Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Virutubisho Ina umuhimu nyingi Sana katika mwili ya mwanadamu Vifuatazo Ni muhimu ya virutubisho katika mwili. 1: kwa mtoto humuongezea hamu ya kula 2: husaidia kuzuia upungufu wa damu mwilini...
0 Reactions
1 Replies
733 Views
Nimeagiza asali jion nikamwambia mamy ikifika aipokee... Muda si mrefu nimeionja nimekuta ina radha chungu, af nyeusiiii.... Asee huu ni uchakachwaji na si uchakachuaji huu, lohh!!!
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna jamaa ameshindwa kutoa mchanganuo wa Tsh 15000 tu kww menyu moja tu ya mchana hotelini,kabaki kunamby eti anaagiza sahani 6 za wali na nyama😂😂😂😂. Je,unaweza kumaliza pesa hiyo kwa kuagiza...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
JINSI YA KUTENGENEZA MAZIWA YA MTINDI/ MAZIWA YA MGANDO (YOUGHURT) Vipimo: Maziwa fresh/maziwa ya maji lita 1 Maziwa mtindi vijiko 6 Maelekezo: Pasha moto maziwa katika sufuria hadi yawe na...
5 Reactions
18 Replies
10K Views
Mara nyingi, nimekuwa nikitia limao katika maziwa ili kuyafanya yagande papo kwa papo. Je, hii haina athari ki afya, au kupunguza virutubisho pengine ndani ya maziwa? Karibu sana kwa mchango na...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Nimekuwa na katabia nikinunua mtindi huwa naweka na sukari ili kupunguza uchachu, je hii ni sahihi au inaweza kusababisha kupoteza virutubisho vya mtindi?
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Why mahindi ya kuchemsha ya mikoani au vijijini au pembezoni mwa jiji Yana ladha tamu kuliko haya ya mjini? Shida iko wapi? Wa mjini wanakosea wapi? Kutumia gesi? Umeme? Au aina Tu za mahindi?
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimekata hizi ndizi kubwa kubwa Sana, hapa kwetu zinaitwa mkono wa tembo, sijawahi kuzila hata siku moja. Naomba wataalamu wabobezi wa Aina mbalimbali ya kuziandaa ndizi hizi kwa ajili ya kula...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Mahitaji Nyama ya Kuku Viazi/mbatata - 3 Kitunguu maji - 1 Kitunguu saumu(thomu/galic) - 5 chembe Pilipili mbichi - 2 Nyanya ya kusaga - 1 kijiko cha chai Pilipili manga ya unga - ½ kijiko cha...
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Karibuni I'm enjoying a soup na nimependa share nanyi recipe.Tamu sana. MAHITAJI (kwa mtu mmoja waweza ongeza ku fit idadi ya walaji) Ndizi ama viazi 2,kuku wa kienyeji(nusu),vitunguu maji vitano...
2 Reactions
4 Replies
13K Views
Hiki ni chakula kitokanacho na makopa ya miogo(miogo mikavu). Jinsi ya kupika. Hukatwakatwa vipande vya makopa kisha hulowekwa kwenye maji masaa yasiyopungua 12 ili kurahisisha kuiva kama...
3 Reactions
11 Replies
3K Views
Rejea mada tajwa hapo juu, Naomba kujuzwa namna ya kupika kande mahindi mabichi kwa maharage makavu na kama kuna viungo na vikorombwezo vya kuweka ili yawe na ladha murua. Asanteni Sent using...
1 Reactions
1 Replies
7K Views
Huwa nina shida ya kukinai chakula,so nataka tushee recipes tofauti za mchele! ======= SWEET CHOC RICE Mahitaji: -Mchele kg1 -Karoti tatu -Asali vijiko vitatu -Vanilla ya maji(kijiko kidogo)...
4 Reactions
54 Replies
33K Views
Jamani naomba msaada kwemye kuconvert measuring cups into grams wakati wa utengenezajo wa keki au mkate.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Kua kwenye diet kunafanya nitafute namna mbalimbali ya kula na kuenjoy vyakula ninavyovipenda.Bila kuharibu juhudi zangu za kupunguza uzito. katika glasi ni mchanganyiko wa Maziwa mgando,tikiti...
11 Reactions
29 Replies
22K Views
Mbuzi ni mnyama anaeliwa na madhehebu ya dini nyingi, ni rahisi kununua mbuzi wa kula na familia kuliko ng’ombe, kwanza gharama pili mnaweza kula na kumaliza. Andaa samaki kidogo kwa wasio kula...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauliza kile chenye nguvu, kuhusu matunda n.k inaruhusiwa kukamilisha mlo kamili. Ila ni kipi waweza kula mwaka mzima. Mimi wali na maharage asubuhi mpaka jioni, kiporo n.k mwaka mzima na sasa...
4 Reactions
133 Replies
15K Views
Wakuu! Yaani tangu nikiwa mtoto nimekuwa nikichukia mboga kabichi au sijui tunda,mzizi anyway Nyumbani walikua wakipika iyo mboga lazima waniandalie mboga mbadala labda maziwa mgando au...
4 Reactions
24 Replies
2K Views
Napenda kupika sana nikishindaga home lazima nipike vitamu mahanjumati na nipo vizuri, mwanamke atakaeolewa na mim kama hajui mapishi atapata tabu sana.
14 Reactions
46 Replies
5K Views
Mapishi ya pilipili mboga na ngisi Mahitaji Pilipili mboga gramu 250, ngisi gramu 250, chumvi kijiko kimoja, mvinyo wa kupikia vijiko viwili, maji ya wanga vijiko vitatu, chembechembe za...
2 Reactions
1 Replies
6K Views
Back
Top Bottom