Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 14,615
- 32,110
Nipo huku SA. Hawa jamaa wamekuwa waduanzi sana. Wanatusimanga kwa maneno ya hovyo utadhani baba yao naye ana kitu cha maana.
Wanasema mama yenu ana IQ ya 40. Nawatizama nawatukana kimoyo moyo mbwa hawa. Jana tumekaa na boya moja tunajadiliana anasema nyie mliwahi kuwa na Baba mtandao mchafu ukamwondoa. Since then mmekuwa kama kuku aliyekatwa kichwa. Hamweleki.
Sasa likaja suala la kuzungumzia siasa. Maana huko juu tulikuwa tunazungumzia familia akisema mama yenu nami nikimjibu baba yenu.... Basi tukaachana na mambo ya family maana alinikwaza kusema mama yenu ana IQ ya 40. Just imagine? 40? Akutukanaye hakuchagulii tusi. Nlimwambia na yeye baba yao ana IQ ya 100. Kumrudishia matusi.
Kwenye siasa sasa. Nikamwona Mwigulu. Aiseee.... Hajui hata alifanyalo ni wa kumsamehe. Hana mvuto hajui kuongea ana bore hana nguvu ya kimatamko. Hovyo kabisa. Hata mwaka hajamaliza watu wamemweka kwenye ignored list. Hatari sana. Nimepambana na huyu Diplomats wa Kisouth Africa kwa nguvu na uchungu mwingi. Maana analeta dharau. Nikasema moyoni nita deal na dada zake haina shida
Wanasema mama yenu ana IQ ya 40. Nawatizama nawatukana kimoyo moyo mbwa hawa. Jana tumekaa na boya moja tunajadiliana anasema nyie mliwahi kuwa na Baba mtandao mchafu ukamwondoa. Since then mmekuwa kama kuku aliyekatwa kichwa. Hamweleki.
Sasa likaja suala la kuzungumzia siasa. Maana huko juu tulikuwa tunazungumzia familia akisema mama yenu nami nikimjibu baba yenu.... Basi tukaachana na mambo ya family maana alinikwaza kusema mama yenu ana IQ ya 40. Just imagine? 40? Akutukanaye hakuchagulii tusi. Nlimwambia na yeye baba yao ana IQ ya 100. Kumrudishia matusi.
Kwenye siasa sasa. Nikamwona Mwigulu. Aiseee.... Hajui hata alifanyalo ni wa kumsamehe. Hana mvuto hajui kuongea ana bore hana nguvu ya kimatamko. Hovyo kabisa. Hata mwaka hajamaliza watu wamemweka kwenye ignored list. Hatari sana. Nimepambana na huyu Diplomats wa Kisouth Africa kwa nguvu na uchungu mwingi. Maana analeta dharau. Nikasema moyoni nita deal na dada zake haina shida