Bamia za kukaanga na mafuta,Hapo naongeza na nyanya.
Mimi hupenda na Ugali.
Bamia za Kuchemsha[Mrenda]
Waungwana hivi ni kwanini mboga hii ya Bamia Wanaume wengi Hawali/Hawaipendi? Jee...
Ninasoma saana humu ila mwezenu napenda kula local food
Mfano chai nasindikiza na maboga mamung'unya mahindi ya kuchemsha viazi Karanga nk
Kwa kawaida hivi hua vinahitaji maji tuu chumvi mzigo...
Habari za muda huu wana JF.
Awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia afya njema hadi muda huu.
Napenda kutoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki walioondokewa na wapendwa wao...
wakuu habari za jumapili nilkuwa nauliza hivi pressure cooker isiyotumia umeme ipi nzuri kati ile ya mshikio mmoja na ile yenye mishikio miwili ina filimbi mbili na ipi imara sasa me ninayo hii ya...
Jamani mimi ni mweupe kabisa kwenye kupika, hivyo basi naombeni mnisaidie jinsi ya kutoa pilau zuri maana nategemea kuanza kuishi geto hivi karibuni asanteni
Wananzengo bila kupoteza muda poleni na Na Majukumu yenu Ningeomba kujua ni kwa Maeneo ya MOSHI & DAR ni Sehem gani (Organization) Wanatoa FIELD Assistance nzuri kwa Career ya Human Resource...
Kula matunda na mboga fresh ni nzuri kwa afya yako lakini kuna vimelea vinavyoweza dhuru afya yako.
Jifunze dondoo za usalama wa chakula ufurahie chakula chako.
☞Matunda 🍓🍎🍉🍌na 🥬🥗 huongeza...
Habari zenuuu...hata Mimi nilihangaika kweli kujifunza mapishi ya ubuyu...haki..nilishaharibu sukari yangu Mara kibaooooo lkn ckukata tamaa! Sasa ni hiviii
Mahitaji:
Sukari kilo moja
Ubuyu vikombe...
hello wapenzi mnaopenda kula vizuri
Leo nataman tushee hili tunda la stafeli !ni tunda pendwa na adimu kias chake !tumezoea kutengeneza juice za maembe,nanasi,parachichi
hebu leo tutengeneze...
Mahitaji
Viazi mbatata 4
Cabbage 1/2
Carrot mbili
Vitunguu maji viwili
Pilipili ukipenda
Chumvi
Jinsi ya kupika,
Viazi vikate vidogo sana
Kata mboga zote
Weka mafuta kwenye stir frayer
Anza...
Wanajamvi habari za leo? Poleni sana na majukumu ya kujitafutia kipato Lakini poleni sana kwa ndugu walipoteza wapendwa wao kwa ajali ya moto huko Morogoro.
Leo napenda kupata maelezo ya kutosha...
Nimebahatika kutembea nchi kadhaa Europe, Asia and Americas; pia ni mpenzi wa kutazama vipindi vya mapishi kwenye dstv ch 175.
Ambacho nimejifunza ni tofauti ya dhana nzima ya mlo kwa nchi...
Habari,
Ningependa kujuzwa dhana halisi ya mlo kamili. Ili binadamu awe amekula mlo kamili yampasa azingatie ama ajumuishe vyakula vya aina gani.
Najua kama kuna makundi tofaut ya vyakula kama...
Mwenye ujuz naomb msaada tafadhar,
nimejarb kutengeneza bisi za rangi, mara ya kwanza zikatoka vzr kbsaa, ila baada ya hapo mara zote tatu zimeungua hata kabla ya kupasuka na zikipasuka hazifai...
Wana Jf,
Watu wengu hupendelea sana kula Pilau siku ya Ijumaa, huu utamadumi umetoka wapi na nani mwanzilishi wa utamaduni huu. Kwanini watu huamua kwua ijumaa tu ndio siku ya pilau.
Mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.