Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habari za mida hii ndugu? Maoni yangu nivyema mwaka huu tusifanye uchaguzi kwa sababu huu ni mchezo wa kiini macho tu, kwa vyovyote vile chama tawala tayari wana hakika ya ushindi kwa asilimia...
0 Reactions
7 Replies
303 Views
WanaJF, Natumaini tunaendelea vizuri wikendi hii. Leo nimekuja na ushauri kwa serikali yetu wakati tunapambana kuelekea kwenye uchumi wa juu kama nchi. Wakati tunajivunia maendeleo tuliyopata na...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Agosti 10, 2023, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, alimtaka Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuhakikisha kuwa mifumo yote ya Tehama serikalini inasomana ili kufahamu...
1 Reactions
1 Replies
314 Views
Tuliyesoma naye pale Azania tunamjua, kazi yake kubwa ilikuwa unoko kwa waalimu. Kazi yake ilikuwa kuhakikisha anareport mambo wanayofanya wanafunzi. Hana usafi huo, ila hapendi kuona watu...
13 Reactions
75 Replies
4K Views
Nawashangaa sana hawa wanaojiita Upinzani, hivi Hawa wapinzani wetu ni wakulala wanaskiliza press za polepole Leo kweli? Nadhani ni kukosa hoja kwa Wananchi, lakini si kukesha eti mnamsikiliza...
5 Reactions
105 Replies
3K Views
Habari wakuu Mimi bado ni mgeni katika Chama cha mapinduzi. Nilianza kuwa mwanachama rasmi mwaka 2010 kwahiyo Nina miaka 15 Hadi Sasa. Kwa Hali ilivyo Sasa haitakiwi akili ya mhemko hata kidogo...
0 Reactions
2 Replies
234 Views
Mifumo hii kusomana ni jambo zuri na la kuigwa. Unaweza kupata taarifa popote, muda wowote. Tupunguze ujuaji
2 Reactions
15 Replies
868 Views
Tunaweza kusena Rais au Serikali huwa hazifungi watu, ila bila msukumo kutoka kwa Rais au Serikali take basi basi mafisadi hawawezi kufungwa, Rais huwa ndio anateua DCI, DPP, ambao ndio...
1 Reactions
38 Replies
2K Views
Kumekucha kumechangamka august-21-2025 tueke kumbukumbu sawa, Bwana HPolepole katuamsha na chupa imejaa chai ya moto🔥 balaa. Binafsi kanifikirisha sana, maana Kuna ile simulizi tulisoma darasa la...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ni dhahiri bila chembe ya shaka, Waislamu walikuwa msitari wa mbele kumng'oa mkoloni. Hilo halina ubishi, maana Tangu enzi za vita vya mababu zetu dhidi ya wakoloni, struggle nyingi zilifanyika...
31 Reactions
134 Replies
5K Views
Litakuwa jambo jema sana. Walimu wanaishi vijinini hawana nyumba. Manesi na madaktari wanangaika vijijini kuokoa maisha ya watu. Hakuna anayepewa hata sh tano kama motisha. Leo stars afungwe...
33 Reactions
83 Replies
4K Views
Mambo yanazidi kunoga katika safari ya kukomesha matumizi ya Kuni na mkaa kunako 2034. Gesi Sasa kama luku. https://www.instagram.com/p/DNp2CO_I96P/?igsh=MThpY3lhMnNob2Nybg==
0 Reactions
36 Replies
676 Views
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman anazungumza na Wahariri wa Vyombo vya Habari muda huu katika Hoteli ya Serena. https://www.youtube.com/watch?v=QALdEBBAQlk Mazungumzo...
0 Reactions
12 Replies
769 Views
Mahakama kuu uwa inachukua muda gani kupanga tarehe ya kesi, mfano kesi ya lissu iliyomalizika hapo Kisutu na kupelekwa mahakama kuu itachukua siku ngapi au muda gani mpaka kupangiwa tarehe ya...
3 Reactions
23 Replies
1K Views
Kama ipo nijulisheni kuna chimbo lina odds za uhakika mwezi october. Nataka kusuka mkeka niweke milioni 200. Mkeka nitakaosuka utakuwa hivi Rais - Mama Abdul wa Dp World Mbunge Moro - Abood...
4 Reactions
9 Replies
553 Views
Taarifa hii inaonyesha kuwa kuna utata katika uhamisho wa leseni za madini kutoka kampuni ya Bafex Mining kwenda Shanta Mining. Hapa kuna mambo machache ambayo yanaweza kutokea: Uhamisho wa...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
https://youtu.be/vtxezmGOgQI?si=MUyi4Mzqdi4Mnb-v Sikiliza kilichotokea kwenye kikao cha Viongozi wa AU kule Addis Abeba. Rais kijana mwanapinduzi bila kupepesa macho wala unafiki alimlipua Rais...
3 Reactions
14 Replies
717 Views
Ujue tatizi kubwa sana ni wananchi wa Tanzania. Wamekubali na kuridhia kuliwa kwa namna yeyote ile mlaji anvyotaka na sio kwasababu hawajui ila ni wavivu wa kujishughulisha na mambo yao wenyewe...
2 Reactions
10 Replies
458 Views
Polepole anaendelea kulifungua Taifa polepole. Polepole ni kada wa juu wa CCM na anafahamu mambo mengi sana ya ndani kuhusu CCM. Ni vyema tukampa nafasi apate kutufahamisha mengi tusiyoyajua...
8 Reactions
19 Replies
1K Views
Baada ya Polepole kutoa tuhuma nzito za mifumo ya uchaguzi kuingiliwa huku akitaka uchunguzi huru utaohusisha vyama vyote ufanyike ili umma ujiridhishe kama alichosema ni kweli au laa, nimejikuta...
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Back
Top Bottom