Hivi Luhaga Mpina yuko wapi na anajishughulisha na nini kwa sasa?

Hivi Luhaga Mpina yuko wapi na anajishughulisha na nini kwa sasa?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
46,342
Reaction score
37,931
Ile jeuri na kiburi ya kisiasa alokua nayo akiwa CCM bado anayo tena huko ACT Wazalendo?
Ama kwa hakika samaki hawezi kuishi nchi kavu.

Ngebe zake zote hakuna tena na amekua funzo na darasa la anguko katika uongozi hasa kwa wanasiasa wanaopenda majivuno, ulevi wa sifa na kiburi nonsense.

Hata hivyo, IMEANDIKWA.....

Warumi 13:1-7

13 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu. 2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu. 3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu. 4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala. 7 Walipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mlipe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.

Mungu Ibariki Tanzania
 
Hajaamini mlichomfanyia
 
Acha ngonjera zako hapa wewe. Si mlijifanya kumjaza Upepo utafikiri puto. Halafu mwisho mmempa kisogo kama ilivyo kawaida yenu ma CHADEMA.
.
chadema walimuhadaa sana Mpina, na kumuita shujaa,
nae alivyokua lofa kisiasa, akalewa sifa akajiona mwamba kweli kumbe anapotzwa kisayansi, na sasa hajulikani alipo kisiasa,

maskini dah,
ama kwa hakika dunia hadaa, ulimwengu shujaa
 
kwani alifanywa nini na nani gentleman?
Nimekuwa nikisema humu mara nyingi, hakuna mwanaccm yoyote anaweza kufanya siasa nje ya siasa za mbeleko. Wote wameshalemaa na upendeleo usio rasmi, hivyo wakiwa nje ndio wanakutana na ambacho hawakutani nacho wakiwa ndani ya ccm. Hiyo Mpina ni mfano halisi wa ukweli huo.

Machafuko pekee ndio yataleta usawa wa kisiasa hapa nchini, na huo ndio utakuwa mwisho rasmi wa ccm, kwani haiwezi ushindani wa kweli.
 
Nimekuwa nikisema humu mara nyingi, hakuna mwanaccm yoyote anaweza kufanya siasa nje ya siasa za mbeleko. Wote wameshalemaa na upendeleo usio rasmi, hivyo wakiwa nje ndio wanakutana na ambacho hawakutani nacho wakiwa ndani ya ccm. Hiyo Mpina ni mfano halisi wa ukweli huo.

Machafuko pekee ndio yataleta usawa wa kisiasa hapa nchini, na huo ndio utakuwa mwisho rasmi wa ccm, kwani haiwezi ushindani wa kweli.
Gentleman,
kwani chadema bila kua vibaraka wanaweza kufanya nini nje ya ufadhili wa mabawenyenye ya magharibi?
Tuwe wakweli kidogo, zaidi ya uropokaji na kususa kuna wanachoweza kufanya kweli? :pedroP:

labada uchafue boxer yako gentleman ili iwe sawa na uchafu wako
 
Ndio sababu nchi imejaa machawa, bungeni tuna viongozi wajinga wajinga wengi, sababu watu wanaogopa kusema ukweli kisa kupoteza dira kwenye siasa.

Taifa limekuwa mi kusifu na kumuabudu raisi tu, tunazidi ingia kwenye giza totoro
 
Gentleman,
kwani chadema bila kua vibaraka wanaweza kufanya nini nje ya ufadhili wa mabawenyenye ya magharibi?
Tuwe wakweli kidogo, zaidi ya uropokaji na kususa kuna wanachoweza kufanya kweli? :pedroP:

labada uchafue boxer yako gentleman ili iwe sawa na uchafu wako
Nasisitiza bwana 🌈, hakuna mwanaccm anaweza kufanya siasa nje ya mbeleko ya vyombo vya dola, Mpina ni mfano halisi. Cdm wanaweza kufanya siasa za uhakika maana wananchi wamewaelewa.

Kuhusu mzungu, kwa taarifa yako mzungu hakwepeki, zunguka nchi nzima uone miradi ya misaada ya wazungu iko mingapi nchi hii. Na sasa fuatilia huyo waziri wa mchongo wa mambo ya nje anazunguka wapi kujiliza, na utaje kaenda nchi ngapi za waafrika kujieleza. Mzungu hakwepeki kwa propaganda mfu.

Machafuko rejea warmup ya mo 29, hadi sasa mtuhumiwa kajiundia tume kutaka kuficha ukweli.
 
Kwani Ummy Mwalimu yuko wapi na anajishughulisha na nini?

Huu ujinga wako unahitaji divine intervention, sio kwa hizi akili zetu!!
ni vizuri kandika uzi mahususi kuhusu jambo amabalo ungependa wadau wa JF kueleza na kuongeza uelewa na ufahamu wako na wadau wengine, kuliko kujaribu kuhamisha mjadala gentleman :HAhaa:
 
Back
Top Bottom