Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

TULIWAONYA sana na kuwasihi sana wazazi kuwa watoto wenu hawa kaeni nao chini na muwaonye na kuwafunza kuwa waache kuichezea serikali na dola lakini mliona tunawapigia kelele TULIWASIHI sana...
-2 Reactions
48 Replies
817 Views
Salaam Wakuu, Kundi linalomuunga mkono Polepole sasa limeshika hatamu. Limeshika usukani na lina nguvu. Kwa ufupi ni kwamba Polepole katangulizwa tu na nyuma yake wapo watu kutoka vyombo...
51 Reactions
189 Replies
12K Views
Ushauri: Rasimu ya katiba iandikwe na wataalamu ambao hawana chama. Hata kama wanatoka nje. Maoni yakisha kusanywa wataalamu pekee ndiyo waandike sio makada wala Bunge fake la katiba. Bunge la...
1 Reactions
8 Replies
98 Views
Mungu mkubwa,mvua imenyesha moshi Manispaa, dunia imejionea panakovuja! Huyu Mkurugenzi, anakingiwa kifua na RC,ikikupendeza, peleka taarifa muhimu panakohusika,ili RC na DED waondolewe,ni tatizo...
0 Reactions
0 Replies
107 Views
Unajua saying,Did he jump or was he pushed? Nataka kutoka familia ya Nyerere. How do I do it legally?
16 Reactions
169 Replies
3K Views
Msemaji wa Jeshi la Polisi amesema jeshi hilo limekamata magaidi 130 na tayari 36 wameshafikishwa mahakamani. Msiishie kusema tu walipanga kuchoma transformer nchi iwe gizani, tuambieni nchi...
18 Reactions
29 Replies
586 Views
Wako pamoja wameapisha wateule. Kwa hotuba ya Nchimbi inavyotafsiliwa na wengi kuwa hawaivi, si kweli. Hapa kuna mchezo mchafu wanacheza Samia na Nchimbi na CCM in general. Hii ni jana tarehe 27...
6 Reactions
16 Replies
413 Views
Maoni ya Dkt. Dennis Muchunguzi, Mkurugenzi Mkuu Taasisi za AFREDA na Rais wa Taasisi ya ACERICAANDO na Mtaalam wa maendeleo ya Kijamii na kiuchumi, mtaalam wa Lugha, maridhiano, upatanishi na...
0 Reactions
4 Replies
240 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche, ameihoji Serikali ya Tanzania akitaka itaje wazi ni nani anayekwamisha mchakato wa Katiba Mpya, kutokana na kauli...
0 Reactions
0 Replies
90 Views
Mwalimu Julius Nyerere alikaa miaka 23 Ikulu lakini hatukuwahi kusikia "Nyerere marathon" "Nyerere doctors" "ngumi za Nyerere" au makorokoro mengine. Zama hizi imekuwaje kwani?
11 Reactions
36 Replies
503 Views
Wanabodi, Makala yangu gazeti la Mwananchi la leo, hapa ninazungumzia uhitaji wa kuendelea adhabu ya kifo cha kikatili kwa kunyonga mpaka kufa?. Hoja hii ni kufuatia kitendo cha marais wa 4 wa...
3 Reactions
24 Replies
240 Views
Wanabodi, Kama kawa, Ukiangalia nguvu iliyotumika jana kuzuia maandamano ya Chadema, nguvu hiyo ingetumika kuyalinda maandamano hayo badala ya kuyazuia! Mada ya leo ni kuhusu haki, hakuna haki...
9 Reactions
27 Replies
2K Views
Walipigwa wakateswa wakaandika uongo kujinusuru. Angali kesi hii ilivyoamuliwa . Ni kesi ya kutupa Bomu kule Arusha kwenye uzinduzi wa parokia ya katoliki mwaka 2013
0 Reactions
0 Replies
72 Views
Siasa ni michezo ila kwa science yake binafsi, ukikaa ukiwa unasubiria kuelewa siasa basi utasubiria sana,, Hivo basi ebu anza kujadili namna ya kujisogeza kimaisha ata watoto wako wakiwa wakubwa...
17 Reactions
169 Replies
2K Views
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Dkt. Ayub Rioba Chacha, amepinga mtazamo wa kwamba kupatikana kwa Katiba Mpya ndiyo suluhu pekee ya changamoto zote...
1 Reactions
10 Replies
275 Views
Mnaweza kusema nimenunuliwa lakini hapana ukiangalia clips za Polepole kwa umakani sana unakuja kungundua Samia sio mbaya kiivyo sema walioko nyuma yake ndo tatizo. Yeye mwenyewe aliwahi kukili...
0 Reactions
3 Replies
64 Views
Huu ndo ubunifu wa DC WA kisalawe kwa kuondoa umasikini na ukosefu WA ajira kwa vijana wetu WA chuo nchini Tanzania. Yaani Magoti akili zake zimeishia Kumwombea mchango WA boda boda mhitimu wa...
3 Reactions
8 Replies
190 Views
Nimeona tone tone Mwanza imeingia mtaani, Mnyika na Heche njoooni mtaani mbebe Hela tunazo sisi hatuwezi tumakwa simu au benk HAYA majamaaa yatatunyaka sisi ni nyoka jeusi tupo nao ndani njoooni...
2 Reactions
2 Replies
76 Views
Nani alikuzuia wewe usinywe pombe? Unafiki na uzandiki wa kufuatilia masuala ya watu. Upuuzi mkubwa.
4 Reactions
7 Replies
132 Views
Back
Top Bottom