Virutubisho Ina umuhimu nyingi Sana katika mwili ya mwanadamu
Vifuatazo Ni muhimu ya virutubisho katika mwili.
1: kwa mtoto humuongezea hamu ya kula
2: husaidia kuzuia upungufu wa damu mwilini...
Nimeagiza asali jion nikamwambia mamy ikifika aipokee... Muda si mrefu nimeionja nimekuta ina radha chungu, af nyeusiiii.... Asee huu ni uchakachwaji na si uchakachuaji huu, lohh!!!
Kuna jamaa ameshindwa kutoa mchanganuo wa Tsh 15000 tu kww menyu moja tu ya mchana hotelini,kabaki kunamby eti anaagiza sahani 6 za wali na nyama😂😂😂😂.
Je,unaweza kumaliza pesa hiyo kwa kuagiza...
JINSI YA KUTENGENEZA MAZIWA YA MTINDI/ MAZIWA YA MGANDO (YOUGHURT)
Vipimo:
Maziwa fresh/maziwa ya maji lita 1
Maziwa mtindi vijiko 6
Maelekezo:
Pasha moto maziwa katika sufuria hadi yawe na...
Mara nyingi, nimekuwa nikitia limao katika maziwa ili kuyafanya yagande papo kwa papo.
Je, hii haina athari ki afya, au kupunguza virutubisho pengine ndani ya maziwa?
Karibu sana kwa mchango na...
Nimekuwa na katabia nikinunua mtindi huwa naweka na sukari ili kupunguza uchachu, je hii ni sahihi au inaweza kusababisha kupoteza virutubisho vya mtindi?
Why mahindi ya kuchemsha ya mikoani au vijijini au pembezoni mwa jiji Yana ladha tamu kuliko haya ya mjini?
Shida iko wapi?
Wa mjini wanakosea wapi?
Kutumia gesi? Umeme? Au aina Tu za mahindi?
Nimekata hizi ndizi kubwa kubwa Sana, hapa kwetu zinaitwa mkono wa tembo, sijawahi kuzila hata siku moja.
Naomba wataalamu wabobezi wa Aina mbalimbali ya kuziandaa ndizi hizi kwa ajili ya kula...
Mahitaji
Nyama ya Kuku
Viazi/mbatata - 3
Kitunguu maji - 1
Kitunguu saumu(thomu/galic) - 5 chembe
Pilipili mbichi - 2
Nyanya ya kusaga - 1 kijiko cha chai
Pilipili manga ya unga - ½ kijiko cha...
Karibuni I'm enjoying a soup na nimependa share nanyi recipe.Tamu sana.
MAHITAJI (kwa mtu mmoja waweza ongeza ku fit idadi ya walaji)
Ndizi ama viazi 2,kuku wa kienyeji(nusu),vitunguu maji vitano...
Hiki ni chakula kitokanacho na makopa ya miogo(miogo mikavu).
Jinsi ya kupika.
Hukatwakatwa vipande vya makopa kisha hulowekwa kwenye maji masaa yasiyopungua 12 ili kurahisisha kuiva kama...
Rejea mada tajwa hapo juu,
Naomba kujuzwa namna ya kupika kande mahindi mabichi kwa maharage makavu na kama kuna viungo na vikorombwezo vya kuweka ili yawe na ladha murua.
Asanteni
Sent using...
Huwa nina shida ya kukinai chakula,so nataka tushee recipes tofauti za mchele!
=======
SWEET CHOC RICE
Mahitaji:
-Mchele kg1
-Karoti tatu
-Asali vijiko vitatu
-Vanilla ya maji(kijiko kidogo)...
Kua kwenye diet kunafanya nitafute namna mbalimbali ya kula na kuenjoy vyakula ninavyovipenda.Bila kuharibu juhudi zangu za kupunguza uzito.
katika glasi ni mchanganyiko wa Maziwa mgando,tikiti...
Mbuzi ni mnyama anaeliwa na madhehebu ya dini nyingi, ni rahisi kununua mbuzi wa kula na familia kuliko ng’ombe, kwanza gharama pili mnaweza kula na kumaliza.
Andaa samaki kidogo kwa wasio kula...
Nauliza kile chenye nguvu, kuhusu matunda n.k inaruhusiwa kukamilisha mlo kamili.
Ila ni kipi waweza kula mwaka mzima.
Mimi wali na maharage asubuhi mpaka jioni, kiporo n.k mwaka mzima na sasa...
Napenda kupika sana nikishindaga home lazima nipike vitamu mahanjumati na nipo vizuri, mwanamke atakaeolewa na mim kama hajui mapishi atapata tabu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.