Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa shtuma za uvunjifu wa katiba ya chama wazi wazi ya CCM mwenyekiti alipaswa kujiuzuru. Kuna uvunjifu mkubwa wa katiba ya CCM hasa kipindi hiki ikiwemo mchakato wa wagombeaji kupatikana kinyume...
7 Reactions
25 Replies
1K Views
Gwajima hafai kuanza kikosi cha kwanza ,anabidi kutokea benchi . Kwahiyo Mimi namuita Super sub. "Eti tuwape minimal reform then tuingie katika uchaguzi tuwapige"
5 Reactions
12 Replies
664 Views
Baadhi ya watia nia ya ubunge wameonekana kwenye viunga vya Makao Makuu ya CCM Dodoma wakikutana na watu mbalimbali kwa lengo la kuwaomba wasaidiwe ili wapitishwe na vikao vya Kamati kuu kuwa...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Hakika kumekucha safari hii sio mchezo Sub zote zimeisha Ila tunaingiza wapiga penati ambao wako wanafanya warm up. Sasa tusiangushane.
14 Reactions
69 Replies
6K Views
CCM wangeweza vipi kuruhusu jambo kama hilo litokee? Hiyo itakuwa ni kuwachezea masharubu wanajeshi ambao wamesema wana wasiwasi kidogo kuhusu watu fulani kushika madaraka ya juu katika nchi ...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Sio kweli hata kidogo kuwa katika uchaguzi wa 2020, Magufuli alipita katika mchakato halali, huru na haki ndani ya CCM. Mwaka 2020 katika CCM, kila kitu kilitegwa, kikabakwa na kunajisiwa. Fomu...
8 Reactions
40 Replies
2K Views
Jamani, Kunakupotezwa, si unajua tena ugali wa mtu, hata kama unga kaiiba, mboga kaiba, ila ukimwaga chakula chake, hasira huja zenyewe Tusiweke video za wanaomkataa hadharani kipenzi cha...
13 Reactions
31 Replies
1K Views
Wasalaam!! 1: Kundi la kwanza ni kundi la pure wazalendo wa nchini lenye ushawishi ni kundi linaloongozwa na Tundu Lissu,John Heche, Lema na umma wa wapenda mabadiliko ya kweli, Hawa ni wale...
35 Reactions
67 Replies
4K Views
Sio tu katika katiba ya nchi ambapo Mwl Nyerere aliujenga urais katika hadhi ya ufalme bali pia hata katika maongezi yake na utamaduni ni hivyo pia. Nyerere aliwajengea raia mtizamo kwamba watu...
2 Reactions
25 Replies
917 Views
Millard Ayo alisema interview ile ameigawa katika sehemu 4 ambazo zitatujia kwa awamu. Sijaona awamu nyingine yoyote tangu ile awamu ya kwanza itoke. Kulikoni...
0 Reactions
2 Replies
321 Views
Tuko hapa na mzee Mgaya tunaulizana maana ilikuwa kwa ghafla mno yeye kutochukua fomu akiwa tayari ameiendea jimboni Hatujapata jawabu 🐼
2 Reactions
17 Replies
494 Views
Usiondoke JF Rais Samia Suluhu Hassan leo anazindua rasmi Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 hafla itakayofanyika katika ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma. Uzinduzi huo utafanyika wakati wa...
4 Reactions
62 Replies
4K Views
KUELEWA UHALISIA WA BINADAMU: DUALITY NA SIASA ZA TANZANIA By MALEKOGJ Binadamu Wenye Tabia Mbili Katika sayansi ya saikolojia, dhana ya duality inaeleza kuwa binadamu si wa upande mmoja pekee...
1 Reactions
0 Replies
213 Views
Kuna mwana mama mmoja alikuwa anatapeli watu viwanja na mali zao, yani anaweza uza swiming pool yako kwa mwarabu bila kukushirikisha, anaweza uza mashamba yako ya miti na mifugo bila...
47 Reactions
80 Replies
5K Views
Askofu Jude Thadeus Ruwaichi, JImbo Kuu la Dar es Salaam kilipo Kituo cha Msimbazi Nchini Tanzania, utekaji haramu ni kosa la jinai chini ya kifungu cha 253 cha Sheria ya Makosa ya Jinai, Sura ya...
4 Reactions
24 Replies
4K Views
Salaaamu Wanabodi....! Ngoja tutete kidogo, imma kwa Rais wetu ajaye ama vyovyote iwavyo Tangu nimezaliwa hadi leo, nimebahatika kumuona tu kwa kipindi kifupi sana Baba wa taifa hili Mwl Julius...
0 Reactions
1 Replies
215 Views
Team! Salaam! Hakuna taifa lisilokuwa na changamoto za kiuongozi, kimaadili na kadhalika. Tunachojivunia ni utayari wetu wa kupata suluhu za changamoto hizo kwa njia ya mapatano na usuluhishi...
0 Reactions
3 Replies
252 Views
Siasa za nchi hii zinachanganya sana, wote tunakumbuka jinsi hawa mapacha watatu walivyokuwa hawaivi chungu kimoja kabisa na Magufuli mpaka wakanaswa wakiwa wanamsengenya huku wakitengeneza waraka...
4 Reactions
13 Replies
745 Views
Rais Samia anagombea muhula wa pili wa Urais wake na ndiyo muhula wa mwisho kwa kwa mujibu wa Katiba iliyopo. Kwa kuwa Majaliwa hagombei tena ubunge na kwa mujibu wa Katiba iliyopo Waziri Mkuu...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Katika siku za karibuni, kumeibuka hali ya kusikitisha sana katika tasnia ya habari nchini Tanzania. Vyombo vingi vya habari ambavyo viliheshimika kwa kuandika kwa ujasiri na ukweli, sasa...
11 Reactions
30 Replies
1K Views
Back
Top Bottom