Green Guard na Polisi Arusha yakamata wana-CHADEMA 17

Green Guard na Polisi Arusha yakamata wana-CHADEMA 17

Crashwise

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
22,227
Reaction score
8,760
kiwewe cha kushindwa uchaguzi na mwendelezo wa ugaidi wa CCM na mbinu za kuhairisha uchaguzi jijini Arusha leo zimeendelea baada ya wafanyabiasha wa malori ya mizigo na baadhi ya wafanyabiashara wa soko la Kilombero leo wamekamatwa na green guard wakishirikiana na jeshi la polisi baada ya kukataa kutozwa ushuru na vijana wa CCM wakitaka waje kampuni iliyopitishwa na halmashauri ya jiji la Arusha kama sheria na kanunu zinavyotaka.2??.ndipo jeshi na vijana wa CCM ambao wengi wao ni majambazi walio samehewa kwenye mazingira ya kutatanisha wakaanza kuwakamata lakini baada ya uchunguzi wa CHADEMA kufanyika inaonekana wamefanya hivyo wakijua kuwa kilombero ni ngome ya CHADEMA na unapowakamata ni ili waandamane fujo zitokee uchaguzi uhahirishwe tena...na sababu nyingine ni kuendelea kuwazoofisha CHADEMA kuelekea uchaguzi mhimu sana kwa jiji la Arusha...

===================
Updates
Baada ya mvutano wa kati ya diwani wa kata ya Levelosi mhe. Nanyaro Ephata ambaye soko la kilombero liko kweye kata yake na mkurugezi wa halimashauri ya jiji la Arusha watu wote waliokuwa wamekamatwa wameachiwa bila mashariti yoyote na amekubali kuwa toa Green Guard kwenye soko la Kilombero ndani ya siku mbili kama wakusanya ushuru...
Hongera Mhe Ephata Nanyaro(CHADEMA) kwa kusimamia haki ya wapiga kura wako na watanzania kwa ujumla
 
Dawa yake tulieni, msifanye fujo wala maandamano kuelekea vituo vya polisi.Utaratibu wa kisheria wa kupata dhamana uchukue nafasi yake vinginevyo mbinu yao itafanikiwa!
 
Watatumika sana hao machizi lakini wakumbuke yana mwisho hayo.
 
CHADEMA wamesomea wapi na kufanyia wapi mafunzo ya upelelezi mpaka wewe uwe na imani nao?

Hizo ni story za vijiweni tu na hazina uthibitisho unao ridhisha.
 
Nimemwona Jumanne Mjusi kibaka aliyeshindikana hapa mjini maeneo ya kilombero kwa kazi hiyo pamoja na polisi waaminifu kwa ccm wakifanya uhalifu wa kuwakamata vijana wanaofanya biashara yao.

Hatuandamani ng'o kama mipango yao ndiyo hiyo.

Tutadai haki yetu na kuwatetea wote wanaoonewa kwa njia inayofaa.

Baada ya uchaguzi tutawapekelekea watawala ujumbe muhimu wa haki na utu wa mtanzania
 
CHADEMA wamesomea wapi na kufanyia wapi mafunzo ya upelelezi mpaka wewe uwe na imani nao?

Hizo ni story za vijiweni tu na hazina uthibitisho unao ridhisha.

Vibaka na majambazi, magaidi na majangili ni lulu kwa ccm ya sasa
 
Nimemwona Jumanne Mjusi kibaka aliyeshindikana hapa mjini maeneo ya kilombero kwa kazi hiyo pamoja na polisi waaminifu kwa ccm wakifanya uhalifu wa kuwakamata vijana wanaofanya biashara yao.

Hatuandamani ng'o kama mipango yao ndiyo hiyo.

Tutadai haki yetu na kuwatetea wote wanaoonewa kwa njia inayofaa.

Baada ya uchaguzi tutawapekelekea watawala ujumbe muhimu wa haki na utu wa mtanzania

Kaka, kuandamana ni haki ya kikatiba ya kudai haki. Na mara zote ni njia inayofaa. Ila kwa leo msiitumie... Maana wamejipanga kuandaa mazingira
 
Kaka, kuandamana ni haki ya kikatiba ya kudai haki. Na mara zote ni njia inayofaa. Ila kwa leo msiitumie... Maana wamejipanga kuandaa mazingira

Tatizo lao wanataka tuandamane ili wapate kigezo cha kuahirisha uchaguzi, wasema Arusha siyo salama. wanatumia intelijensia iliyochoka inayo sense chadema tu.
Wapumbavu kweli hawa jamaa
 
kawadanganye wajinga wenzako, huu uzushi.

1.green guard sio kazi yao kukamata watu wala kukusanya ushuru
2. green guard hawana ushirikiano wwte na polisi
3. udaku udaku udaku ndio mana uchaguzi ukija mnaangukia pua
 
CHADEMA wamesomea wapi na kufanyia wapi mafunzo ya upelelezi mpaka wewe uwe na imani nao?

Hizo ni story za vijiweni tu na hazina uthibitisho unao ridhisha.

ukitaka kujua jibu sahihi ya namna chadema inavyopeleleza ni vigumu sana ila mifano hii ipitie harafu kama una akili angalau za kupenfea kamasi utapata jibu..namna mwigulu na usalama wa kikwete walivyo shiriki utengenezaji wa movi ya lwaks na baadae kumg'oa meno kibanda...
 
kiwewe cha kushindwa uchaguzi na mwendelezo wa ugaidi wa CCM na mbinu za kuhairisha uchaguzi jijini Arusha leo zimeendelea baada ya wafanyabiasha wa malori ya mizigo na baadhi ya wafanyabiashara wa soko la Kilombero leo wamekamatwa na green guard wakishirikiana na jeshi la polisi baada ya kukataa kutozwa ushuru na vijana wa CCM wakitaka waje kampuni iliyopitishwa na halmashauri ya jiji la Arusha kama sheria na kanunu zinavyotaka.2??.ndipo jeshi na vijana wa CCM ambao wengi wao ni majambazi walio samehewa kwenye mazingira ya kutatanisha wakaanza kuwakamata lakini baada ya uchunguzi wa CHADEMA kufanyika inaonekana wamefanya hivyo wakijua kuwa kilombero ni ngome ya CHADEMA na unapowakamata ni ili waandamane fujo zitokee uchaguzi uhahirishwe tena...na sababu nyingine ni kuendelea kuwazoofisha CHADEMA kuelekea uchaguzi mhimu sana kwa jiji la Arusha...

machadema mmeshaona dalili za kukataliwa arusha mnaanza kuzusha, na bado
 
ukitaka kujua jibu sahihi ya namna chadema inavyopeleleza ni vigumu sana ila mifano hii ipitie harafu kama una akili angalau za kupenfea kamasi utapata jibu..namna mwigulu na usalama wa kikwete walivyo shiriki utengenezaji wa movi ya lwaks na baadae kumg'oa meno kibanda...
mbona unaongea kama umebanwa na mlango??? lwakatare alikuwa anapanga mipango ya kulisha waandishi sumu, video ipo..lakini pia tume ya wahariri imethibitisha pasipo shaka uhusika wa chadema katika utesaji wa kibanda..acha kuweweseka.
 
Nimemwona Jumanne Mjusi kibaka aliyeshindikana hapa mjini maeneo ya kilombero kwa kazi hiyo pamoja na polisi waaminifu kwa ccm wakifanya uhalifu wa kuwakamata vijana wanaofanya biashara yao.

Hatuandamani ng'o kama mipango yao ndiyo hiyo.

Tutadai haki yetu na kuwatetea wote wanaoonewa kwa njia inayofaa.

Baada ya uchaguzi tutawapekelekea watawala ujumbe muhimu wa haki na utu wa mtanzania

Ndani ya wiki hii tutaona vituko vingi vikifanywa na magamba na polisi wao. Tuwe makini maana kuna kila dalili kuwa watafanya kila aina ya uchokozi ili watu wareact afu waseme Arusha hakuna amani hivyo hakuna uchaguzi.
 
kawadanganye wajinga wenzako, huu uzushi.

1.green guard sio kazi yao kukamata watu wala kukusanya ushuru
2. green guard hawana ushirikiano wwte na polisi
3. udaku udaku udaku ndio mana uchaguzi ukija mnaangukia pua

kama habari zangu ni za uongo basi nipewe haki yangu maana najua ukileta habari ya uongo jf ni ban..labda nikupe ushirikiano wa green guard na polisi ni kifo cha Mbwana huko igunga na kifo na baadar kesi ya mwenyekiti chadema kata ya usa river amboa wauwaji alitoroka mikononi ea polisi saba na wakiwa smg 4...
 
mbona unaongea kama umebanwa na mlango??? lwakatare alikuwa anapanga mipango ya kulisha waandishi sumu, video ipo..lakini pia tume ya wahariri imethibitisha pasipo shaka uhusika wa chadema katika utesaji wa kibanda..acha kuweweseka.

kubishana na tahira huo muda sina.. endelea kutunza hiyo video utakuja kuwaonyesha wajukuu zako hata kama watakuwa machizi watakwambia babu hii ilikuwa changa la macho...
 
machadema mmeshaona dalili za kukataliwa arusha mnaanza kuzusha, na bado

nimeshasema kama ni uzushi mods watende haki, na kwataarifa yako sina chembe ya sifa ya kuleta uzushi JF na sina sababu..
 
Dawa yake tulieni, msifanye fujo wala maandamano kuelekea vituo vya polisi.Utaratibu wa kisheria wa kupata dhamana uchukue nafasi yake vinginevyo mbinu yao itafanikiwa!

kamanda Wiki hii chadema tutakuwa wapole kama ..... lakini wajanja kama nyoka..
 
kawadanganye wajinga wenzako, huu uzushi.

1.green guard sio kazi yao kukamata watu wala kukusanya ushuru
2. green guard hawana ushirikiano wwte na polisi
3. udaku udaku udaku ndio mana uchaguzi ukija mnaangukia pua

Polisi na Green Guard ni sawa na a na b.
Wewe huijui Arusha ndiyo maana unaropoka. Huku mpaka RPC anaingilia ukusanyaji wa soko la kilombero
 
Something is very wrong in Arusha politics.

Don't you feel pooped with samey politics.
 
Back
Top Bottom