Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Mahitaji
Nyama ya ng’ombe 1/2 kilo
Maini 1/2 kilo
Figo 1/2 kilo
Vitunguu viwili vikubwa
Pilipili hoho tatu
Pilipili kali unazoweza kula
Limao
Chumvi
Uduvi kikombe cha chai
Jinsi ya kupika
Osha nyama kata kata weka pembeni figo osha kata kata weka pembeni na maini hivyo hivyo
Weka sufuria kwenye moto weka nyama, kamua limao na pilipili kukata shombo. Acha nyama ichemke mpaka iive.
Nyama ikiiva osha uduvi weka ndani.
Baada ya dakika kumi weka figo, pilipili hohoho na vitunguu vilivyokatwa vidogovidogo,
kwakuwa maini hayachelewi kuiva yaweke mwisho na yakiiva soup iko tayari.
Weka chumvi na limao
Soup iko tayari kuliwa.
Uduvi (pia duvi, kijino au ushimbu) ni wanyama wadogo wa bahari wa oda Decapodakatika nusufaila Crustacea (gegereka). Hawa ni aina za kamba wadogo. Majina "uduvi" na "ushimbu" hutumika kwa kundi la wanyama hawa au kwa fungu sokoni. Wanyama pekee huitwa "duvi" au "kijino".
Wanatumika kama kitoweo cha chakula.
Nyama ya ng’ombe 1/2 kilo
Maini 1/2 kilo
Figo 1/2 kilo
Vitunguu viwili vikubwa
Pilipili hoho tatu
Pilipili kali unazoweza kula
Limao
Chumvi
Uduvi kikombe cha chai
Jinsi ya kupika
Osha nyama kata kata weka pembeni figo osha kata kata weka pembeni na maini hivyo hivyo
Weka sufuria kwenye moto weka nyama, kamua limao na pilipili kukata shombo. Acha nyama ichemke mpaka iive.
Nyama ikiiva osha uduvi weka ndani.
Baada ya dakika kumi weka figo, pilipili hohoho na vitunguu vilivyokatwa vidogovidogo,
kwakuwa maini hayachelewi kuiva yaweke mwisho na yakiiva soup iko tayari.
Weka chumvi na limao
Soup iko tayari kuliwa.
Uduvi (pia duvi, kijino au ushimbu) ni wanyama wadogo wa bahari wa oda Decapodakatika nusufaila Crustacea (gegereka). Hawa ni aina za kamba wadogo. Majina "uduvi" na "ushimbu" hutumika kwa kundi la wanyama hawa au kwa fungu sokoni. Wanyama pekee huitwa "duvi" au "kijino".
Wanatumika kama kitoweo cha chakula.