Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,172
- 34,278
Assalam alayqum,
Jamani ni matumaini yangu mko salama. Naombeni kujuzwa/ kufahamishwa namna ya kuandaa mbegu za maboga zichanganywe kwenye uji wa mzazi. Nazifanyaje baada ya kuziosha?
Je, nazianika nizikaange kidogo ndipo nisage unga wake nichanganyie kwenye uji au nizioshe nianike nikasage straight bila kuzikaanga. Ni ipi njia sahihi?
Asanteni.
Jamani ni matumaini yangu mko salama. Naombeni kujuzwa/ kufahamishwa namna ya kuandaa mbegu za maboga zichanganywe kwenye uji wa mzazi. Nazifanyaje baada ya kuziosha?
Je, nazianika nizikaange kidogo ndipo nisage unga wake nichanganyie kwenye uji au nizioshe nianike nikasage straight bila kuzikaanga. Ni ipi njia sahihi?
Asanteni.