Nima Imma
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 2,473
- 3,624
,.........habarini wana jf......
Kila mmoja anajua kuchemsha chai ila ni wachache wanajua kupika chai
Chai n pishi kama pishi nyingine ,,,lakini tunavyoliandaa wengi wetu hukosea
Kama unapenda chai ya majani basi hakikisha unaweka majan ya chai pale tu unapobandika jikon ,,funika sufuria ya chai wacha chai ichemke vyema kabisa na si pale ikichemka mara moja waipua
Kama unatumia viungo hakikisha unatumia viungo sahihi mf. Kuna mdalasini mzuri sana wa kupikia chakula ila si mzuri sana wa kupikia chai kwa hiyp ni muhu kujua kutofautisha viungo,,ili kupata matokeo mazuri ya chai ya viungo halilisha unatwanga ama kusaga viungo vyako ama kuvivunja vunja kisha tia maji kwa sufuria na maji baridi ,,funika sufuria yako wacha chai ichemke vyema kabisa ukinywa utaona ina ladha nzuri zaidi kuliko ile ikichemka tu waipua ....by Naima
Kila mmoja anajua kuchemsha chai ila ni wachache wanajua kupika chai
Chai n pishi kama pishi nyingine ,,,lakini tunavyoliandaa wengi wetu hukosea
Kama unapenda chai ya majani basi hakikisha unaweka majan ya chai pale tu unapobandika jikon ,,funika sufuria ya chai wacha chai ichemke vyema kabisa na si pale ikichemka mara moja waipua
Kama unatumia viungo hakikisha unatumia viungo sahihi mf. Kuna mdalasini mzuri sana wa kupikia chakula ila si mzuri sana wa kupikia chai kwa hiyp ni muhu kujua kutofautisha viungo,,ili kupata matokeo mazuri ya chai ya viungo halilisha unatwanga ama kusaga viungo vyako ama kuvivunja vunja kisha tia maji kwa sufuria na maji baridi ,,funika sufuria yako wacha chai ichemke vyema kabisa ukinywa utaona ina ladha nzuri zaidi kuliko ile ikichemka tu waipua ....by Naima