Katika utumishi wake kwa chama na serikali, Hamphrey Polepole alishiriki kikamilifu kudhoofisha na kuubinya uhuru wa vyama vya siasa nchini na kushangilia sana hatua ya marufuku kwa vyama vya...
-2 Reactions
168 Replies
5K Views
Wasaaalamu Kama kichwa cha habari kinavyojieleza inakuwaje media za kibongo zinatupa habari za NIDA na INEC wakati hazikutuhabarisha habari zilizosemwa na Mheshim8wa Balozi mstaafu Humphrey...
15 Reactions
25 Replies
1K Views
Manipulation is often misleading others, unafanya deceptive or covert influence ili uamike kwa kila uongo unaousema. Kwenye political manipulation kuna spreading misinformation, gerrymandering...
-2 Reactions
32 Replies
1K Views
Mh. Tafadhali mpeleke Dr Bashiru Cuba kabla hujatangaza kupumzika na kumwachia mwanachama mwingine kugombea urais mwaka huu. Asante kwa kuelewa, wasalimie sana hapo ikulu.
0 Reactions
5 Replies
646 Views
NIDA-INEC-CCM Wakuu kama alivyotueleza Pole pole, hakuna kukwepa kupiga kura ilimradi unayo NIDA. Yaani usipoenda kupiga kura wanakupigia na ukienda kupiga wanakucheka. Kura yako baki nayo...
1 Reactions
6 Replies
242 Views
Hizo barua zinahusu nini na zinatoka kwa akina nani ndio jambo ambalo bado sijaelewa Na zinaenda kwa viongozi wa dini gani? Yaani ni kufuatilia kila jambo pili Amani yetu idumu
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Maneno ya Humphrey Polepole yameweka hadharani kile ambacho tulikuwa tukisema kwa miaka mingi – CCM si chama tena cha siasa, bali ni kampuni ya mafisadi wenye maslahi binafsi. Amedai wazi kuwa...
4 Reactions
2 Replies
393 Views
GT Ni maajabu hawa wanaojiita tume huru ya uchaguzi huku majina ya wapiga kura yamefichwa Mi najiuliza kwa nini wanahitaji namba ya kadi ya kupiga kura ili niweze kuona jina langu? Hii ina maana...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Hatari sana hii na vyombo naona vimesha uzoea huu utaratibu kuwa ni wakawaida na mbaya zaid jamii nayo imesha ona ni kawaida si jambo la kuogopa tena , sasa nadhani labda huu mchezo uhamie kwa...
1 Reactions
21 Replies
1K Views
Japokuwa Serikali yetu haiongozwi na Malaika, lakini kusema kweli yapo mambo mengi yanayoendelea nchini yanayotia kichefu chefu, kukatisha tamaa na kusikitisha. Hali hii ya mambo imesababisha...
1 Reactions
4 Replies
298 Views
Nimeshindwa jinsi ya kuupata ule uzi niliweka hapa miaka kama mitatu imepita. Kwamba procurement officer wa mizigo alikuwa Sabaya. Ndio maana alijiamini sana ndugu Sabaya. Haya sasa, na...
-1 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom