Unapaswa kuvijua ili upunguze matumizi yake kila siku kwa kuepuka kwa kinga zako kudhofika na kupungua, kuongeza sumu kwenye mwili na kinga zako, kudhofisha viungo mbalimbali na kupelekea saratani...
,.........habarini wana jf......
Kila mmoja anajua kuchemsha chai ila ni wachache wanajua kupika chai
[emoji626] Chai n pishi kama pishi nyingine ,,,lakini tunavyoliandaa wengi wetu hukosea...
Habari zenu wote natumai mu wazima
Mimi nimuajiriwa ila nahitaji kipato cha ziada mara kwa mara nimekuwa nikijaribu kutengeneza ubuyu lakini umekuwa hautokei kama unavyo paswa sasa nashindwa...
Tunavyokula kuna athiri jinsi tunavyojisikia. Inatakiwa unapokula uwe unajisikia vizuri. Kuna wengine wakila wanajisikia tofauti. Ukila sana au kidogo vyote vinaweza kukufanya kusikia vibaya ...
Hawali ya yote naomba radhi kwa kuandika Vyakula ivi kwa lugha ya kingereza
MTOTO MDOGO anatakiwa ale mlo kamili yaani appetizer,main meal,pamoja na desert na Vyakula hizo zinatakiwa ziwe na lishe...
Wakuu,
Kuna mtu amewahi kujaribu kuunga karanga kwa kitunguu na nazi kama unavyounga maharage akaona inakuaje ukila na wali?
Naona kama karanga ni laini na tamu kuliko maharage, njegere...
Wakuu nipo maskani Leo mda huu ndo nimemaliza kufua..
Ndani Nina
Mayai
Viazi mviringo.
Unga wa mahindi
Mchele
Samaki... chuzi/sotojo lililobaki Jana..
Naombeni msaada nipike Nini cha fasta Nile...
Kwa utafiti wangu wanawake wengi wa siku hizi hawajui kupika au mapishi kwa ujumla wake.
Wanawake wengi wa siku hizi wanaamini viungo vingi kwenye mboga ndio mapishi mazuri.
Mbona inawekewa...
Siujui Mimi tu kwa kweli matikiti maji hayana ladha kabisa ukilinganisha na matunda mengine mfano machungwa, embe na kadhalika. Kama vile unatafuna maji badala ya kuyanywa - ndio maana yanaitwa...
Wanabodi, poleni na majukumu ya maisha!
Wewe unapenda nyama ipi kati ya kuku, ng'ombe, mbuzi na kitimoto ipi ni nyama pendwa sana kwako na huko duniani ulikopita pita?
Hello guys,
Kwa wale wanaopenda kula kama mimi nimeona niwashirikishe hili pishi rahisi sana. Mwaka jana mwishoni katika kuhangaika na maisha nilienda mkoa mmoja ndanindani huko. Kule nilikuta...
Umechoka kunywa chai na vitafunwa vya aina moja kila siku leo pika vitumbua venye radha tofauti ufaidi chai yako ya asubuhi:
Mda dakika 50
Vipimo
Unga - 2 gilasi(wa mchele)
Mayai - 4
Hamira -...
Mahitaji: Mayai, wali, sukari.
Jinsi ya kuandaa:
Chemsha wali wako kama kawaida au hata kama unakiporo kitafaa,
Tia wali wako kwenye bakuli kubwa ambalo utachanganyia,
Kisha piga mayai wa 2_3 au...
Mahitaji
Kwa ajili ya supu
Viazi 4 vikubwa katakata round
Nyanya 2 kubwa katakata
Kitunguu maji 1 kikubwa
Kitunguu saumu 1 tablespoon...
Tangawizi 1 tablespoon..
Bizar ya pilau 1/2 teaspoo...
Jamani mwenzenu nina jiko nimenunua la kuchomea nyama, lakini kila nikichoma mishkaki haina ladha na ni migumu,wenye utaalam juu ya hili nisaidieni please.
Habarini... naomba kufahamu jinsi ya kutengeza yorghut kwa yeyote mwenye uzoefu nayo....asante.
------
Wengine kiingereza hatujui mkuu. Yoghurt ndio mtindi?
Kama ndio basi fanya hivi...
Andaa...
Mahitaji (Kutumiwa na watu wa 4)
・Mapaja 2 ya kuku (gramu 500)
・1/2 kijiko kidogo cha chumvi (gramu 2.5)
・Pilipili manga kwa ajili ya kutia ladha
・Vijiko vikubwa 2 vya sosi ya soya (mililita 30)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.