Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Mahitaji: Vitunguu swaumu kadri uwezavyo Tangawizi kadri uwezavyo Asali mbichi kwa ajili ya ladha. Andaa viungo vyako (vitunguu na tangawizi), weka kwenye blender na maji ya kutosha. Saga hadi...
9 Reactions
68 Replies
18K Views
Mwili wa binadamu huzalisha sumu kulingana vyakula tunavyokula hii ni njia moja wapo kuondosha sumu kwa haraka sana. MAHITAJI Majani ya Kale (kale leaves) - 3 Brokoli pamoja na miche yake - ½...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari Tanzania ! Sasa ile vita ya mfugaji na mkulima mwisho kabisa. Sitegemei kuona tena vita hii hapa Tanzania. Mahitaji a) Karanga mbichi kikombe 1 na 1/2. b) Sufuria na chujio kubwa c) Jiko...
6 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari wana JF, Hapa nilipo kuna kibaridiii... Nimejipongeza kwa kunywa chai ya maziwa ya viungo. Nimeona sio mbaya nikishare hii ladha ambayo naona ni nzuri sana hasa pale ukiipatia. Kuna...
15 Reactions
33 Replies
35K Views
Vipimo Mchele (Basmati) - 3 vikombe Mbogamboga za barafu (karot, njegere, spring beans na mahindi) - 1 kikombe Kuku Kidari - 1 LB (ratili) Mayai - 2 mayai Vitunguu (vikubwa) - 2 au 3 vidogo...
2 Reactions
25 Replies
8K Views
Habari wapendwa,ni matumaini yangu mu wazima wa afya njema.Leo nataka niwaelekeze kupika mboga ya majani ya maboga kiurahisi na matamu sana,japo najua kila MTU ana style yake ya kuyapika...
2 Reactions
15 Replies
18K Views
Watu wa pwani hii kitu tunapendaga sana mapishi pia hutofautiana leo nenda fresh food nunua pweza alafu pika kama hivi hutojutia.. MAHITAJI Pweza - 1 Kilo Mafuta - ½ kikombe Chumvi - 1 kijiko...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Hiki ni chakula cha asili ambacho kinaliwa kwenye jamii zetu.. Mahitaji •Unga wa muhogo. Jinsi ya kupika. •Bandika sufuria yenye maji jikoni(kulingana na maitaji) •Subiri mpaka maji yawe...
3 Reactions
8 Replies
8K Views
Jamani kuna hivi vitu vinafanana na sukari ni nyeupe sanaa. Nimeshaona aina tatu sasa tofauti ni ladha zake.. Ya kwanza ina ladha ya utamu kama sukari na ninaambiwa inatumika kwenye juice au...
0 Reactions
15 Replies
17K Views
Wadau wengine ambao wanahitaji kujua kuhusu matumizi ya rice cooker Natumai wazima ndugu zangu,naomba mnielekeze namna ya kutumia rice coocker. ---- Hivi pilau waweza pika kwenye rice cooker...
2 Reactions
176 Replies
62K Views
Habari zenu. Unaweza kupika chakula kizuri tu na kuzingatia kila hatua ila kisiwe na ladha tamu zaidi au kiwe kimepooza. Tumia pilipili manga iliotwanga dakika 10 kabla ya kuepua chakula chako...
4 Reactions
9 Replies
5K Views
Mimi binafsi naona mapishi ya aina hiyo hayafai kwakuwa radha ya Tangawizi si nzuri kwa vyakula ila vinywaji mara mia nitumie kitunguu swaumu kwenye mapishi ya mboga. Vipi wadau wa Chefs...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Mimi napenda sana nyama hasa iwe ya ng'ombe, mbuzi kuku, samaki, kima. Ilimradi nyama tu iwe tamu na siwezi kuichoka. Mfano nyama ya ng'ombe nitakunywa supu asubuhi mchana na ugali au wali na...
13 Reactions
95 Replies
9K Views
Helow wakuu Msaada,,nataka kujua namna ya kufanya vitafunwa vikae bila kuharibika kwa muda mrefu,vitafunwa kama maandazi ,,mfano kama yanayouzwa supermarket,,yanawekwa nini ili yasiharibike...
3 Reactions
49 Replies
23K Views
Mambo zenu wakuu leo nitafundisha jinsi ya kupika ugali. Fuata Steps Hizi MAHITAJI Maji,unga wa sembe/Dona + Sufuria,Ubanio,Mwiko na jiko la aina yoyote mkaa au umeme au gesi.. Step 1 Sikia...
5 Reactions
117 Replies
49K Views
Hi Guys, Kama kichwa cha habari kinavyojielezea, naomba kwa ajuaye Menu nzuri ya chakula kwa wiki nzima isiyojirudia plz aniambie. Karibuni.
2 Reactions
23 Replies
9K Views
Mimi sio mpenzi wa mayai au ndege aitwaye kuku kabisa. Lakini nimekuja kugundua chakula chochote kukipenda au kutokukipenda inategemea na kilivyopikwa na kilivyotayarishwa. Sipendi mayai yawe ya...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomben msaada sina friji, nataka niwe nahifandhi nyama ya kuku at least ifike siku nne mana niko peke angu siwez mmaliza wote, pia suala la bajeti. Shukran
4 Reactions
20 Replies
8K Views
Supu ya nyama. Mahiiaji: Nyama ya mifupa 1/2kg Carrots 2 Viazi 2 Njegere kiasi Kitunguu swaumu 1 tsp Tangawizi mbichi 1 tsp Pilipili manga 1tsp Bizari nyembamba 1tsp Chumvi kiasi Matayarisho...
6 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom