Wapishi njooni hapa

Wapishi njooni hapa

Light Saber Imetosha Sasa

JF-Expert Member
Joined
Nov 3, 2017
Posts
5,079
Reaction score
9,313
Wakuu nipo maskani Leo mda huu ndo nimemaliza kufua..
Ndani Nina
Mayai
Viazi mviringo.
Unga wa mahindi
Mchele
Samaki... chuzi/sotojo lililobaki Jana..
Naombeni msaada nipike Nini cha fasta Nile.

Ahsanteni.
 
IMG_20200812_141021.jpg
akili ndo imenituma hivi😆😆😆😆😆
 
Wakuu nipo maskani Leo mda huu ndo nimemaliza kufua..
Ndani Nina
Mayai
Viazi mviringo.
Unga wa mahindi
Mchele
Samaki... chuzi/sotojo lililobaki Jana..
Naombeni msaada nipike Nini cha fasta Nile.

Ahsanteni.

Bandika sufuria jikoni ikishapata moto weka samaki chuzi, halafu mayai, unga wa mahindi na mwisho kabisamalizia unga wa mahindi utatoa bonge la Cocktail mkuu.........
....ila usiache kutukaribisha tuliokusaidia kupika!!!
 
Back
Top Bottom