Natumia karanga kama breakfast, lunch hadi dinner,
Natafuna ziwe mbichi, au kavu zote twende ingawa napendelea zaidi zilizokaangwa nashushia na maji,chai,juice au soda habari inakua imeisha
Utangulizi
Keki hutengenezwa kutokana na unga wa ngano, mafuta, mayai na vikolezo mbali mbali. Kuna Keki za aina mbalimbali kulingana na umbo, ukubwa vikolezo n.k. Aina za Keki pia hutegemea...
Kama ilivyo ada Leo ilikuwa siku nzuri ya kuonyeshana nani zaidi kwenye mapishi hasa msosi pendwa PILAU aka wali mchafu..
Haya fuatilia mapishi yangu yalivyokuwa..
MAHITAJI YA MAPISHI
1) MCHELE...
Kuna mengi hatuyajui na mengine tunafanya tu bila kuelewa athari zake, kubwa na ndogo. Ulishawahi kula kwa mfano nyama ya ngo'mbe hasa hizi za supermarket? Ambazo ni mahususi kwa ajili ya kufugwa...
Anaitajika Mpishi mwenye uzoefu mkubwa wa kipika chakula cha kiafrika kwaajiri ya mgahawa ulioko block 41 Kinondoni. Nitumie msg DM kwa mawasiliano zaidi.
Nini maana ya neno makange? Sie watu wa bars hata redio zetu kazi ni kupiga nyimbo za Diamond tu hawana vipindi vya lugha hivyo ninalisikia tu ila silielewi
Leo jikoni tunaandaa choroko za kupaaza, twende pamoja
Vipimo:
Choroko za kupaaza - 1 kikombe kikubwa (mug)
Kitunguu maji - 1 kimoja
Binzari ya manjano ya unga - 1/2 kijiko cha chai
Kitungu...
Kifaa hiki ni kawaida kukikuta kwenye majiko hasa ya wenye nazo. Jiwe hili licha ya kuwa ni urembo mzuri pia hudumu kwa miaka mingi.
Historia inatuonyesha walioanza kutumia jiwe kupondea viungo...
Assalam alayqum,
Jamani ni matumaini yangu mko salama. Naombeni kujuzwa/ kufahamishwa namna ya kuandaa mbegu za maboga zichanganywe kwenye uji wa mzazi. Nazifanyaje baada ya kuziosha?
Je...
Habari za wiki end wakuu.
Kama nitakuwa nimekosea katika kuziita 'kashata za ubuyu', basi naomba mnielewe nichomaanisha. Nasikia huwa zinatengenezwa kwa kutumia unga wa ubuyu, huwa watoto...
Mara nyingi watu hutumia siagi ya karanga (peanut butter) kwenye mkate au kama kionjo kwenye mboga ya majani.
Leo nitakufundisha kutumia siagi ya karanga ,matunda na mboga za majani kuandaa...
Katika siku za week naipenda sana Jumamosi. Hii huwa naitumia kufanya shopping ya Vegetables na Fruits pia kufanya mapishi au kuandaa juice/smoothie.
Jumamosi hii nlikuja na kitu kizito. Huu ni...
Habari zenu chefs,
Naomba kujua nifanyaje jiko la gas la plates lilikaa muda bila kutumika. Sasa zile switch za kuwashia hazizunguki hivyo siwezi kuwasha. Naomba kujua nifanyaje ili lizunguke...
Habari wadau wa mapishi, wapenda misosi mitamu.
Leo nawaletea pishi hili tamu sana baada ya kulionja nikaona niwaletee na nyie ndugu zangu wa JF ili mkapike nanyi mfaidi kama mimi nilivyofaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.