Hakuna hata kwa nchi za Kiafrica Serikali inayo promote Uchuuzi, ni Tanzania pekee ndio kuna hii Sera ya kupromote kwa nguvu sana uchuuzi/umachinga
Serikali zote Duniani zinatamani Raia wao...
Naendelea kushanga sana jinsi nchi ile ilivyoharibika na kuharibiwa Kwa maslahi ya kulinda mtu mmoja tu
Muhimili wa bunge wenyewe ulishakatiwa tamaa muda mrefu maana muda mwingi wenyewe ni...
Wakuu,
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti kasema kuwa amekamata watu 50 ambao wanaenda kununua viwanja Kisarawe kwa sababu hao watu wanafanya hayo kinyume cha sheria
Msikilizeni hapo
Nakumbuka Nipo na waandamanaji wenzangu pale ubungo tunaelekea ikulu jeshi likaja kutupiga block eti subirini mambo haya yanaenda taratibu mda huo wenzetu zaidi ya 15 wameuwawa na Kila...
Wafu wamefikia hatua wanasema hawataki kuona picha yake.
Ila yeye kakamoaa kuwa karibu na vijana. Mara tutawapa hiki, mara tutawapa kile. Tutawajengea studio na bado ahadi kibao.
Lakini ukija...
Takwimu hizi hapa, ukibisha lete takwimu. Hii mbaya sana. Ndiyomaana kuna mtu ana maneno ya kunya.
By. Ponjoro wa Kinondoni kwasaza Safarini toka Kizimkazi.
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara, John Heche, ametoa wito wa kumuachia huru bila masharti Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Tundu Lissu, ambaye yupo...
Nilitegemea leo Lisu angeliachiwa kwa Nolle Prosequi, kumbe ndiyo mwanzo anakaza nut!katiri kuliko Hitler!
Kitu ambacho hutegemei kutoka mwanamke , tena wa kiislamu na ushungi 24/7/360 days kichwani!
Hii ni historia na kumbumbu muhimu kwa Rais Samia kwa kujali afya ya watanzania hususani wa hali ya nchini.
Nimeshuhudia zoezi la kuwapatia wananchi bima ya afya likiendelea nchi nzima ikiashiria...
Habarini wakuu,
Kwanza nipongeze juhudi mbalimbali za taifa letu katika kujikomboa kiuchumi. Niwapongeze pia vijana wenzangu tuliomua kujiajiri kwa njia mbalimbali Machinga mama lishe boda boda...
Wito wangu ni huo. Ya 29/10 yanaweza kujirudia.
Siwatii woga hapana. HAKUNA WOGA, Chukua tahadhali!
Nendeni kwa wingi kwa tahadhali. Kila mtu awe na simu ya kuchukua matukio. Ikitokea wakaua...
Tupo salama!
1. Leo katika mishe mishe zangu nilibahatika kufika Kariakoo.
2. Mara nyingi Siku ya jumapili kwangu ndio Siku ambayo napendaga Kwenda kariakoo kutokana na Jam kuwa ndogo tofauti...
Laiti kama Magufuli angekuwa hai leo SGR ingekuwa ishafika Isaka, au Mwanza, au Ujiji.
Magufuli hayupo (Kila nafsi itaonja mauti 🤣 nacheka kwa sababu hata wale waliotenda uhalifu tarehe 29 na...
Ndugu Wajumbe, kuna maswali mengi huku mtaani kuhusu ukimya uliotanda juu ya wapi alipo Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi?
Hivi majuzi kulikuwa na Kikao kikubwa cha Kamati Kuu kilichoketi...
Dar es Salaam – Serikali imeiomba China kuunga mkono maendeleo ya miundombinu ya kisasa ili kuhakikisha Tanzania iko tayari kuwa mwenyeji mwenza wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 pamoja...
VIDEO.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, akizindua mpango wa ushirikiano kati ya Taasisi za Elimu na Waajiri, katika hafla iliyofanyika Kituo cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.