Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Natumia karanga kama breakfast, lunch hadi dinner, Natafuna ziwe mbichi, au kavu zote twende ingawa napendelea zaidi zilizokaangwa nashushia na maji,chai,juice au soda habari inakua imeisha
1 Reactions
10 Replies
10K Views
Naomba msaada kwa yoyote ajuae jins ya kutengeneza fondant
0 Reactions
16 Replies
21K Views
Utangulizi Keki hutengenezwa kutokana na unga wa ngano, mafuta, mayai na vikolezo mbali mbali. Kuna Keki za aina mbalimbali kulingana na umbo, ukubwa vikolezo n.k. Aina za Keki pia hutegemea...
4 Reactions
3 Replies
29K Views
Kama ilivyo ada Leo ilikuwa siku nzuri ya kuonyeshana nani zaidi kwenye mapishi hasa msosi pendwa PILAU aka wali mchafu.. Haya fuatilia mapishi yangu yalivyokuwa.. MAHITAJI YA MAPISHI 1) MCHELE...
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Kuna mengi hatuyajui na mengine tunafanya tu bila kuelewa athari zake, kubwa na ndogo. Ulishawahi kula kwa mfano nyama ya ngo'mbe hasa hizi za supermarket? Ambazo ni mahususi kwa ajili ya kufugwa...
4 Reactions
40 Replies
7K Views
Naomba mwenye ujuzi na uzoefu wa namna ya kutengeneza maandazi ya biashara. Lengo ni kuuzia maduka madogo madogo yanayonizunguka mtaani. Natanguliza
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Anaitajika Mpishi mwenye uzoefu mkubwa wa kipika chakula cha kiafrika kwaajiri ya mgahawa ulioko block 41 Kinondoni. Nitumie msg DM kwa mawasiliano zaidi.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hellow team, Naomba mwenye ufahamu jinsi ya kutengeneza juisi ya tende anielekeze hatua moja mpaka nyingine. Asante
0 Reactions
4 Replies
9K Views
Nini maana ya neno makange? Sie watu wa bars hata redio zetu kazi ni kupiga nyimbo za Diamond tu hawana vipindi vya lugha hivyo ninalisikia tu ila silielewi
0 Reactions
12 Replies
10K Views
Natumai mko sawa wakuu.. Haya naomba kwa mwenye kujua anijuze ..black beans...ndio nini?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Leo jikoni tunaandaa choroko za kupaaza, twende pamoja Vipimo: Choroko za kupaaza - 1 kikombe kikubwa (mug) Kitunguu maji - 1 kimoja Binzari ya manjano ya unga - 1/2 kijiko cha chai Kitungu...
4 Reactions
4 Replies
4K Views
Kifaa hiki ni kawaida kukikuta kwenye majiko hasa ya wenye nazo. Jiwe hili licha ya kuwa ni urembo mzuri pia hudumu kwa miaka mingi. Historia inatuonyesha walioanza kutumia jiwe kupondea viungo...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Assalam alayqum, Jamani ni matumaini yangu mko salama. Naombeni kujuzwa/ kufahamishwa namna ya kuandaa mbegu za maboga zichanganywe kwenye uji wa mzazi. Nazifanyaje baada ya kuziosha? Je...
2 Reactions
10 Replies
11K Views
Habari za wiki end wakuu. Kama nitakuwa nimekosea katika kuziita 'kashata za ubuyu', basi naomba mnielewe nichomaanisha. Nasikia huwa zinatengenezwa kwa kutumia unga wa ubuyu, huwa watoto...
0 Reactions
48 Replies
94K Views
Mara nyingi watu hutumia siagi ya karanga (peanut butter) kwenye mkate au kama kionjo kwenye mboga ya majani. Leo nitakufundisha kutumia siagi ya karanga ,matunda na mboga za majani kuandaa...
4 Reactions
1 Replies
5K Views
Katika siku za week naipenda sana Jumamosi. Hii huwa naitumia kufanya shopping ya Vegetables na Fruits pia kufanya mapishi au kuandaa juice/smoothie. Jumamosi hii nlikuja na kitu kizito. Huu ni...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu chefs, Naomba kujua nifanyaje jiko la gas la plates lilikaa muda bila kutumika. Sasa zile switch za kuwashia hazizunguki hivyo siwezi kuwasha. Naomba kujua nifanyaje ili lizunguke...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari, Namna gani naweza kuandaa kuku wa ndimu/ lemon chicken? nataka kujua viungo vinavyohitajika na shughuli nzima mpaka anaiva. .
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Habari wadau wa mapishi, wapenda misosi mitamu. Leo nawaletea pishi hili tamu sana baada ya kulionja nikaona niwaletee na nyie ndugu zangu wa JF ili mkapike nanyi mfaidi kama mimi nilivyofaidi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom