Naomben msaada sina friji, nataka niwe nahifandhi nyama ya kuku at least ifike siku nne mana niko peke angu siwez mmaliza wote, pia suala la bajeti.
Shukran
Miongoni mwa mboga za majani ninazopenda ni pamoja na tembele, leo ngoja niwashirikishe jinsi ya kuyapika matembele.
Pishi hili ni kwa wale wenye Maisha ya kawaida kabisa ambao tunapika bila...
Ni swali na wale wenye uelewa mpana naomba msaada. Nimejaribu kusoma various articles kuhusu hawa samaki wawili, Salmon anayepatikani baharini na Nile perch yupo ana high concentration ya Omega 3...
Mimi nikienda mahala na kupewa ugali na mboga yoyote ila kama kwenye hiyo mboga hakuna mlenda basi kwangu naona kama nimekula chakula ambacho hakijakamilika.
Nikiwa nyumbani nimeamua kujipikia...
Habari wapendwa!
Hapa naomba ku sharevaina nyingine ya chakula cha ki- bachelor na cha fasta kidogo.
Naamini sio muda wote unakua na mood ya kupika ila unakuta una nenge/gwanda/njaa na...
JUISI YA NDIZI MBIVU
NDIZI ni zao linalotokana na mgomba, zao hili likiwa bichi hutumika kama chakula na likiwa limeiva (ndizi mbivu) hutumika kama tunda ambalo wakati mwingine hutumika...
Habarini wana JamiiForums,
Natumaini mu wazima rejea kichwa cha habari hapo juu. Mimi ni kijana wa chuo ninaejihusisha na biashara ndogondogo kama kuuza karanga nyekundu ,visheti, kashata na...
MAHITAJI
Unga wa ngano 1kg
Maziwa ya nido vijiko viwili vya chakula
Blue band vijiko viwili vya chakula
Mafuta ya kupikia nusu lita
Nazi moja pia unaweza tumia nazi ya pkt
Chumvi kijiko kimoja...
Mimi msela bachela niko ndani njaa inaniuma na hakuna sehemu nzuri ya kula karibu na home.Ni nani anatoa huduma ya delivery ya chakula kizuri cha asili kama ugali, wali, ndizi, nyama ya ngombe...
Habari, leo tupike kidogo kababu za nyama ya mbuzi
MAHITAJI
• Nyama ya mbuzi nusu kilo
• Dania 1iliokatwakatwa
• Kitunguu saumu pamoja na tangawizi vijiko 2 vya chai
• Garam masala(dawa ya...
Wakati wa asubuhi, hakikisha kifungua kinywa kina range kati ya saa kumi na mbili mpaka saa mbili hapa ni kama hauna familia, au uko kazini. Kama una familia basi isivuke saa nne asubuhi.
Wakati...
Msaada wajameni kama zile zinakuwaga ndani ya kopo (zinauzwa supermarket) na mafuta kidogo na pilipli kwa mbali hivi!
Mahitaji
-5 maembe mabichi yalimenywa na kukatwa kwa...
Tropical smooth juice
Mahitaji
Nanasi 1
Ndizi mbivu 3
Machungwa 3
Jinsi ya kutengeneza
Hatua 1
Menya nanasi lako baadae kata vipande vipande na weka kwenye chombo chako.
Hatua 2
Kata ndizi yako...
Kama kichwa cha mada kinavyojieleza,naomba mdau yeyote anayejua sehemu ninayoweza kupata amira (yeast) ya kutengenezea wine anisaidie.
Au mwenye kujua ingredients inayoweza kuwa ni mbadala wa...
Kuna wana wangu wamekuja kunitembelea leo hapa gheto sasa hivi nipo natengeneza kitu,
Jikoni leo Usibanduke kwenye Uzi Update kwa picha mpaka natoa Kitu kinawekwa mezani kuliwa,
1:
Maandalizi...
Jamani kuna siku nililalamika keki zangu zilipasuka ovyo ovyo nilivyozitia kwenye mafut! Nikapata ushaur nipunguze sukari na baking powder leo nimepika hizi maoni yenu tafadhali nirekebishe nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.