Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Naomben msaada sina friji, nataka niwe nahifandhi nyama ya kuku at least ifike siku nne mana niko peke angu siwez mmaliza wote, pia suala la bajeti. Shukran
4 Reactions
20 Replies
8K Views
Supu ya nyama. Mahiiaji: Nyama ya mifupa 1/2kg Carrots 2 Viazi 2 Njegere kiasi Kitunguu swaumu 1 tsp Tangawizi mbichi 1 tsp Pilipili manga 1tsp Bizari nyembamba 1tsp Chumvi kiasi Matayarisho...
6 Reactions
3 Replies
4K Views
Miongoni mwa mboga za majani ninazopenda ni pamoja na tembele, leo ngoja niwashirikishe jinsi ya kuyapika matembele. Pishi hili ni kwa wale wenye Maisha ya kawaida kabisa ambao tunapika bila...
13 Reactions
8 Replies
15K Views
Jamani 'Jasiri aachi asili'; Nimejikuta nikikumbuka kwetu. Napata soko gani hii kitu?
2 Reactions
12 Replies
5K Views
Ni swali na wale wenye uelewa mpana naomba msaada. Nimejaribu kusoma various articles kuhusu hawa samaki wawili, Salmon anayepatikani baharini na Nile perch yupo ana high concentration ya Omega 3...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mimi nikienda mahala na kupewa ugali na mboga yoyote ila kama kwenye hiyo mboga hakuna mlenda basi kwangu naona kama nimekula chakula ambacho hakijakamilika. Nikiwa nyumbani nimeamua kujipikia...
5 Reactions
30 Replies
4K Views
Habari wapendwa! Hapa naomba ku sharevaina nyingine ya chakula cha ki- bachelor na cha fasta kidogo. Naamini sio muda wote unakua na mood ya kupika ila unakuta una nenge/gwanda/njaa na...
7 Reactions
26 Replies
22K Views
JUISI YA NDIZI MBIVU NDIZI ni zao linalotokana na mgomba, zao hili likiwa bichi hutumika kama chakula na likiwa limeiva (ndizi mbivu) hutumika kama tunda ambalo wakati mwingine hutumika...
3 Reactions
8 Replies
14K Views
Habarini wana JamiiForums, Natumaini mu wazima rejea kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana wa chuo ninaejihusisha na biashara ndogondogo kama kuuza karanga nyekundu ,visheti, kashata na...
0 Reactions
10 Replies
21K Views
MAHITAJI Unga wa ngano 1kg Maziwa ya nido vijiko viwili vya chakula Blue band vijiko viwili vya chakula Mafuta ya kupikia nusu lita Nazi moja pia unaweza tumia nazi ya pkt Chumvi kijiko kimoja...
9 Reactions
30 Replies
17K Views
Mimi msela bachela niko ndani njaa inaniuma na hakuna sehemu nzuri ya kula karibu na home.Ni nani anatoa huduma ya delivery ya chakula kizuri cha asili kama ugali, wali, ndizi, nyama ya ngombe...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Upishi raha sana Sent using Jamii Forums mobile app
11 Reactions
66 Replies
9K Views
Habari, leo tupike kidogo kababu za nyama ya mbuzi MAHITAJI • Nyama ya mbuzi nusu kilo • Dania 1iliokatwakatwa • Kitunguu saumu pamoja na tangawizi vijiko 2 vya chai • Garam masala(dawa ya...
7 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakati wa asubuhi, hakikisha kifungua kinywa kina range kati ya saa kumi na mbili mpaka saa mbili hapa ni kama hauna familia, au uko kazini. Kama una familia basi isivuke saa nne asubuhi. Wakati...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Mexican food Sent using Jamii Forums mobile app
6 Reactions
28 Replies
4K Views
Msaada wajameni kama zile zinakuwaga ndani ya kopo (zinauzwa supermarket) na mafuta kidogo na pilipli kwa mbali hivi! Mahitaji -5 maembe mabichi yalimenywa na kukatwa kwa...
0 Reactions
5 Replies
28K Views
Tropical smooth juice Mahitaji Nanasi 1 Ndizi mbivu 3 Machungwa 3 Jinsi ya kutengeneza Hatua 1 Menya nanasi lako baadae kata vipande vipande na weka kwenye chombo chako. Hatua 2 Kata ndizi yako...
3 Reactions
1 Replies
3K Views
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,naomba mdau yeyote anayejua sehemu ninayoweza kupata amira (yeast) ya kutengenezea wine anisaidie. Au mwenye kujua ingredients inayoweza kuwa ni mbadala wa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kuna wana wangu wamekuja kunitembelea leo hapa gheto sasa hivi nipo natengeneza kitu, Jikoni leo Usibanduke kwenye Uzi Update kwa picha mpaka natoa Kitu kinawekwa mezani kuliwa, 1: Maandalizi...
17 Reactions
308 Replies
32K Views
Jamani kuna siku nililalamika keki zangu zilipasuka ovyo ovyo nilivyozitia kwenye mafut! Nikapata ushaur nipunguze sukari na baking powder leo nimepika hizi maoni yenu tafadhali nirekebishe nini
3 Reactions
54 Replies
8K Views
Back
Top Bottom