johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema kila anayeusoma Mkataba wa TPA na DP World anatuona Watanzania milioni 61 hatuna akili
Tundu Lisu amesema ubaguzi ni Ule wa kutoiweka Zanzibar Kwenye Mkataba na si Vinginevyo
Nawatakia Sabato Njema!
Tundu Lisu amesema ubaguzi ni Ule wa kutoiweka Zanzibar Kwenye Mkataba na si Vinginevyo
Nawatakia Sabato Njema!