Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hakuna hata kwa nchi za Kiafrica Serikali inayo promote Uchuuzi, ni Tanzania pekee ndio kuna hii Sera ya kupromote kwa nguvu sana uchuuzi/umachinga Serikali zote Duniani zinatamani Raia wao...
8 Reactions
6 Replies
171 Views
Naendelea kushanga sana jinsi nchi ile ilivyoharibika na kuharibiwa Kwa maslahi ya kulinda mtu mmoja tu Muhimili wa bunge wenyewe ulishakatiwa tamaa muda mrefu maana muda mwingi wenyewe ni...
7 Reactions
16 Replies
302 Views
Wakuu, Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti kasema kuwa amekamata watu 50 ambao wanaenda kununua viwanja Kisarawe kwa sababu hao watu wanafanya hayo kinyume cha sheria Msikilizeni hapo
9 Reactions
86 Replies
2K Views
Nakumbuka Nipo na waandamanaji wenzangu pale ubungo tunaelekea ikulu jeshi likaja kutupiga block eti subirini mambo haya yanaenda taratibu mda huo wenzetu zaidi ya 15 wameuwawa na Kila...
14 Reactions
53 Replies
1K Views
Ile Oktoba 29 ilikuwa ni ukatiri dhidi ya binadamu. Ndio maana anajivuna hadharani kuwa watu wa Dar hawataandamana tena.
0 Reactions
13 Replies
225 Views
Tutashinda, atashinda, tutashinda.
2 Reactions
0 Replies
121 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Wafu wamefikia hatua wanasema hawataki kuona picha yake. Ila yeye kakamoaa kuwa karibu na vijana. Mara tutawapa hiki, mara tutawapa kile. Tutawajengea studio na bado ahadi kibao. Lakini ukija...
3 Reactions
2 Replies
268 Views
Takwimu hizi hapa, ukibisha lete takwimu. Hii mbaya sana. Ndiyomaana kuna mtu ana maneno ya kunya. By. Ponjoro wa Kinondoni kwasaza Safarini toka Kizimkazi.
3 Reactions
9 Replies
165 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tanzania Bara, John Heche, ametoa wito wa kumuachia huru bila masharti Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Tundu Lissu, ambaye yupo...
1 Reactions
2 Replies
173 Views
Samia twaambie aliyeua watanzania ni nani? Amechukuliwa hatua Gani ? Maiti za watanzania wenzetu ziko wapi ?? Aliyeruhusu mitandao kufugwa ni nani ?? Samia S. H tunaomba majibu
5 Reactions
8 Replies
237 Views
Nilitegemea leo Lisu angeliachiwa kwa Nolle Prosequi, kumbe ndiyo mwanzo anakaza nut!katiri kuliko Hitler! Kitu ambacho hutegemei kutoka mwanamke , tena wa kiislamu na ushungi 24/7/360 days kichwani!
3 Reactions
10 Replies
356 Views
Hii ni historia na kumbumbu muhimu kwa Rais Samia kwa kujali afya ya watanzania hususani wa hali ya nchini. Nimeshuhudia zoezi la kuwapatia wananchi bima ya afya likiendelea nchi nzima ikiashiria...
2 Reactions
69 Replies
675 Views
Habarini wakuu, Kwanza nipongeze juhudi mbalimbali za taifa letu katika kujikomboa kiuchumi. Niwapongeze pia vijana wenzangu tuliomua kujiajiri kwa njia mbalimbali Machinga mama lishe boda boda...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Wito wangu ni huo. Ya 29/10 yanaweza kujirudia. Siwatii woga hapana. HAKUNA WOGA, Chukua tahadhali! Nendeni kwa wingi kwa tahadhali. Kila mtu awe na simu ya kuchukua matukio. Ikitokea wakaua...
4 Reactions
20 Replies
330 Views
Tupo salama! 1. Leo katika mishe mishe zangu nilibahatika kufika Kariakoo. 2. Mara nyingi Siku ya jumapili kwangu ndio Siku ambayo napendaga Kwenda kariakoo kutokana na Jam kuwa ndogo tofauti...
6 Reactions
41 Replies
785 Views
Laiti kama Magufuli angekuwa hai leo SGR ingekuwa ishafika Isaka, au Mwanza, au Ujiji. Magufuli hayupo (Kila nafsi itaonja mauti 🤣 nacheka kwa sababu hata wale waliotenda uhalifu tarehe 29 na...
5 Reactions
23 Replies
423 Views
Ndugu Wajumbe, kuna maswali mengi huku mtaani kuhusu ukimya uliotanda juu ya wapi alipo Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi? Hivi majuzi kulikuwa na Kikao kikubwa cha Kamati Kuu kilichoketi...
4 Reactions
14 Replies
493 Views
  • Redirect
Dar es Salaam – Serikali imeiomba China kuunga mkono maendeleo ya miundombinu ya kisasa ili kuhakikisha Tanzania iko tayari kuwa mwenyeji mwenza wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027 pamoja...
0 Reactions
Replies
Views
VIDEO. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, akizindua mpango wa ushirikiano kati ya Taasisi za Elimu na Waajiri, katika hafla iliyofanyika Kituo cha...
1 Reactions
0 Replies
100 Views
Back
Top Bottom