Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naomba kujua kampeni meneja wa Mama ni nani?
1 Reactions
4 Replies
574 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema kila anayeusoma Mkataba wa TPA na DP World anatuona Watanzania milioni 61 hatuna akili Tundu Lisu amesema ubaguzi ni Ule wa kutoiweka...
28 Reactions
109 Replies
9K Views
Japo wengi hawaoni lolote jipya kwenya madai ya Humphrey Polepole, mie naona yapo mengi. Give the dirty his due. Polepole, ajue asijue, akusudie asikusudie, akiri asikiri, ana mapya mengi anayo...
4 Reactions
4 Replies
693 Views
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) na Katibu Mkuu wa chama hicho, Salum Mwalimu, amesema hatashiriki katika malumbano na watu wanaomkosoa au kumbeza kuhusu uamuzi wake...
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Serikali imeanzisha utaratibu wa kodi ili kugharamia maswala ya bima ya afya kwa wote. Kwanini mgombea urais wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi ameahidi kuruhusu wanaofariki na kushindwa...
1 Reactions
4 Replies
490 Views
My Take Mambo ya kusema eti VP hawagi Rais yatakomeshwa 2030 anapotoka SSH. Pia soma Tetesi: - Ni vita ya kumzuia Nchimbi kuwa rais 2030, Samia sio tatizo | JamiiForums Tetesi: - Ni vita ya...
1 Reactions
66 Replies
2K Views
TANZANIA kuna rasilimali kubwa ya makaa ya mawe ambayo mpaka sasa inafikia tani trilioni 1.5. Makaa hayo yapo ukanda wa Kusini mwa Tanzania ambayo ni Mbeya-Kiwira na Ruvuma katika ukanda wa Mto...
3 Reactions
36 Replies
9K Views
Ni jambo la kushangaza hawa FFF kila siku wanadeal na wanachadema wakati wenzao wanapiga madeal ya vifaa na tender za angel kizigha. Ni aibuu see sisi wananchi kujua eti walinzi wa raia na mali...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Ama kweli hamkani si shwari kwa Chama Cha Majizi.Wenye kujitambua hawana muda wa kusogea kwenye 'maonyesho' yao. Zoa zoa na kusanya kusanya kwengineko kujaza mikutano sasa inakwenda mbali...
1 Reactions
2 Replies
428 Views
Vijana Kama Mdude , ni vijana waliopotezwa bila huruma Hao Chadema ambao unawapambania , ukifa wanakuwa hawana habari na wewe wala familia yako. MTU kama Mdude , Soka n.k wametumika kwenye chama...
5 Reactions
30 Replies
1K Views
Wakuu nimekaa kimya ila naona too much, muacheni huyo kijana aishi maisha yake, kama wazazi wetu hawakujipanga kuandaa maisha Bora bahati ya mwenzio msiilalie mlango wazi. Juzi kati akiwa...
32 Reactions
342 Replies
16K Views
Yani kujimwambafai kote kule. Hawa ndio watu wanaohudhuria uzinduzi wa mikutano yenu kweli?
1 Reactions
3 Replies
618 Views
Nimekuwa na wakati mzuri pamoja na wakazi wa Dodoma tukielezana yale ambayo serikali yao imefanya kwa manufaa yao katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, na mipango yetu kwao kwa miaka mitano...
0 Reactions
2 Replies
250 Views
Mimi ni muunini wa kinachoitwa SYSTEM AU STATE AU KITENGO. Ninaamini nchi hii kama zilivyo nyingine nyingi zina MFUMO AU SYSTEM na kazi yake ni moja tu kulinda maslahi ya nchi dhidi ya majaribio...
41 Reactions
437 Replies
77K Views
Polepole: Tunaweza kuwa na mitungi kwa bei ya 2000 kama Cuba, lakini tuna viongozi wabaya awaelewi maslai mapana ya nchi yetu.
2 Reactions
11 Replies
589 Views
Siku chache baada ya Rais Samia kufanya ziara mkoani Ruvuma ikiwemo kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo na kutembelea migodi ya makaa ya mawe ambayo kwa sasa inasemekana na yeye ni mmbia ,Mkuu...
6 Reactions
29 Replies
3K Views
Wanabiharamulo na wananchi wote wa Mkoa wa Kagera mnaalikwa kushiriki kwa wingi katika mkutano mkubwa wa hadhara tarehe 6/9/2025 katika Uwanja wa Mpira wa CCM Biharamulo Mjini. Mgombea Mwenza wa...
0 Reactions
3 Replies
390 Views
Watoto wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Benjamini William Mkapa na John Pombe Magufuli hawana kabisa ushawishi kwenye siasa za Tanzania. Tofauti na wenzao watoto wa Ali Hassan Mwinyi, Jakaya...
1 Reactions
35 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu, hivi huu ndiyo uchaguzi wa haki na tunategemea Kuna siku upinzani utakuja kushika nchi? Yaani rais anatoka Ikulu anaenda Kwenye kampeni Kisha anarudi tena Ikulu kupumzika...
4 Reactions
53 Replies
2K Views
Back
Top Bottom