Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tanzania kwa sasa inaviashiria vyote vya kuelekea kwenye failed state na vita ya wenyewe kwa wenyewe, anayezuia nchi hii isiingie kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe ni Tundu Lissu kwa sababu...
7 Reactions
19 Replies
323 Views
Askofu wa KKKT Dayosisi ya Karagwe, Dkt. Benson Bagonza, amesema kauli ya Makamu wa Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi ya kuwataka Watanzania wapambane kupata Katiba Mpya imeibua tafsiri mbili...
0 Reactions
0 Replies
167 Views
Rais samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili na nina uhakika bila yeye hii nchi ingejifia kitambo sana Rais samia kipenzi cha wanyonge na kiboko ya wapizani na nina uhakika...
1 Reactions
26 Replies
300 Views
Jiwe gizani wenye akili wameelewa. CCM inaenda kupata ajali?
13 Reactions
43 Replies
996 Views
Kiongozi wetu na Mwenyekiti wetu alikamatwa akiwa mzima, Taarifa Kama hizi za kuhusu kujaribu kucheza na maisha yake hazitakubalika. Serikali hii dhalimu inapaswa kumuachia Lissu haraka. Sisi...
4 Reactions
8 Replies
319 Views
Michango ya tonetone ambayo kwa sasa inakaribia kufika mil 350 ni ushahidi kuwa Watanzania hawaitaki tena CCM. Watanzania tupambane kupata katiba mpya kama alivyotushauri Judas of CCM Hapo ndipo...
7 Reactions
27 Replies
474 Views
Hamjambo wote! Hili jambo limekuwa likija na kuondoka katika meza yetu hapa nyumbani. Mwanzoni nilifikiri anazungumza kama sehemu ya utani. Hiyo ni miaka saba iliyopita tena ilikuwa kipindi kile...
12 Reactions
209 Replies
2K Views
Kama kosa lake kubwa ni kufanya uchochezi kupitia hiyo module aliyokuwa anafundisha nadhani tutumie busara kuifutilia mbali ili kuepusha wahadhiri wengine kuingia mtegoni na kujikuta wanafanya...
2 Reactions
7 Replies
186 Views
https://youtu.be/tN1-smB7nOo?si=j1dEU9tUQi1fNu2N Anasema: 1. Ameamua kutoka huko ili kuungana na wapigania haki wengine kuipigania haki, demokrasia na utawala bora Tanzania 2. Haoni chama...
7 Reactions
17 Replies
331 Views
Leo ndio nimesikiliza vizuri Namba 2 alipoongelea katiba mpya huku akisisitiza watu wapambane. Kama aliyoyaongea yana ukweli, basi kuna watu wamemdhibiti Namba 1 ingawa nae anaonyesha udhaifu...
11 Reactions
22 Replies
542 Views
Siku ile aliyotoa hotuba Dr. Nchimbi kwamba Watanzania wapiganie Katiba mpya, sikumwelewa vizuri, lakini kwa sasa nadhani nimemwelewa kwa kwa asilimia kubwa. Mambo makuu matatu aliyoyasema ambayo...
3 Reactions
6 Replies
256 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo, ikiwa ni mada mwendelezo wa Kufuatia Kuteuliwa kwa Hisani, Baadhi Wanashindwa Kutenda Haki Kuepuka Utovu wa Fadhila...
12 Reactions
46 Replies
810 Views
Hivi maana ya Jela nini? Klni kutunza Wahalifu tu?. Nategemea Gereza iwe sehem ya kurekebisha Watu . Umemkamata na Bangi Kilo Moja, Huyu labda ilikua kwa matumizi yake binafsi, na hata kama...
10 Reactions
23 Replies
539 Views
Haina Sapoti yoyote kwenye mitandao ya kijamii. Huku ndiko watu wanajadili maisha ya kila siku. Siasa ndio maisha ya watu. Inabeba kila jambo linalomhusu mwananchi. Ukiingia kwenye kila mtandao...
1 Reactions
13 Replies
196 Views
Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria kupitia ACT Wazalendo, Peter Madeleka, amesema kuwa serikali iliyoko madarakani sasa itafikia kikomo cha uhalali wake mwezi Oktoba mwaka huu, na hivyo Watanzania...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
"Stop, O People, that I may give you ten rules for your guidance, in the battlefield. Do not commit treachery or deviate from the right path. You must not mutilate dead bodies. Neither kill a...
19 Reactions
60 Replies
3K Views
-Hao wanaomiliki kadi za ccm huko vyombo vya usalama na ulinzi hao ndio wamejifanya kuwa chama cha mapinduzi -hao ndio wanapigana kufa na kupona ccm iendelee ku exist -wengi wao ni wanachama na...
1 Reactions
2 Replies
89 Views
  • Featured
Serikali ya Tanzania imethibitisha kupokea tamko kutoka kwa Jumuiya ya Madola linaloitaka kumwachia huru Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ndani ya siku 30...
13 Reactions
48 Replies
2K Views
Taifa limekuwa kama taifa la Afrika kusini wakati wa utawala wa makaburu. Yaani mtu hana haki ya kufanya critical analysis hata kama ni msomi. Haki ya maandamano ipo kikatiba. Mwalimu akiwa...
9 Reactions
27 Replies
384 Views
Back
Top Bottom