Jukwaa la Sheria (The Legal Forum)

Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali

JF Prefixes:

  • Sticky
Raia ana haki ya kumwomba askari ajitambulishe kwako. Mwulize jina lake Mwulize namba yake ya uaskari Raia ana haki ya kujulishwa kwanini anatiliwa mashaka ama kukamatwa. Raia ana haki ya...
107 Reactions
601 Replies
224K Views
  • Sticky
Asha Mkwizu Hauli akipelekwa Mahakamani R. v. Asha Mkwizu Hauli, Crim Sessions Case No 3 of 1984 (DSM) (unreported).[/COLOR] Mnamo tarehe 19 Novemba , 1983 mwanamke mmoja aliyejulikana kwa...
82 Reactions
272 Replies
148K Views
  • Sticky
Hapa tutakuwa tunatoa documents (nyaraka) mbalimbali za kisheria ambazo mtu atahitaji kama vile case laws, hasa ambazo ni unreported, legislations, law books n.k. Binafsi nina e-library kubwa...
67 Reactions
995 Replies
207K Views
  • Sticky
Ndugu zangu mliopita au mliopo kwenye uwanja wa mapambano(Law school) tujuzeni hali halisi ya pale..naanza kwa kuuliza maswali yafuatayo; 1.Ni kozi ngapi zinafundishwa 2.Utaratibu wa malipo ya...
6 Reactions
104 Replies
51K Views
  • Sticky
Mkataba wa ajira, kama ilivyo desturi kwa mikataba mingine kwa mujibu wa sheria, huzaliwa, huishi na kufa; kama ilivyo kwa binadamu na viumbe hai vingine. Unazaliwa mara baada ya mwajiriwa na...
13 Reactions
725 Replies
320K Views
  • Sticky
SURA YA KWANZA HISTORIA YA MFUMO WA MILKI YA ARDHI Chimbuko na misingi ya mfumo wa umiliki na matumizi ya ardhi yaliyopo sasa umepitia katika vipindi vifuatavyo:- A. MFUMO WA MILKI YA ARDHI...
11 Reactions
18 Replies
11K Views
  • Sticky
"Why do we Kill People who Kill People to Show that Killing People is Wrong ?" Je ni sawa kuwa na Hukumu ya Kifo? Baada ya yule Chizi wa Norway kuua kadamnasi ya watu (ukizingatia Norway life...
16 Reactions
329 Replies
94K Views
  • Sticky
When I was in secondary school, the girl used to sit next to me died after performing illegal abortion. It was very sad because it happened a week before we started our final exams. Women who...
9 Reactions
153 Replies
72K Views
  • Sticky
  • Redirect
Wana-JF, Karibuni hapa kwa maswali mbalimbali yahusuyo Sheria ya Ndoa,1971.Wale wote waliopo kwenye ndoa na wanaotarajia kuwa kwenye ndoa wanakaribishwa hapa kuuliza na kujibiwa. Nitashirikiana...
13 Reactions
Replies
Views
NI RUHUSA MSIMAMIZI WA MIRATHI KUUZA MALI ZA MAREHEMU BILA RIDHAA YA WARITHI. Bashir Yakub,WAKILI +255 714 047 241. Sheria inampa mamlaka msimamizi wa mirathi kuuza mali za marehemu bila hata...
2 Reactions
9 Replies
812 Views
HATUA NA TARATIBU ZA KUFUNGUA MAOMBI YA KUSIMAMIA MIRATHI Ni jambo lingine kwenda Mahakamani na ni jambo lingine kuzijua taratibu za Mahakama. Kuna namna ya kuwasiliana na Mahakama, ukikosea...
2 Reactions
8 Replies
11K Views
Labda nianze kwakusema wazi kwamba kwa mujibu wa sheria zetu Tanzania, Familia haiwezi kushitaki wala kushitakiwa. Kuelewa zaidi juu ya swala hili, nikukaribishe kuisoma Thread hii. ANGALIZO...
0 Reactions
3 Replies
175 Views
Hii ni kwa mujibu wa uamuzi wa Mahakama Kuu kwenye kesi kati ya Juma Sylvester Mfumia dhidi ya Antony Adabu Mmasy, Rufaa ya Ardhi Namba 68 ya mwaka 2022, kesi ilisikikizwa Mahakama ya Hakimu Mkazi...
2 Reactions
4 Replies
947 Views
Habari wakuu, Swala la "single mothers" nadhani sio geni kulisikia maskioni mwetu, hapa nazungumzia mwanamke aliyezalishwa na kuterekezwa na mwanaume wake. Hali inayompelekea kulea mtoto peke yake...
5 Reactions
16 Replies
322 Views
1. Hukumu hii ni halali kabisa according to my legal observation. Reasoning ya waheshimiwa majaji iko correct...time barred serving of legal documents to respondents. under the following...
1 Reactions
4 Replies
252 Views
Wadau kunamtu aliajiliwa na kupewa fixed one year contract. Mkataba WA kwanza ulipoisha akaopewa mwingine wa mwaka mmoja ukiwa na amajukumu ya ziada.Baada ya kupewa mkataba wa pili ,baada ya...
1 Reactions
22 Replies
815 Views
Idara ya ardhi inapotenga eneo kuwa hii ni la viwanda, makazi, soko, shule kanisa, msikiti, Open Space, Soko etc, inatumia sheria gani kuingia kwenye eneo la mtu na kuligawa kwa matumizi mbali...
1 Reactions
12 Replies
300 Views
KESI NYINGINE AMBAYO MAHAKAMA ILISEMA WATOTO WALIOZALIWA NJE YA NDOA WANA HAKI YA KURITHI: Leo tunasoma kesi ya ELIZABETH MOHAMED v. ADOLF JOHN MAGESA ADMINISTRATION APPEAL (RUFAA YA MIRATHI)...
2 Reactions
3 Replies
725 Views
Unakumbuka ile kesi ambayo Mahakama Kuu ya Tanzania iliamua kwamba Raia wa Kigeni wanaweza kumiliki ardhi nchini Tanzania kwa njia ya kurithi (where High Court ruled that non-citizen heirs could...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kesi ambayo Mahakama Kuu ya Tanzania iliamua kwamba Raia wa Kigeni wanaweza kumiliki ardhi kwa njia ya kurithi (where High Court of Tanzania ruled that non-citizen heirs could own land by way of...
3 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wanajukwaa, Naomba kujua utaratibu wa kufuata kuclaim fidia unapopata ajali kama abiria katika chombo cha usafiri. Ajali hiyo imemgarimu sana ndugu yangu matibabu na pia imempelekea kupata...
0 Reactions
5 Replies
148 Views
Wameligawa kuwa la open space, PB, shule , kanisa, msikiti, makazi etc etc. Sheria iansemaje na kama una case law kuhusu scenario hiyo naomba
1 Reactions
25 Replies
904 Views
Karibu katika sehemu ya pili ya uchambuzi wa kina wa kesi ya Hatibu Gandhi na wenzake dhidi ya Jamhuri. Kesi iliyo na historia ya kuvutia na kusisimua sana, kesi iliyoficha mengi yasiyojulikana...
1 Reactions
10 Replies
223 Views
Matusi, kutukana limekuwa jambo la kawaida mitaani na mitandaoni. Ni ipi adhabu ya kutukana bila kujali wadhifa wa anayetukanwa? Ni kipi mtu anatakiwa kufanya endapo atatukanwa?
3 Reactions
8 Replies
294 Views
Nilipata ajali boda boda kagonga gari langu kwa nyuma na kusababisha uharibifu mkubwa tu. Sasa nashanga naambiwa eti kila mtu atengeneze chombo chake hii wanasheria humu ndani imekaaje? Msaada...
2 Reactions
15 Replies
347 Views
“Navigating Challenges and Aspirations” In the ongoing journey towards a robust and progressive judiciary in Tanzania, the foundational principles outlined in Article 107A of the Constitution of...
0 Reactions
3 Replies
215 Views
MGAWANYO WA MALI ZA FAMILIA BAADA YA MUME NA MKE KUACHANA. SEHEMU YA 2 Mgawanyo wa mali za familia baada ya mume na mke kuachana unapaswa ufanyike kwa kuzingatia haki, ili kila mmoja apate kile...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Naomba mwenye soft copy ya civil procedure law by Chipeta
0 Reactions
2 Replies
106 Views
Majumuisho ya kesi mkakati zilizotolewa tangu miaka ya nyuma kuanzia 1983 hadi 2022 na maamuzi ya hukumu yakiangaziwa kwa kina kuona maamuzi ktk hukumu hizo NGURI WA SHERIA WAKUTANA JUKWAA MOJA...
0 Reactions
4 Replies
199 Views
Back
Top Bottom