Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Hello JF Leo nimeona ni busara tukapeana mawazo kwenye eneo la vyakula sababu ni msingi wa maisha na nina imani kwa wale ambao hawakwenda shule au walienda lakini hawakubahatika kusoma sayansi...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Ugali wa nazi wapikwaje? Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Nimeona siku hizi hii kitu ikitrend, wauzaji wa vyakula hapa mjini wanauza chakula aina ya Biriani siku ya Ijumaa na Jumapili tu. Je, ni nani alianzisha huu utaratibu? Kwanini Biriani haliuzwi...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Nimepiga plan ya kusimplify mambo hapa mjini nikaamua kwamba! kila weekend especially Jumapili ni mwendo wa kande tu..kwanza na minimize cost. Nitanunua..Maharage nusu Njugu Nusu...
0 Reactions
386 Replies
103K Views
Kuna baadhi ya sufuria za kupikia hutoa kemikali wakati wa kupika chakula nakuchanganyika hivyo kupelekea madhara kama kansa kwa mlaji, wajuzi tuwekeni sawa kwenye hili.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
LAMBA LAMBA ZA PARACHICHI NA MAZIWA : Mahitaji: Parachichi 1 kubwa kiasi 1/2 kikombe cha sukari Kopo 1 kubwa maziwa mepesi ya ( LUNA EVAPORATED MILK ) 1/2 kikombe maji Maelezo: Katika bakuli...
2 Reactions
29 Replies
14K Views
ORODHA YA JUICE MBALIMBALI (Kwa hisani ya mtandao). 1. Juice ya ukwaju mix na unga wa custard 2. Juice ya carrot na ndimu hii taste inakua kama fanta orange 3. Juice ukwaju tango na zile pipi...
6 Reactions
25 Replies
21K Views
Nahitaji kutengeneza fresh juice nataka kujua viungo vya kuweka hasa kwenye juice mix
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari Zenu natumai mko poa, Dhumuni la kuanzisha uzi huu ni kua natafuta hotel yoyote iliyopo Arusha inayotoa mafunzo ya kupika Kwa ada nafuu sitaki chuo Kwa kua hawafundishi practically...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakubwa naomba kujuzwa kama inawezekana kusaga nazi kwa blender au ukifanya hivyo blender inakufa?
2 Reactions
27 Replies
11K Views
Hellow wapendwa poleni na majukumu ya siku nzima ya leo,,, Nitashare nanyi baadhi ya aina ya vyakula/ tiba lishe ambavyo(yo) mimi huvitumia ,/nisivyovitumia; 1.sili ugali /wali/(vyakula vya wanga...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Sikujua kama ukipika mseto wa dagaa na mboga za majani hususan tembele na uweke na karoti ni tamu balaa. Au nyama na mnafu na karoti utaipenda. Woiii nyanya nishaanza kusahau kabisa. Sent using...
4 Reactions
22 Replies
5K Views
Nikiwa Tanga mwaka jana nilisikia kuhusu kinywaji kiitwacho Al-Kasusu. Nilinunua na kunywa kinywaji hicho na kukuta ni kweli kinachangamsha. Nilijaribu kuulizia kinavyotengezwa nikaambiwa na wale...
1 Reactions
2 Replies
11K Views
Mahitaji Ukwaju 2 paketi Chumvi kiasi Tende 1/4 kikombe Pilipili mbichi 1 Namna ya kutayarisha Toa kokwa ukwaju kisha roweka na maji moto. Chambua tende utoe kokwa weka kando. Tia vitu vyote...
3 Reactions
13 Replies
9K Views
Kinywaji cha viungo: Hiki ni kinywaji chochote ambacho kimetengenezwa kwa kuwekwa viungo. Kinywaji hiki kinaweza kuwa cha moto au cha baridi. Kinywaji cha baridi kinapotengenezwa, yatumike maji...
5 Reactions
9 Replies
25K Views
Habarini Wakuu. Leo nataka tupeane mawili matatu ya namna ya kupika kwa kutumia nazi hapa haijalishi nazi iwe ni ile ya kukuna mwenyewe au zile zinazouzwa madukani. - Je unaandaa tui lako katika...
28 Reactions
331 Replies
30K Views
Habarini Wakuu. Ni muda kidogo kuna nyumba moja niliwahi kufika, hiyo nyumba si nyumba kubwa sana ila sebule ni kubwa hivyo mwenye nyumba akaamua kutenga sehemu ambacho ameweka meza ya kulia...
9 Reactions
42 Replies
15K Views
NAMNA YA KUPIKA DAGAA+NYANYA CHUNGU+NAZI: RURAL OR URBAN STYLE Hawa ni wale dagaa wa kigoma lakini wadogo wadogo sana, wachambue vizuri kwa kiasi utakacho kupika, halafu uwaoshe vizurii wasiwe na...
7 Reactions
26 Replies
41K Views
Mahitaji Nyama ya ng’ombe 1/2 kilo Maini 1/2 kilo Figo 1/2 kilo Vitunguu viwili vikubwa Pilipili hoho tatu Pilipili kali unazoweza kula Limao Chumvi Uduvi kikombe cha chai Jinsi ya kupika Osha...
3 Reactions
34 Replies
8K Views
Natumia karanga kama breakfast, lunch hadi dinner, Natafuna ziwe mbichi, au kavu zote twende ingawa napendelea zaidi zilizokaangwa nashushia na maji,chai,juice au soda habari inakua imeisha
1 Reactions
10 Replies
10K Views
Back
Top Bottom