Mchele wa kutoka magugu ni brown? mbona mweupe ingawa si kwa sana.
oooh kwani huu brown rice unasaidia nini..
Brown rice ni kama vile unga wa dona nafikiri waelewa tofauti ya unga wa dona na unga wa sembe.brown rice kama ilivyo dona hutumiwa sana na watu wenye kisukari,pia kiafya ni lishe yenye virutubisho vyote ,mchele mweupe kama ilivyo sembe umekosa viini na virutubisho wenyewe huita kama vile unakula makapi,vivyo hivyo ni sawa na brown bread ukilinganisha na white bread
Kama wa kula nenda kwenye supermaret upo unatoka Magugu Arusha na wameweka lebo ya wanaotengeneza kuanzia hapo waweze endelea ,upo Shoprite TSN supermarkets
shoppers plaza pia upo[/QUOT
waweza niambia cost yake?
hapana sifahamu bei yake,hua nauona tu....cheki na imalaseko pia kama nakumbuka kuuona
Hello jf!!
Naomba msaada wenu... Je ni wapi nitapata brown rice kwa bei nzuri? Namaanisha usiyokuwa ghali saana.. Natanguliza shukran...
ninashida ya mchele wa brown. nichek 0653606342. au nitumie namba yako.Brown rice kwa bei ya 3000 kwa kilo inapatikana. Wasiliana nami-PM nikupe maelekezo.
Toa oder yako mapema tukuandalie.
oooh kwani huu brown rice unasaidia nini..