MKALI WA MAMBO
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 211
- 145
Unapaswa kuvijua ili upunguze matumizi yake kila siku kwa kuepuka kwa kinga zako kudhofika na kupungua, kuongeza sumu kwenye mwili na kinga zako, kudhofisha viungo mbalimbali na kupelekea saratani pamoja na kufail kwa viungo mbalimbali vya mwili kama vile ini na figo.
1. Maji ya kunywa ya viwandani mengi pH zake zipo.kati ya 6 badala ya 7 (natural)
2. Nyama nyekundu e.g Ng'ombe
3. Maharagwe
4. Sukari e.g Miwa
5.Mafuta ya kupikia e.g Pamba
6. Mahindi makavu
7. Soda
8. Maziwa e.g Ng'ombe
9. Pombe
10. Vyakula vya ngano e.g Mikate
1. Maji ya kunywa ya viwandani mengi pH zake zipo.kati ya 6 badala ya 7 (natural)
2. Nyama nyekundu e.g Ng'ombe
3. Maharagwe
4. Sukari e.g Miwa
5.Mafuta ya kupikia e.g Pamba
6. Mahindi makavu
7. Soda
8. Maziwa e.g Ng'ombe
9. Pombe
10. Vyakula vya ngano e.g Mikate