Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni maoni yangu huru kabisa Uwezo wake ni wa manufaa makubwa kwa nchi yetu kwa ujumla hivyo ni vema akawa na hiyo nafasi ya AG.
0 Reactions
0 Replies
201 Views
Mgombea Ubunge kwa Jimbo la Njombe Mjini kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Sigrada Mligo amelalamikia uvunjwaji wa kanuni za kiuchaguzi kutokana na Mgombea Ubunge wa Chama Chama...
0 Reactions
0 Replies
217 Views
Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki, Joshua Nasari, ametua kwa kishindo mkoani Arusha na kurejesha fomu ya kuwania nafasi ya ubunge katika jimbo hilo ofisi za Tume ya...
0 Reactions
2 Replies
372 Views
https://vm.tiktok.com/ZMAYcHd7T/
0 Reactions
2 Replies
251 Views
Mlisema mtalinda kura. Leo ilibidi muwathibitishie wanachama wenu/watanzania kuwa mtalinda kura. Ajabu mmeshindwa kulinda fomu zisikataliwe. Polisi wametanda, mmeshindwa kuingia hata ofisini...
1 Reactions
4 Replies
512 Views
== Utafiti uliofanywa na taasisi maarufu ya Afrobarometer mwaka 2024 unaonesha kuwa Rais Samia anakubalika kwa 83% miongoni mwa watanzania. Kwa mujibu wa utafiti huo wananchi wengi waliohojiwa...
4 Reactions
113 Replies
4K Views
Sheria na kanuni mmezikiuka wenyewe ambazo zinaelekeza vizuri sana Msajili alitakiwa alete pingamizi lake kuanzia leo jioni na kisha Act watoe maelezo utetezi kisha tume iamue na kanuni iko wazi...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Hamad Rashid atimuliwa CUF Januari 5 CHAMA cha Wananchi (CUF) kilimtimua na kumvua uanachama Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed, ndani ya chama hicho, hivyo kumfanya apoteze sifa ya kuwa mbunge...
0 Reactions
1 Replies
971 Views
Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera anadaiwa kuvamiwa na 'watu wasiojulikana' nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam baada ya watu kadhaa wakiwa na magari kuvamia na kuzingira...
29 Reactions
240 Replies
44K Views
kiwewe cha kushindwa uchaguzi na mwendelezo wa ugaidi wa CCM na mbinu za kuhairisha uchaguzi jijini Arusha leo zimeendelea baada ya wafanyabiasha wa malori ya mizigo na baadhi ya wafanyabiashara...
12 Reactions
94 Replies
10K Views
Tofauti na akina General Muhozi Museveni, Joseph Kabila, Uhuru Kenyata, Hussein Mwinyi, Aman Karume nk yeye Uncle Mako ni Mkuu wa mkoa tu anayeishi maisha ya kawaida kabisa Nimeishi na...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Kwa wafuatiliaji watasema ukweli.kwa sasa Ibrahim Traore anavuma. anachokifanya kinagusa mpaka mabara mengine kwa initiatives zake. kwanin nasema Makonda ni kama Traore. 1. Traore kaanzisha...
2 Reactions
45 Replies
2K Views
Kwa Wale wanaokumbuka, Wakati wa Utawala wa Jakaya Kikwete, Zitto Kabwe alikuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Na ndiye aliyekuwa anaongozana na Jakaya Kikwete kwenye ziara za Nje ya Nchi (Shangaa...
11 Reactions
167 Replies
6K Views
Kweli wakuitoa CCM madarakani ni CCM wenyewe wakitofautiana kinyume na hapo sioni hilo kutokea. Nyerere alijua fika jitu alilo tengeneza ni jitu la namna gani. Na ndio maana alisema upinzani...
3 Reactions
4 Replies
328 Views
Polepole hajakosea, Marehemu Mzee Mengi huyu hapa. https://www.youtube.com/watch?v=aSNSXYBsV1M
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu, Akizungumza kupitia njia ya mtandao leo, Agosti 27, Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Othman Masoud amesema kuwa kitendo cha Mpina naTume ya Uchaguzi kugombea Urais walikuwa na taarifa za awali...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Nauliza tu maana Sioni kama majukumu yao yanahitaji ukongwe wa Sheria Nimekaa pale 🐼✔️
0 Reactions
0 Replies
102 Views
Wakuu habari, Hizi ni moja za habari zilivoeleza aliyekuwa mwanachama wa CCM na kuhamia ACT Wazalendo kisha kuchaguliwa kuwa mgombea urais wa chama hicho kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025
0 Reactions
19 Replies
1K Views
"Katiba yetu inasema watu wote ni sawa na watawajbika kwa mujibu wa sheria, kwa maneno mengine hakuna mtu yeyote ambaye yuko juu ya sheria isipokuwa kama sheria hiyohiyo inampa kinga kwamba hawezi...
0 Reactions
5 Replies
577 Views
Chama kimekatika na hakuna wa kukemea. Tararibu zimekiukwa kila mahali Kuna uwezekano wa watu zaidi kuumizwa na mali zaidi kuharibiwa.
27 Reactions
143 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…