Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,484
- 3,400
Ndugu,
Idara ya habari inaandaa mabadiriko ya sera ya utangazaji. Sera inapendekeza kikomo cha umiliki wa vyombo vya habbari. Ukimiliki kituo cha kurusha matangazo ya radio, basi ni radio tu, kama ni TV, basi ni TV tu, kama ni magazeti basi ni magazeti tu.
Sera hii ambayo itafuatiwa na sheria itamtaka mtu yeyote anayemiliki vyombo vyote vya habari, kuamua kuachia vyombo vingine ili abakie na kimoja tu! Atapewa muda usiozidi miaka mitano kuwa ametekeleza sera/sheria hiyo kikamilifu.
Pendekezo la Serikali limeambatishwa.
Idara ya habari inaandaa mabadiriko ya sera ya utangazaji. Sera inapendekeza kikomo cha umiliki wa vyombo vya habbari. Ukimiliki kituo cha kurusha matangazo ya radio, basi ni radio tu, kama ni TV, basi ni TV tu, kama ni magazeti basi ni magazeti tu.
Sera hii ambayo itafuatiwa na sheria itamtaka mtu yeyote anayemiliki vyombo vyote vya habari, kuamua kuachia vyombo vingine ili abakie na kimoja tu! Atapewa muda usiozidi miaka mitano kuwa ametekeleza sera/sheria hiyo kikamilifu.
Pendekezo la Serikali limeambatishwa.
Attachments
Last edited by a moderator: