Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera anadaiwa kuvamiwa na 'watu wasiojulikana' nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam baada ya watu kadhaa wakiwa na magari kuvamia na kuzingira nyumba na kuzuia watu kuingia.
Namba ya gari lililomchukua imetajwa ni T746DFS.
Erick Kabendera, a Tanzanian journalist, has been abducted from his home in Mbweni, Dar es Salaam. He told one of his colleagues of a high presence of security vehicle and unknown people around his house shortly before he disappeared to never be reached by phone this evening.
UPDATES:
Baada ya watu hao kuzingira nyumba huku wakionekana kuwa na nia ovu, yeye na familia walifunga milango. Wananchi akiwemo M/kiti wa mtaa walipofika na kuhoji wao ni nani walisema wao ni Polisi (hawakuwa na sare wala gari la polisi). Sasa inadaiwa wamekwenda naye kituo cha Polisi Oysterbay.
UPDATES: 2100HRS
Jeshi la Polisi inadaiwa linaendelea kumhoji Kabendera kuhusu mambo ambayo hayajawekwa wazi na wala hawajasema anahojiwa kituo gani. Taarifa hii ni kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kinondoni.
Kabendera alichukuliwa na watu 6 waliokuwa na silaha na inadaiwa simu yake ilikuwa blocked tangu Jumamosi huku Mtandao wa Vodacom wakimwambia wamefanya hivyo kwa maagizo ya TCRA. Wakimtaka ajisalimishe Voda Shop
Wananchi waliokusanyika nyumbani kwa Erick walijitahidi kuwazuia watu hao na kuwataka wajitambulishe. Pamoja na jitihada za wananchi kutaka kupiga picha, simu zao zimechukuliwa kwa kudaiwa kuwa hawaruhusiwi kupiga picha.
05:20am - July 30, 2019
Chanzo kinabainisha Erick alikamatwa na Maafisa wa Polisi waliotokea Kituo cha Polisi Mbweni lakini njiani inadaiwa magari yalibadilishwa na bado hakuna taarifa rasmi za kituo gani anahojiwa.
10:20am - July 30, 2019
IGP Simon Sirro amethibitisha Kabendera anashikiliwa na Jeshi la Polisi na kuwa Polisi kupitia Kamanda Mambosasa wataongea na Vyombo vya Habari ifikapo saa 7 mchana
10:25am - July 30, 2019
TCRA wamekanusha kuhusika kwa namna yoyote na uzimwaji/ukatwaji wa mawasiliano ya simu ya Kabendera na kusisitiza kuwa wao wanahusika na kudhibiti simu zisizotakiwa (fake)
10:28am - July 30, 2019
Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amesema suala la Erick Kabendera kuhojiwa ni la Polisi na si la Serikali
UPDATES1400HRS
Erick Kabendera anashikiliwa na Polisi, anahojiwa kuhusu Uraia wake.
Zaidi soma:
Namba ya gari lililomchukua imetajwa ni T746DFS.
Erick Kabendera, a Tanzanian journalist, has been abducted from his home in Mbweni, Dar es Salaam. He told one of his colleagues of a high presence of security vehicle and unknown people around his house shortly before he disappeared to never be reached by phone this evening.
UPDATES:
Baada ya watu hao kuzingira nyumba huku wakionekana kuwa na nia ovu, yeye na familia walifunga milango. Wananchi akiwemo M/kiti wa mtaa walipofika na kuhoji wao ni nani walisema wao ni Polisi (hawakuwa na sare wala gari la polisi). Sasa inadaiwa wamekwenda naye kituo cha Polisi Oysterbay.
UPDATES: 2100HRS
Jeshi la Polisi inadaiwa linaendelea kumhoji Kabendera kuhusu mambo ambayo hayajawekwa wazi na wala hawajasema anahojiwa kituo gani. Taarifa hii ni kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Kinondoni.
Kabendera alichukuliwa na watu 6 waliokuwa na silaha na inadaiwa simu yake ilikuwa blocked tangu Jumamosi huku Mtandao wa Vodacom wakimwambia wamefanya hivyo kwa maagizo ya TCRA. Wakimtaka ajisalimishe Voda Shop
Wananchi waliokusanyika nyumbani kwa Erick walijitahidi kuwazuia watu hao na kuwataka wajitambulishe. Pamoja na jitihada za wananchi kutaka kupiga picha, simu zao zimechukuliwa kwa kudaiwa kuwa hawaruhusiwi kupiga picha.
05:20am - July 30, 2019
Chanzo kinabainisha Erick alikamatwa na Maafisa wa Polisi waliotokea Kituo cha Polisi Mbweni lakini njiani inadaiwa magari yalibadilishwa na bado hakuna taarifa rasmi za kituo gani anahojiwa.
10:20am - July 30, 2019
IGP Simon Sirro amethibitisha Kabendera anashikiliwa na Jeshi la Polisi na kuwa Polisi kupitia Kamanda Mambosasa wataongea na Vyombo vya Habari ifikapo saa 7 mchana
10:25am - July 30, 2019
TCRA wamekanusha kuhusika kwa namna yoyote na uzimwaji/ukatwaji wa mawasiliano ya simu ya Kabendera na kusisitiza kuwa wao wanahusika na kudhibiti simu zisizotakiwa (fake)
10:28am - July 30, 2019
Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amesema suala la Erick Kabendera kuhojiwa ni la Polisi na si la Serikali
UPDATES1400HRS
Erick Kabendera anashikiliwa na Polisi, anahojiwa kuhusu Uraia wake.
Zaidi soma:
Kamanda Mambosasa: Mwandishi Erick Kabendera anahojiwa uraia wake
Kamanda Mambosasa anasema: Erick Kabandera alikamatwa nyumbani kwake baada ya kukataa wito halali wa Jeshi la Polisi Awali aliandikiwa barua ya wito ajili ya mahojiano lakini alikaidi kutii wito halali wa Polisi Jeshi la Polisi likimwita mtu kwa hiari akikaidi, sisi tunamwezesha atii Baada...
www.jamiiforums.com