Utengenezaji wa maandazi

Michael Bosco

Member
Jan 10, 2010
85
47
Naomba mwenye ujuzi na uzoefu wa namna ya kutengeneza maandazi ya biashara. Lengo ni kuuzia maduka madogo madogo yanayonizunguka mtaani. Natanguliza
 
Kwa uzoefu wangu mdogo wa upishi wa maandazi ya nyumbani huwa natumia :unga,hamira, sukari,maji/maziwa kidogo na iriki

Utanisamehe upande wa vipimo ntakadiria mana nna upishi wa mazoea

Maandalizi
1.Unga wa Ngano kilo moja (sikumbuki yanatoka mangapi ila kitu kama 40 size ya kati)

2.nasaga kwenye blender mill ndogo ile iriki yangu

3.nachekecha unga wangu kutoa uchafu wowote,

4.nachekecha iriki ile nliosaga kwenda ndani ya unga...kadiria iwe labda vijiko viwili

5.naweka sukari looh vipimo sijuii jmn mapishi ya kizungu..nakadiria...fanya kikombe cha chai kidogo kile kimoja

Nachanganyaa

6.naweka maji ya uvuguvugu na hamira naichanganya vizuri kwenye kibakuli pembeni...uzuri hamira imeandikwa pakti moja kwa nusu kilo kama sikosei hivyo huwa natumia mbili ama mbili na nusu

7.namix hio hamira kwenye unga wangu wenye sukari na iriki tiyari

8.naanza kuweka maji taratibu na maziwa kikombe kidogo kimoja kinatosha

9.nakanda hadi uwe vizuri

10.naufunikia ktk sufuria safi nauacha dk 45 uumuke

11.naweka kikaangio jikoni ,waweza tumia deep frier,napenda tumia sufuria nzito

12.nautizama unga wangu utakuta ushaumuka naanza kukata vipande nasukuma kama chapati afu nakata shape ya andazi nalotaka

Waweza tumia kisu kukata shape za pembe tatu,kikombe au bilauri kutoa shape za duara ama shape special za kununua nk

Ukishakata yaache tena yaumuke kidogo

Jikoni huko uwe ushaweka mafuta muda unakata maandazi huku

Baada ya hapo anza kuweka jikoni...moto usiwe mkali sana yakaiva nje ndani hola

Ivisha upande mmoja then yageuze yaive upande wa pili

Andaa chombo cha kuwekea...yatoe jikoni uweke humo


Hadi nmemiss kuyapika☺️☺️

Mengine utajiongeza mbinu
 
Hadi mate yamenitoka jmn
Kwa uzoefu wangu mdogo wa upishi wa maandazi ya nyumbani huwa natumia :unga,hamira, sukari,maji/maziwa kidogo na iriki

Utanisamehe upande wa vipimo ntakadiria mana nna upishi wa mazoea

Maandalizi
1.Unga wa Ngano kilo moja (sikumbuki yanatoka mangapi ila kitu kama 40 size ya kati)

2.nasaga kwenye blender mill ndogo ile iriki yangu

3.nachekecha unga wangu kutoa uchafu wowote,

4.nachekecha iriki ile nliosaga kwenda ndani ya unga...kadiria iwe labda vijiko viwili

5.naweka sukari looh vipimo sijuii jmn mapishi ya kizungu..nakadiria...fanya kikombe cha chai kidogo kile kimoja

Nachanganyaa

6.naweka maji ya uvuguvugu na hamira naichanganya vizuri kwenye kibakuli pembeni...uzuri hamira imeandikwa pakti moja kwa nusu kilo kama sikosei hivyo huwa natumia mbili ama mbili na nusu

7.namix hio hamira kwenye unga wangu wenye sukari na iriki tiyari

8.naanza kuweka maji taratibu na maziwa kikombe kidogo kimoja kinatosha

9.nakanda hadi uwe vizuri

10.naufunikia ktk sufuria safi nauacha dk 45 uumuke

11.naweka kikaangio jikoni ,waweza tumia deep frier,napenda tumia sufuria nzito

12.nautizama unga wangu utakuta ushaumuka naanza kukata vipande nasukuma kama chapati afu nakata shape ya andazi nalotaka

Waweza tumia kisu kukata shape za pembe tatu,kikombe au bilauri kutoa shape za duara ama shape special za kununua nk

Ukishakata yaache tena yaumuke kidogo

Jikoni huko uwe ushaweka mafuta muda unakata maandazi huku

Baada ya hapo anza kuweka jikoni...moto usiwe mkali sana yakaiva nje ndani hola

Ivisha upande mmoja then yageuze yaive upande wa pili

Andaa chombo cha kuwekea...yatoe jikoni uweke humo


Hadi nmemiss kuyapika

Mengine utajiongeza mbinu
 
Kwa uzoefu wangu mdogo wa upishi wa maandazi ya nyumbani huwa natumia :unga,hamira, sukari,maji/maziwa kidogo na iriki

Utanisamehe upande wa vipimo ntakadiria mana nna upishi wa mazoea

Maandalizi
1.Unga wa Ngano kilo moja (sikumbuki yanatoka mangapi ila kitu kama 40 size ya kati)

2.nasaga kwenye blender mill ndogo ile iriki yangu

3.nachekecha unga wangu kutoa uchafu wowote,

4.nachekecha iriki ile nliosaga kwenda ndani ya unga...kadiria iwe labda vijiko viwili

5.naweka sukari looh vipimo sijuii jmn mapishi ya kizungu..nakadiria...fanya kikombe cha chai kidogo kile kimoja

Nachanganyaa

6.naweka maji ya uvuguvugu na hamira naichanganya vizuri kwenye kibakuli pembeni...uzuri hamira imeandikwa pakti moja kwa nusu kilo kama sikosei hivyo huwa natumia mbili ama mbili na nusu

7.namix hio hamira kwenye unga wangu wenye sukari na iriki tiyari

8.naanza kuweka maji taratibu na maziwa kikombe kidogo kimoja kinatosha

9.nakanda hadi uwe vizuri

10.naufunikia ktk sufuria safi nauacha dk 45 uumuke

11.naweka kikaangio jikoni ,waweza tumia deep frier,napenda tumia sufuria nzito

12.nautizama unga wangu utakuta ushaumuka naanza kukata vipande nasukuma kama chapati afu nakata shape ya andazi nalotaka

Waweza tumia kisu kukata shape za pembe tatu,kikombe au bilauri kutoa shape za duara ama shape special za kununua nk

Ukishakata yaache tena yaumuke kidogo

Jikoni huko uwe ushaweka mafuta muda unakata maandazi huku

Baada ya hapo anza kuweka jikoni...moto usiwe mkali sana yakaiva nje ndani hola

Ivisha upande mmoja then yageuze yaive upande wa pili

Andaa chombo cha kuwekea...yatoe jikoni uweke humo


Hadi nmemiss kuyapika

Mengine utajiongeza mbinu
Nipikie BA's mm mengii halaf nije kuyachukua,nitanunua lakin
 
Back
Top Bottom