Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Mtindi unaorodheshwa kuwa miongoni mwa vyakula bora kutokana na kuwa na virutubisho vingi vya aina mbalimbali ambavyo vina faida nyingi katika mwili wa binadamu. Vikitajwa kwa uchache virutubisho...
4 Reactions
16 Replies
26K Views
Hatua kwa hatua jinsi ya kupika mboga aina ya kabichi Mahitaji Kabichi 1/2 kilo Nyanya ya kopo 1/2 Kitunguu 1 Curry powder 1/2 kijiko cha chai Chumvi Olive oil Matayarisho Kwanza kabisa...
41 Reactions
354 Replies
67K Views
[USER=114064]Khantwe USER] hope umepata mwanga na kwa wengine wote mliokuwa mnashindwa kupika chapati laini
5 Reactions
17 Replies
3K Views
Habarini wanajamvi. Nilikuwa nahitaji kufahamu kuwa kwa hapa Tanzania kuna aina gani za ugali zinapatikana hapa bongo na aina zipi kati ya hizo zinapendwa sana na watu!! Binafsi nafamu ugali wa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari zenu machef wa JF naombeni msaada njia gani rahisi ya kumpika bata awe mtamu. Sijawahi kula bata kabisa wala kumuandaa. Mwanangu kashinda mashindano ya michezo huko shule akapata zawadi ya...
3 Reactions
55 Replies
16K Views
Vipimo Unga wa ngano mweupe ................... 1 Kilo Samli .............................................. 150gm Chumvi ............................................3 vya chai...
14 Reactions
657 Replies
332K Views
Leo nina ugeni wa member mmoja maarufu hapa CHIT-CHAT na MMU nimeamua kumtengenezea mbuzi katoliki(kavu) na mazaga mengine. Maandalizi >Nyama kg 2 >Ndizi mzuzu >Mchicha >Tangawizi ,kitunguu...
10 Reactions
340 Replies
23K Views
Habarini wakuu Hivi hiki kinywaji kina asili ya mkoa gani?
1 Reactions
49 Replies
6K Views
Ila twende mbele na kurudi nyuma. Jamani kuna chapati tamu sana. Dodoma kuna kampuni ya catering inafanya huduma zake pale Treasury Square! Kwa Chapati kama zile, binafsi naweza kutumia 1.1...
11 Reactions
78 Replies
14K Views
Habarini wana Jamvi. Aki nimetoka kufunga swaumu imenishape kwakweli. Mana nilikua nimefura tumbo iko kama meneja wa epa kitu sio poa kwa kijana kama mimi. Hata nikajaribu ku excise but do zangu...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
17 Reactions
34 Replies
5K Views
1. Samaki na mihogo 2. Ndizi na nyama 3. Mzuzu mbivu na maini au figo 4. Prawns na tambi nyembamba
9 Reactions
71 Replies
9K Views
Kwa wale vijana wa kiume na wakike ambao huwa mnapika chapati za kumimina simple simple yaani chapati unakula lakini hata ladha huifurahii. Hebu pitia hizi njia hapa then utakuja kunishukuru...
4 Reactions
37 Replies
17K Views
Mahitaji 1. Sukari vikombe 2 2. Maji vikombe 2 3. Nusu kikombe unga wa ubuyu 4. Vikombe 4 ubuyu wenyewe 5. 1/4 pili pili ya unga 6. 1/4 tsp chumvi 7. 1/4 tsp iliki ya unga 8. Rangi nyekundu...
6 Reactions
2 Replies
4K Views
Niliangalia jinsi wapishi wa Mtwara, Lindi, Morogoro walivyokuja na vitu asilia nikaangalia promo anayoitoa chef cook Mr Urio ,nawahakikishia mshindi wa kwenda South Africa kati ya wanne wawili au...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Mahitaji: Ndizi za kupika(ndizi bukoba) kubwa 5.Menya,kata katikati ukipenda Viazi ulaya 4 vikubwa.kata katikati kwa urefu Nyama kilo 1.chemsha adi iive Nyanya 4 kubwa.sugua au saga Nyanya ya...
6 Reactions
9 Replies
17K Views
Kila nikipika keki wanaokula wananiambia haijachambuka ila uiva vizur tu na muonekano wake mzuri naomba kujua tatizo Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sijui kama nipo jukwaa sahihi au lah. Naomba kuuliza kama kuongeza sukari kwenye maziwa fresh hauwezi kupunguza ubora wa maziwa? Kwan hata maziwa mgando yakiwa yameganda kabisaa ukiweka tu sukari...
2 Reactions
19 Replies
8K Views
Habari wana JF Chef.... Kuna hii mada nimekutana nayo nikaona ni vyema nikashare nanyi... Ni ndefu ila ina ujumbe mzuri sana!!! Karibuni Najua wengi mnaifaham Baking soda au Bicarbonate of soda...
34 Reactions
58 Replies
85K Views
Back
Top Bottom