mtie kamba kabisa mumeo
na usiku umzidishie mibinjuooo
Lol! Asante mpenzi umeokoa unyumba wangu, kwan baba chanja ni kila uchao lazma aende mahala fulani kufata hiyo kitu.Sasa naanza kumtengenezea mwenyewe nyumani.Daa kapatikana.Asante wana JF ntawaona tena akiibuka na lingine.
Makange ya ukweli yapo Calabash na Break/Brake Point
Ndiyo maana nilimuona mtu kama wewe pale. Mie hupoa kwa nje karibu na magari.
Makange ya rg nayafagi pia brajec savei.
Makange ya ukweli yapo Calabash na Break/Brake Point
Sawa. Siku akihitaji juice ya pilipili, yu jast piem mi
kwenye swala la mibinjuo sina wasi coz haiko tabu ishu ilikuwa ni hayo makitu.
Makange ya ukweli yapo Calabash na Break/Brake Point
Hahahahaaa....huenda ikawa kweli aisee maana kuna mdada mmoja alikuwa ananiangalia angalia sana siku ile. Hebu nambie ilikuwa lini....
Lol! Asante mpenzi umeokoa unyumba wangu, kwan baba chanja ni kila uchao lazma aende mahala fulani kufata hiyo kitu.Sasa naanza kumtengenezea mwenyewe nyumani.Daa kapatikana.Asante wana JF ntawaona tena akiibuka na lingine.
Arusha kwetu napakubali kwa mapishimapishi hasa kwa wanywaji yaani huwezi kukosa appetite ya kula, kuna wazungusha mwiko hadi raha! mie katika tembeatembea yangu maeneo karibu yooote tz hii kwa kweli kuna mikoa ina majina makubwa lakini hawana mzuka wa msosi yaani unakuta vijiwe viwili vitatu tu ndio vinatajwa mji mzima mf. dodoma ni chakoni chako, mnadani na sehemu moja mbili lakini arusha kila mtaaHao wa break Point chamtoto Nyani Ngabu, mambo yote Arusha..
Makange nini bana kitu kuku wa steam ni vitunguu, pilipili tangawizi anachemshwa uhondo anaiva mtupuuuuuuuuuu!!!
American chips zinapatikana wapi maana naona zinasifiwa sanakwa kawaida vitu kama hivyo huwa vya nyumbani hata havinogi kama vya hukoooo wanakoenda kuvifuata, hata bia ya nyumbani hainogi kama ya baa, mpira wa kutazama nyumbani hauwi mtamu kama ule wa kwenye mkusanyiko wa watu, hata nyama choma, makange, kitimoto na vitu vya aina hiyo huwa vitamu vya mabaa/magenge kuliko home sijui kwa nini lakini ndio ukweli na kama ni mpenzi wa makange ataendelea kuyafuata huko huko alikozoea. hata chips za americanchips huwezi fananisha na za home!