Chemsha mchele, weka maji zaidi ya yale unayopikia wali, acha uchemke taratibu kwa jiko la imeme unaweza kuweka moto number nne. Baada ya dakika 20 zima jiko.
Chukua bakuli la kuchanganyia, toa...
Sio kila siku uji wa ulezi tu jamani tuwe tunabadilisha ili kutowachosha walaji
Mahitaji:
Kiazi kitamu 1
(pia unaweza kuongeza vipimo kulingana na ukubwa wa familia yako)
Maziwa fresh kikombe 1...
Habari zenu wadau ni masiku mengi sijatia mguu ndani hapa ila leo naomba msaada.
Ni mchanganyiko upi wa vyakula unaomfaa mtoto wa kuanzia miezi mitano...
Maana wengine wanasema Dagaa...
Mahitaji
=Maziwa
=Tende
=Karanga unaweza pia kutumia almonds(lozi),korosho
Namna ya kutengeza.
=Toa tende makokwa
=Weka katika blender pamoja na maziwa au aina ya nuts upendayo
=Saga hadi iwe...
Nisiwachose let go straight leo nimepita zangu magomen pale sasa kuna kamgahawa nikawa nikawa nasikia harufu ya vitu vzr vzr
Mzee baba nikajisemea leo ijumaa ngoja nijitose maana hapo zamani...
kuna dogo hapa nataka awe vegetarian/vegan...
angalau afikie hatua awe anatafuna tangawizi kama karanga huku akitabasamu bila kukunja sura.
kwa jiji la dsm, napata wapi haya mavitu...
Wadau wanao hitaji kujua jinsi ya kupika maharage
Wadau samahani, Yani kila siku napojaribu kupika maharage ile natoka na kurudi ndani nakuta nyumba imejaa moshi vitu vimeungua sana. Yani hivi...
Hapa mnaweza laumu Kuwa wanaume hawatulii, hawali kwa wake zao n.k kumbe ni utamu wa vitumbua kama hivi. Ukikiona tu kwa nje unatamani ukile... Kimetuna, Kisafi kina mvuto.
Tuelekezane mapishi...
Karibu tujifunze lishe Bora zenye Kinga mwilini
1: Kuna lishe ya protini
Hii lishe usaifia nu lishe inayoitajika mwilini kwa Kasi kubwa kwani husaidia kukuza Mwili, pia huzuia magonjwa Kama...
Leo hii tujifunze jinsi ya kupika tambi za mapapayu,usishangae ni katika ubunifu wa mapishi
MAHITAJI
Tambi za mapapayu (papayu lilokatwa maganda na kukatwa kwa urefu kama tambi) kiasi bakuli...
Habari za Usiku wakuu.
Aisee mimi chakula ambacho sina allergy nacho ila kiukweli Hata upike Vipi Hauwezi kula kabisa kwa Upande wangu mimi ni BAMIA NA NYANYA CHUNGU..Vyovyote utakapopika mimi...
Wakuu,nimenunua jiko miezi 6 iliyopita ila sikuweza kulitumia sababu ya safari likawa ndani tu.
Sasa juzi nachomeka mpira wa gesi ,mara kile kideude cha aluminium nyuma ya jiko kikavunjika na...
Mungu ni mwema kwa wote.
Najiuliza unawezaje kula chakula ulichopika mwenyewe maana mi chakula nikipika kwa mikono yangu siwezi kukila yaani kinanikinai mapema.
Nyie kwenu vipi mnatumia mbinu...
Ukiachana na wale wenzetu ambao wamesomea elimu ya kupika Vyakula mbali mbali, kuna sisi wapenda kula lakini kupika mtihani.
Leo nimejiskia kupika firigisi na ugali. Sema hapa kwenye firigisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.